Kiukweli haipendezi hata kidogo kuwa na tumifugo tofauti tofauti hapo nyumbani,ikibid hata wawekeeni uzazi wa mpango mpaka pale watakapopata wa kuwaoa
Ebu fikiria ni usiku wa manane na uzee wako unaamshwa umpeleke binti yako akajifungue,fikiria inakera kiasi gani wakati huo kalikompatia mimba kamepiga usingizi kanakoroma tu au kanakula mbususu nyingine kwa raha yake
Unazaa watoto kulingana na kipato chako lakin hao watoto uliozaa nao wanazaa tena kukuongezea idadi ya watoto wakati wewe uliona uwezo wako unaishia watoto wanne
Kuna wakati huwa nafikiria nijenge nyumba mbali na kwangu,binti akipata mimba naenda kumtupa huko apambane na hali yake