HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Namba 1 mimiYeah kuna wanaume wengi hata awe na mtoto 1 hawataki kumuoa hata kama binti ni mrembo na wife material kiasi gani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 1 mimiYeah kuna wanaume wengi hata awe na mtoto 1 hawataki kumuoa hata kama binti ni mrembo na wife material kiasi gani
Wanazalishwa mno bila mpango, bila malengo, unakuta binti wa miaka 24 tayari ana watoto wa 3 baba tofauti. Ok wakwanza basi tumsamehe tuelewe ilikua bahati mbaya ila wapili na watatu 🥺 hapana kwa kweliVibinti vinazalishwa ovyoovyo sana siku hizi ndo maana mitaa imejaa mitoto sio poa
Mzee acha tu yaan hicho tu ndio amekiona cha maanaKwa hiyo yeye kawachukulia wale watoto kama kitega uchumi kupitia ile child support amesahau watoto watakua wataondoka nyumbani watamwacha na upweke
Tuendelee kuzalisha hadi tufike milioni 100Vibinti vinazalishwa ovyoovyo sana siku hizi ndo maana mitaa imejaa mitoto sio poa
Kwahiyo mzigo ni kwa watoto wa upande wa kike tu!!!Wazazi wanapenda kulewa wajukuu kutoka kwa watoto wao wakiume tena wanafurahi sana na wanawachagulia majina ya kuwaita wajukuu zao, tena utasikia huyu mjukuu wangu namuita jina la Babu yangu mzaa mama au mzaa Baba tena laki Mira.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hapo hamna tena cha bahati mbaya hivi huwa hawajui zile siku za hatari kupata mimba kweliWanazalishwa mno bila mpango, bila malengo, unakuta binti wa miaka 24 tayari ana watoto wa 3 baba tofauti. Ok wakwanza basi tumsamehe tuelewe ilikua bahati mbaya ila wapili na watatu 🥺 hapana kwa kweli
Serikali itaelemewa katika kutoa huduma
Wakiwa huku wanaongea sana
Ooh usioe singo mamaz
Kumbe dada zao ni wale wale tu
Wengine hawajui ila wengine wanawatega mimba makusudi kabisaHapo hamna tena cha bahati mbaya hivi huwa hawajui zile siku za hatari kupata mimba kweli
Kwa hiyo unahuzunika au unafurahia 😃Kataa ndoa yamewakuta mpaka makwao
Ili wawe wanagawana za matunzo na mtoto?Wengine hawajui ila wengine wanawatega mimba makusudi kabisa
Lakini hiyo tabia inategemea na kabila gani kuna baadhi ya makabila binti akishazalishwa bila ndoa au akaachwa na mume harusiwi kukanyaga kwao tena anafukuzwa yeye atakua pakwenda, yani afadhali binti awe ameachana na mume kidogo kidogo kaka zake wanaweza kumnunulia eneo wakamjengea akaishi, yani mfano kabila la wakurya mwanamke ukishaolewa tu ujue ulipo olewa ndiyo kwenu uko yani mali za wazazi wako huwezi kurithi ata kama wazazi wameacha mali nyingi kiasi gani mtoto wakike hurusuwi kurithi mali za wazazi wako, wanarithi ni watoto wakiume tu, Mwanamke anarithi Mali za mume wake na siyo mali za wazazi wake.Ndio imekua hivyo tena wanawapigia chapuo na pesa za wajukuu anatoa kutoka kwenye malipo yake ya kiinua mgongo ili wajukuu wasife na njaa mama kakaa tu watoto wanalishwa na Bibi na Babu wakati baba zao wapo
Sasa wengine huko nyanda za chini kusini na huko Pwani hawana tamaduni hizo wao ni kuzalishwa na urithi wanataka wale wajukuu wapewe wakati baba hawajulikane yaan wajukuu ndio wanakula pension za wazee na hapo bado hawajasomeshwa kwa pension za wazee na urithi wapewe binti yupo tu nyumban,Lakini hiyo tabia inategemea na kabila gani kuna baadhi ya makabila binti akishazalishwa bila ndoa au akaachwa na mume harusiwi kukanyaga kwao tena anafukuzwa yeye atakua pakwenda, yani afadhali binti awe ameachana na mume kidogo kidogo kaka zake wanaweza kumnunulia eneo wakamjengea akaishi, yani mfano kabila la wakurya mwanamke ukishaolewa tu ujue ulipo olewa ndiyo kwenu uko yani mali za wazazi wako huwezi kurithi ata kama wazazi wameacha mali nyingi kiasi gani mtoto wakike hurusuwi kurithi mali za wazazi wako, wanarithi ni watoto wakiume tu, Mwanamke anarithi Mali za mume wake na siyo mali za wazazi wake.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Wamevamia ukumbi kuharibu kikao hao.Kwa hiyo unahuzunika au unafurahia 😃
Wanazalishwa mno bila mpango, bila malengo, unakuta binti wa miaka 24 tayari ana watoto wa 3 baba tofauti. Ok wakwanza basi tumsamehe tuelewe ilikua bahati mbaya ila wapili na watatu [emoji3064] hapana kwa kweli
Shida ukioa ndio wanajileta zaidi mana wanapenda ushindani wa kushika dola kumzid mke halali.Si mnahamasisha vijana wakatae ndoa jamani Ndio madhara hayo