stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Hususani zikishafika mimba 2/3 alafu ukimcheck baba tofautiKinachowaumiza wazazi mabinti waliojifungulia nyumbani soko lao la kuolewa huwa ni gumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hususani zikishafika mimba 2/3 alafu ukimcheck baba tofautiKinachowaumiza wazazi mabinti waliojifungulia nyumbani soko lao la kuolewa huwa ni gumu sana
Hii nayo ni aina nyingine ya laana tu, yaani mabinti wote wazalishwe nyumbani, aibu sana kwa wazazi basi tu.Nimeona ni Bora embu fikiria unao mabinti WATATU hujakaa sawa wanapata ujauzito , na mwingine na mwingine Tena kila mmoja zaidi ya mtoto mmoja embu pata hiyo picha afu ni maskani kwako weww mzee
NI haki yake kuwa na mtoto ila ni haki yako baba mtoto kutimiza wajibu wako kama baba. Ubaya ni kwamba hata uo wajibu wa baba wengi wanashindwa kuutimiza.Hapo ndio wanaume wengine wanalianzisha Ila wanawake hawawaachii watoto kirahisi labda umpachike kesi ya uchizi ndio unapewa mtoto
Yeah kuna wanaume wengi hata awe na mtoto 1 hawataki kumuoa hata kama binti ni mrembo na wife material kiasi ganiHususani zikishafika mimba 2/3 alafu ukimcheck baba tofauti
Hapo ndio unapojua hawa wanawake kichwa maji. Yaani u aona kabisa maisha magumu kula yenu ta u ila anapanua tuu mapaja na kushika mimba...sijui wanadhani watoto wanakula manii?Wapo wanaozaa wakiwa miji mengine, ila watoto hupeleka kulelewa na wazazi wao.
Kwakweli huu mzigo watoto wa kike ni nuksi sana, anazaa na mtu, hana uwezo wa kipato hata cha mlo mmoja, hatari sana.
Mada hii inajadili, mzigo tunaopewa wazazi.Vipi na wale mnaozalisha mabinti za watu na kuwabeba watoto wenu kwenda kuwabwagia wazazi wenu wawalelee?
Kataa ndoa wanasema hakuna kuoa zalisha chukua wanao lea, wengine hata kulea hawawezi kwa hali hiyo unategemea n nani atakaemuoa huyo mwanamke baada ya kuzalishwa bila ndoa?Kwa nini mkuu?
Kataa ndoa anachukua mtoto wake yeye akiamua kuolewa akaolewe tu kama anahisi mtoto ndio kikwazoKataa ndoa wanasema hakuna kuoa zalisha chukua wanao lea, wengine hata kulea hawawezi kwa hali hiyo unategemea n nani atakaemuoa huyo mwanamke baada ya kuzalishwa bila ndoa?
Kwenye hili wanastahili lawama, anaona kabisa hali halisi ya maisha ya mwanaume wake lakini anaamua kumzalia, tena mwingine anakosea mara ya kwanza anaona haitoshi anazaa na wapili alafu malezi kwa bibi na babu 😬Hapo ndio unapojua hawa wanawake kichwa maji. Yaani u aona kabisa maisha magumu kula yenu ta u ila anapanua tuu mapaja na kushika mimba...sijui wanadhani watoto wanakula manii?
Unaona hiyo ni sahihi?Kataa ndoa anachukua mtoto wake yeye akiamua kuolewa akaolewe tu kama anahisi mtoto ndio kikwazo
Ni sahihi wapo wanaofanya hivyoUnaona hiyo ni sahihi?
Duh, wanne wote wamezalia nyumbani?Mie dada zangu wanne wamezalia nyumban na bado wanaishi nyumban !! Wazaz wapo kimyaa inaniumaa na sjui nifanyee nn??
Kuna mwamba alijitoa muhanga kuoa single mother ana injini 3 kila moja Ina baba yake Ila single mother kagoma, kisa unajua ni nini? Yaan ndio ujue wanawake baadhi ni zero brain kagoma kisa eti atakosa mgao wa kila mtoto, yaan kila mtoto baba anatoa mgao kila mwisho wa mwezi yaan km wanalipa Kodi ya matunzo ya watoto kwa hio mama anaona mradi utakufa kagoma kuolewaYeah kuna wanaume wengi hata awe na mtoto 1 hawataki kumuoa hata kama binti ni mrembo na wife material kiasi gani
Vibinti vinazalishwa ovyoovyo sana siku hizi ndo maana mitaa imejaa mitoto sio poaKwenye hili wanastahili lawama, anaona kabisa hali halisi ya maisha ya mwanaume wake lakini anaamua kumzalia, tena mwingine anakosea mara ya kwanza anaona haitoshi anazaa na wapili alafu malezi kwa bibi na babu 😬
Sio sahihi mkuu kuchukua mtoto haiondoi uhalisia wakua ameshazaaNi sahihi wapo wanaofanya hivyo
Sio mchezoHapo ndio unapojua hawa wanawake kichwa maji. Yaani u aona kabisa maisha magumu kula yenu ta u ila anapanua tuu mapaja na kushika mimba...sijui wanadhani watoto wanakula manii?
Wazazi wanapenda kulewa wajukuu kutoka kwa watoto wao wakiume tena wanafurahi sana na wanawachagulia majina ya kuwaita wajukuu zao, tena utasikia huyu mjukuu wangu namuita jina la Babu yangu mzaa mama au mzaa Baba tena laki Mira.Vipi na wale mnaozalisha mabinti za watu na kuwabeba watoto wenu kwenda kuwabwagia wazazi wenu wawalelee?
Kwa hiyo yeye kawachukulia wale watoto kama kitega uchumi kupitia ile child support amesahau watoto watakua wataondoka nyumbani watamwacha na upwekeKuna mwamba alijitoa muhanga kuoa single mother ana injini 3 kila moja Ina baba yake Ila single mother kagoma, kisa unajua ni nini? Yaan ndio ujue wanawake baadhi ni zero brain kagoma kisa eti atakosa mgao wa kila mtoto, yaan kila mtoto baba anatoa mgao kila mwisho wa mwezi yaan km wanalipa Kodi ya matunzo ya watoto kwa hio mama anaona mradi utakufa kagoma kuolewa
Nilikuwa nazungumzia upande wa mwanamumeSio sahihi mkuu kuchukua mtoto haiondoi uhalisia wakua ameshazaa