Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

Mkuu wanafanya makusudi wanajua hakuna Baba wala mama atakaye mfanya lolote utakuta Mabinti wapo watatu mdogo wao kazalishwa mtoto kampelaka kwa Bibi na Dada zake wanaona wao umri unakwenda hawajaolewa na hawana mtoto, sasa nawao wanabeba mimba, Wazazi wazamani walikuwa wakali mpaka binti anaogopa kubeba mimba bila ndoa walikuwa wanajua hawana pakwenda lazima watimuliwe nyumbani, au waende uko walipo pata mimba, sikuizi wazazi wakike ndiyo wamekuwa watetezi wa watoto wa nje ya ndoa wanawapokea na kuwalea.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ndio imekua hivyo tena wanawapigia chapuo na pesa za wajukuu anatoa kutoka kwenye malipo yake ya kiinua mgongo ili wajukuu wasife na njaa mama kakaa tu watoto wanalishwa na Bibi na Babu wakati baba zao wapo
 
Acha kuongea hisia zako, ongelea uhalisia.
Mifano hai ninayo na juzi wamenusurika kukatana mapanga kisa mtoto, mama hataki mtoto aende kwa baba na baba anataka mwanae wametengana baba kaoa mwanamke mwingine mama hataki kumpa mtoto baba, wakataka kuchinjana, wanawake hamuaachi watoto kirahisi
 
Mifano hai ninayo na juzi wamenusurika kukatana mapanga kisa mtoto, mama hataki mtoto aende kwa baba na baba anataka mwanae wametengana baba kaoa mwanamke mwingine mama hataki kumpa mtoto baba, wakataka kuchinjana, wanawake hamuaachi watoto kirahisi
Kutokuacha watoto kirahisi haimaanishi hatuachi kabisa. Wapo wengi tu wameacha na mmewapeleka kwa bibi zao wanawalelea.
 
Mtoto wa nyoka
Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao

Nimehamasika kuanzisha Uzi huu baada ya kusoma Uzi wa mdau analalamika dada zake wote wamezalia nyumbani.

Bila shaka atakuwa na uchungu juu ya Jambo hili na ndivyo ilivyo kwa wazazi wengi wanaolea binti zao na mwisho kupewa majukumu mengine ya kulea wajukuu.

Hili ni tatizo kubwa kwasasa wanawake wanapaswa kujitambua na kujua nyakati zimebadilika na suala la malezi ni jukumu zito. Msichana usipo jitambua ni mzigo kwa wazazi wako.

Naandika haya nikiwa Kama mzazi wakiume. Ninyi mabinti ninani aliyewaloga? Hata hivyo serikali inalojukumu la kuanzisha kampeni za uzazi wa mpango kunusuru mabinti na uchumi wao na wazazi wao
Mtoto wa nyoka ni nyoka. Singo mama lazima binti yake atazalia nyumbani naye kuwa singo mama.

Mara nyingi binti uiga tabia ya mama yake kwa asilimia kubwa. Kama binti ameshuhudia mama yake anabadilisha mabwana, lazima na yeye atafanya hivyo hivyo kwani kama mama kafanya kwani yeye nani asifanye.

Binti ambaye anaishi na baba ni nadra sana kuzalia nyumbani maana hawezi kuwa confirtable. Katika mabinti 100 wanaozalia nyumbani, 99 lazima ni katika familia ya single mama yaani hawana malezi ya baba.
 
Back
Top Bottom