stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Hawapo mwanamke siku zote hung'ang'ania mtotoVipi na wale mnaozalisha mabinti za watu na kuwabeba watoto wenu kwenda kuwabwagia wazazi wenu wawalelee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapo mwanamke siku zote hung'ang'ania mtotoVipi na wale mnaozalisha mabinti za watu na kuwabeba watoto wenu kwenda kuwabwagia wazazi wenu wawalelee?
Ndio imekua hivyo tena wanawapigia chapuo na pesa za wajukuu anatoa kutoka kwenye malipo yake ya kiinua mgongo ili wajukuu wasife na njaa mama kakaa tu watoto wanalishwa na Bibi na Babu wakati baba zao wapoMkuu wanafanya makusudi wanajua hakuna Baba wala mama atakaye mfanya lolote utakuta Mabinti wapo watatu mdogo wao kazalishwa mtoto kampelaka kwa Bibi na Dada zake wanaona wao umri unakwenda hawajaolewa na hawana mtoto, sasa nawao wanabeba mimba, Wazazi wazamani walikuwa wakali mpaka binti anaogopa kubeba mimba bila ndoa walikuwa wanajua hawana pakwenda lazima watimuliwe nyumbani, au waende uko walipo pata mimba, sikuizi wazazi wakike ndiyo wamekuwa watetezi wa watoto wa nje ya ndoa wanawapokea na kuwalea.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ukiwa na mtoto wa kike ndio kinachofuata Bora nna madumeNi aibu sana kwenye familia, sasa hivi imekua kama fasheni kila nyumba yenye watoto wakike lazima kuna ambao wanazalia nyumbani.
Acha kuongea hisia zako, ongelea uhalisia.Hawapo mwanamke siku zote hung'ang'ania mtoto
Mifano hai ninayo na juzi wamenusurika kukatana mapanga kisa mtoto, mama hataki mtoto aende kwa baba na baba anataka mwanae wametengana baba kaoa mwanamke mwingine mama hataki kumpa mtoto baba, wakataka kuchinjana, wanawake hamuaachi watoto kirahisiAcha kuongea hisia zako, ongelea uhalisia.
Kutokuacha watoto kirahisi haimaanishi hatuachi kabisa. Wapo wengi tu wameacha na mmewapeleka kwa bibi zao wanawalelea.Mifano hai ninayo na juzi wamenusurika kukatana mapanga kisa mtoto, mama hataki mtoto aende kwa baba na baba anataka mwanae wametengana baba kaoa mwanamke mwingine mama hataki kumpa mtoto baba, wakataka kuchinjana, wanawake hamuaachi watoto kirahisi
hata madume nayo siku hizi hovyo tu ndio wazalishaji, hawapo responsible kama wanaume. Ivi unakubalije mwanao kulelewa na familia ya mwanamke na baba yake upo hai?Ukiwa na mtoto wa kike ndio kinachofuata Bora nna madume
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.
Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.
Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.
Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Mtoto wa nyoka ni nyoka. Singo mama lazima binti yake atazalia nyumbani naye kuwa singo mama.Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.
Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.
Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.
Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Hapo ndio wanaume wengine wanalianzisha Ila wanawake hawawaachii watoto kirahisi labda umpachike kesi ya uchizi ndio unapewa mtotoIvi unakubalije mwanao kulelewa na familia ya mwanamke na baba yake upo hai?
Kwa waliozaa na beki 3 wanaoishia kua mabaamedi kwanini asiachie mtoto?Kutokuacha watoto kirahisi haimaanishi hatuachi kabisa. Wapo wengi tu wameacha na mmewapeleka kwa bibi zao wanawalelea.
Ongea na Baba yako uone atakupa jibu ganiMie dada zangu wanne wamezalia nyumban na bado wanaishi nyumban !! Wazaz wapo kimyaa inaniumaa na sjui nifanyee nn??
We acha tuu ndugu yangu.Ni huzuni kubwa[emoji22]
Hata wasio beki tatu au bar maids wanaachia vizuri tu.Kwa waliozaa na beki 3 wanaoishia kua mabaamedi kwanini asiachie mtoto?
Baba atasema dada yako huyo sio kosa lake Ila ana matatizo kichwani
Kwa nini mkuu?Kataa ndoa kwenye hili mnahusika kwa kiwango kikubwa mno
Weee labda wewe unaachia kuna wenzio mtoto kwao ni kitega uchumi wanamuachaje aende wafe njaa wasipate pesa za madela?Hata wasio beki tatu au bar maids wanaachia vizuri tu.
Kwaiyo afukuze wajomba zake, sasa miaka ya mbeleni si watakuja kumsaidia?Fukuza waende Kwa walio wazalisha[emoji35][emoji35][emoji35]