Kwanini mzazi akubali?Aisee hii isikie kwa watu tu isikukute inauma sana basi tu ni wazazi hawana jinsi ila inauma na inaleta fedheha mnoo. Ifikie kipindi mabinti jamani wajielewe, muwapunguzie wazazi hii kitu, usomeshwe, utunzwe bado ulete mimba nyumbani aisee! 😡 !
Uko sahihi lakini nakuhakikishia mwenye wajibu wa kutopata mimba ni mwanamke, akiamua asizae HAZAI, na mwanaume hata ufanyeje ikiwa mwanamke hataki mimba huwezi kumbebesha, never!Na wakiume wanaolelewa watoto wao kwa wazazi wao nao wakae wakijua inawauma sana wazazi wao!!Tusibaki kuwalaumu wakike tu kwa kuwa hawazai kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bali kuna ushiriki wa jinsia Me pia!!!
Shukuru Mungu hayajakukuta tuu. Utalia na hautafanya chochoteBinti yangu hawezi kuzalia nyumbani wakati baba yake nipo! Hiyo haiwezekani! Na yeye anajua hilo. Nawaombeni wazee wenzangu kataeni ujinga huo wa mabinti kuzalia nyumbani, ni aibu! Wewe baba ambaye binti Yako anazalia nyumbani jitathimini, unapaswa kuwa mkali
Wewe utakuwa ni mwanamke, mwanaume hawezi kusema hivyo.Shukuru Mungu hayajakukuta tuu. Utalia na hautafanya chochote
Nina mashaka kama hata una watoto. Mzazi huwezi kusema hivo....hili ni janga,yeyote anaweza kuwa mhanga na hakuna cha kufanya.Wewe utakuwa ni mwanamke, mwanaume hawezi kusema hivyo.
Aiseee alikua anatafuta sehemu ya kupumzikia huyonilibahatisha kupata kademu flani nikatupa kamba kakakubali kumbe kana ujauzito sahiz kanasema nikaoe nimekataaa katakata kulea mtoto wa mtu inauma sana kwa mzazi kulea watoto wawili [emoji16]
We mhaya juzi umelalamika dada zako kuzalia nyumbaniHapa TANZANIA watu wanachelewa kupevuka Akili kutokana na kulelewa na wazazi ambao hawana exposure kubwa ya Maisha then ukikosea Mfano binti kupewa Mimba , baada atumike Kama case study Basi ni lawama vilevile watu wengi hasa vijana wa kiume kichwani bado ni 0-0
Ni Kweli lakini wanaume wakikua kihisia ndo watamaliza hili tatizo and nothing elseWe mhaya juzi umelalamika dada zako kuzalia nyumbani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wanawake wanapenda mtelezo sanaNi Kweli lakini wanaume wakikua kihisia ndo watamaliza hili tatizo and nothing else
Acheni kabisa mimi kiukweli dada zangu ni moja kati ya watu wamenisababisha binti yangu nimlee kwa mapenzi yote udogoni ili akifikia umri wa kujitambua nimuwekee masharti magumu sana....dada wa kwanza alipata mtoto baada ya kumaliza form 6,mdogo ndio nikaingilia kati na kumfukuza nyumbani maana nmehangaika nae kumsomesha kwa jitihada zangu mpk kamaliza chuo kikuu,kakaa hom anasubiri matokeo mimba nikawaambia wazazi nyie tulieni niwaoneshee show huyu aende huko huko kwa aliyempa mimba hakuna kituo cha kulelea watoto wa watu hapa.
sio wote Mpendwa wengi wanazingua,Ni kweli wapo wanaojari lakini wengi hawajariWakishaacha watoto nyumba huwa wanakuja mjini kuwataftia chochote kitu.ukienda mbele ukirudi nyuma hawa masingo mama hulea sana familia zao
Wa kwanza huyo ni dada mkubwa nnaemfuatia mm.,.ila huyo wa pili ni dogo kwa hiyo kwa sababu nilikuwa responsible kwake directly ndo maana wazazi walinipa baraka zote...kuhusu maisha yake ameshajifungua na yupo kwa bwan'ake anajitafuta hukoMkuu mbna ulimfukuza mmoja tu?na maisha yake yakoje uko..
Ndoa mzigo? Weng hawana waoajiUpo sahihi [emoji3581]!! But uzazi wa mpango ni suluhisho? Kwanza mabint weng wa sasa ukiwafuatilia san lifestyle zao na mentality zao ni kwamba wanaona ndoa ni mzigo, ndoa ni mateso.
Eventually wanaishia kutumika na kuzalishwa then baada ya hapo sasa... Utasikia anajivunia mitandaon kua... Single mama, mara utasikia am happy am single and am enjoying life!!!
Yes ndivyo wanavyosema mitaa na mitandaon, but ndoa ni muhimu kuliko usimbe!!Ndoa mzigo? Weng hawana waoaji