Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Matoto ya kiume ya sasa ni mapumbavu labda kazalisha mtoto wa watu then halina time hata kutoa huduma lipo maskani limeweka suruali chini ya kiuno sijui linavuta mabangi ..yaani kichwa empty kabisa halijui dhuluma linayofanya dhidi ya binti wa watu .

Matoto kama hayo ndo yanakuja kufa vifo vibaya kwani nyuma yao Kuna nafsi inasononeka dhidi ya usaliti mbaya ..

Ungemuacha akapata mtu atakaye muoa basi Tamaa za nn ni ushamba...Ndo maana maisha ya vijana yasiyo na future kuvaa uchafu uchafu kuvuta mabangi sijui nn kulewa bila ya sababu ,mara starehe za kijinga ni totally USHAMBA..Mtu mpaka akija jitambua miaka 45 huko basi anaishi kwa majuto kama alikuwa mvuta shisha na mlevi mda huo kashaanza kushambulia na TB na magonjwa ya mapafu ni majuto tu jamani vijana wenzangu.

Tuamkeni kuzalisha ovyo ni laana baada unaenda kuoa kwingine tufikirie mara 2 hali kama hizi ..Mtoto wa mtu kakuamini mpaka kavua nguo then unamuacha solemba nn tunatafuta kama sio laana?
Kwani walikubaliana kuzaa?
 
Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa

Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake

Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne

Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake
Wapo wanaozaa wakiwa miji mengine, ila watoto hupeleka kulelewa na wazazi wao.
Kwakweli huu mzigo watoto wa kike ni nuksi sana, anazaa na mtu, hana uwezo wa kipato hata cha mlo mmoja, hatari sana.
 
Nimeona ni Bora embu fikiria unao mabinti WATATU hujakaa sawa wanapata ujauzito , na mwingine na mwingine Tena kila mmoja zaidi ya mtoto mmoja embu pata hiyo picha afu ni maskani kwako weww mzee
Bora nizae madume TU dadadeq sema huyu mwanamke anapenda sana watoto wa kike,
 
Anapigwa mimba akiwa nyumbani Anazalia nyumbani na muhuni anatokomea mitini.
Matunzo zero mjukuu anaishi doglyf Lawama unatupiwa babu kum.anyoooko.
Acha kabisa kuna mjinga Katia mimba beki 3 mtoto tangu anazaliwa hamjui matunzo yote analipa Babu mtoto kafikisha umri wa kuanza shule Babu akaomba aletwe aishi nae akaletwa dogo akazinguana na Bibi yake Bibi akaomba dogo arudishwe kwa mama yake dogo akarudishwa unaambiwa baba hajui hata kununulia mwanae uniform na anafanya kazi nzuri TU, kila kitu analipa Babu

Maisha na malezi ya baadhi ya wazazi hakika ndio uharibifu wa watoto
 
Hii mada ngumu sana aiseeeee ngoja niwe mpenzi msomaji tu, maana naona wanaume wamekua wakali kwa mabinti zao wakati wanasahau kwamba nawao wamewazalisha mabinti za wababa wengine.
Anyway...... sitaki kutukana mamba wakati bado sijavuka mto, zaidi ninajitahidi kuongea na binti zangu kuhusu mahusiano na siachi kuwaombea.
Hapa kila mtu anatoa maoni, kulingana na mazingira yake, mimi binafsi watoto wangu wote wananitegemea mimi, kama baba, hata wakienda kuishi mbali nami, ilimradi hajafika umri wa kujitegemea nawajibika kwa mahtaji yao yote.
Alafu niache kumchukia bint yangu, anazaa na mtu ambae hata uweo wa kununuli mtoto wa chupi ya mikojo.
 
Acha kabisa kuna mjinga Katia mimba beki 3 mtoto tangu anazaliwa hamjui matunzo yote analipa Babu mtoto kafikisha umri wa kuanza shule Babu akaomba aletwe aishi nae akaletwa dogo akazinguana na Bibi yake Bibi akaomba dogo arudishwe kwa mama yake dogo akarudishwa unaambiwa baba hajui hata kununulia mwanae uniform na anafanya kazi nzuri TU, kila kitu analipa Babu

Maisha na malezi ya baadhi ya wazazi hakika ndio uharibifu wa watoto
Wazee wanpitia na watapitia mengi hasa kwa kizazi hiki cha sasa.
 
Vipi na wale mnaozalisha mabinti za watu na kuwabeba watoto wenu kwenda kuwabwagia wazazi wenu wawalelee?
 
Nimeona ni Bora embu fikiria unao mabinti WATATU hujakaa sawa wanapata ujauzito , na mwingine na mwingine Tena kila mmoja zaidi ya mtoto mmoja embu pata hiyo picha afu ni maskani kwako weww mzee
Mkuu wanafanya makusudi wanajua hakuna Baba wala mama atakaye mfanya lolote utakuta Mabinti wapo watatu mdogo wao kazalishwa mtoto kampelaka kwa Bibi na Dada zake wanaona wao umri unakwenda hawajaolewa na hawana mtoto, sasa nawao wanabeba mimba, Wazazi wazamani walikuwa wakali mpaka binti anaogopa kubeba mimba bila ndoa walikuwa wanajua hawana pakwenda lazima watimuliwe nyumbani, au waende uko walipo pata mimba, sikuizi wazazi wakike ndiyo wamekuwa watetezi wa watoto wa nje ya ndoa wanawapokea na kuwalea.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom