HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwanini mzazi akubali?Aisee hii isikie kwa watu tu isikukute inauma sana basi tu ni wazazi hawana jinsi ila inauma na inaleta fedheha mnoo. Ifikie kipindi mabinti jamani wajielewe, muwapunguzie wazazi hii kitu, usomeshwe, utunzwe bado ulete mimba nyumbani aisee! 😡 !
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app