Lakn madem ndyo wakuu ktk hlNa wakiume wanaolelewa watoto wao kwa wazazi wao nao wakae wakijua inawauma sana wazazi wao!!Tusibaki kuwalaumu wakike tu kwa kuwa hawazai kwa uwezo wa Roho Mtakatifu bali kuna ushiriki wa jinsia Me pia!!!
100%Na mtoto wa kiume hawezi kuleta mtoto wake kwangu, haiwezekani! Akalelee mtoto wake huko, silei ujinga mie
Pole Sana mkuuAcheni kabisa mimi kiukweli dada zangu ni moja kati ya watu wamenisababisha binti yangu nimlee kwa mapenzi yote udogoni ili akifikia umri wa kujitambua nimuwekee masharti magumu sana....dada wa kwanza alipata mtoto baada ya kumaliza form 6,mdogo ndio nikaingilia kati na kumfukuza nyumbani maana nmehangaika nae kumsomesha kwa jitihada zangu mpk kamaliza chuo kikuu,kakaa hom anasubiri matokeo mimba nikawaambia wazazi nyie tulieni niwaoneshee show huyu aende huko huko kwa aliyempa mimba hakuna kituo cha kulelea watoto wa watu hapa.
Mzee unakata wajukuu wako sasa ukiletewa na kijana wako akitokome pasipo julikana utafanyaje?Na mtoto wa kiume hawezi kuleta mtoto wake kwangu, haiwezekani! Akalelee mtoto wake huko, silei ujinga mie
Atoe majibuMzee unakata wajukuu wako sasa ukiletewa na kijana wako akitokome pasipo julikana utafanyaje?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kabisa Mkuu.Ukitaka kuona mzazi anavyoumia na kuaibika ni binti azalie nyumbani. Wazazi wengi huwa wanaumia sana ni basi tuu.
Noma sana😁Kabisa Mkuu.
Mara nyingine anaumia sana ila anashindwa kumwambia binti yake kwsbb unakuta huyo binti ndio anadanga na kuleta pesa ya matumizi nyumbani
Kwakweli wawapunguzie mzigo wazazi
Sasa utafanyaje mkuu, tuseme utamfukuza amfuate aliyempa mimba ambaye amemkataa, huyu mwanao ataenda wapi? je utapata usingizi huku hujui hatma ya uliyemfukuza kuwa anaishi vipi na mimba yake? basi unakuta hasa sisi wamama huruma inakujia unamuacha tu. Tatizo ni hawa wadada wajitambue...
nikweliSasa utafanyaje mkuu, tuseme utamfukuza amfuate aliyempa mimba ambaye amemkataa, huyu mwanao ataenda wapi? je utapata usingizi huku hujui hatma ya uliyemfukuza kuwa anaishi vipi na mimba yake? basi unakuta hasa sisi wamama huruma inakujia unamuacha tu
Sema yupo kwa shemejiWa kwanza huyo ni dada mkubwa nnaemfuatia mm.,.ila huyo wa pili ni dogo kwa hiyo kwa sababu nilikuwa responsible kwake directly ndo maana wazazi walinipa baraka zote...kuhusu maisha yake ameshajifungua na yupo kwa bwan'ake anajitafuta huko
Ngoja nitunze maneno kwanzaSasa utafanyaje mkuu, tuseme utamfukuza amfuate aliyempa mimba ambaye amemkataa, huyu mwanao ataenda wapi? je utapata usingizi huku hujui hatma ya uliyemfukuza kuwa anaishi vipi na mimba yake? basi unakuta hasa sisi wamama huruma inakujia unamuacha tu. Tatizo ni hawa wadada wajitambue...
NItasikitika kama amepata ujauzito akiwa shuleni maana atafukuzwa na mipango yake itakuwa imeharibika.Ukitaka kuona mzazi anavyoumia na kuaibika ni binti azalie nyumbani. Wazazi wengi huwa wanaumia sana ni basi tuu.
Sasa unakuta umemlea wewe mpaka amekuwa mtu mzima halafu badala ajitambue kama amezaa azae na Mwanaume anayeweza kumuhudumia hata ikibidi aishi nae au ampangie chumbaNItasikitika kama amepata ujauzito akiwa shuleni maana atafukuzwa na mipango yake itakuwa imeharibika.
Sitaona aibu yoyote nitamsapoti aje asimame mwenyewe kulea mtoto wake.
AIbu itakuja pale ambapo atakuwa hajatulia anaendelea kurukaruka ihali ana mtoto wa kulea.
Kama amemaliza sekondari akaamua kuzaa atajua yeye. Aibu ya nini?
Mtoto wake atalea yeye mwenyewe akiwepo hapo nyumbani kwangu. Sikatai kuna gharama nitaingia lakini nitahakikisha anajitambua na kuweza kumhudumia mwanae.Sasa unakuta umemlea wewe mpaka amekuwa mtu mzima halafu badala ajitambue kama amezaa azae na Mwanaume anayeweza kumuhudumia hata ikibidi aishi nae au ampangie chumba
Lakini umemlea yeye then anaenda kupata mimba anakuletea mtoto wake hapo umlelee mtoto
Kwanini akupe hayo majukumu? Na mara nyingine unakuta yeye na mzazi mwenzie hawaprovide chochote kwako.
Tatizo hiliSasa unakuta umemlea wewe mpaka amekuwa mtu mzima halafu badala ajitambue kama amezaa azae na Mwanaume anayeweza kumuhudumia hata ikibidi aishi nae au ampangie chumba
Lakini umemlea yeye then anaenda kupata mimba anakuletea mtoto wake hapo umlelee mtoto
Kwanini akupe hayo majukumu? Na mara nyingine unakuta yeye na mzazi mwenzie hawaprovide chochote kwako.
Kuzalia home kunamfedhehesha mzazi, haijalishi upo primary, secondary au chuo kikuu.NItasikitika kama amepata ujauzito akiwa shuleni maana atafukuzwa na mipango yake itakuwa imeharibika.
Sitaona aibu yoyote nitamsapoti aje asimame mwenyewe kulea mtoto wake.
AIbu itakuja pale ambapo atakuwa hajatulia anaendelea kurukaruka ihali ana mtoto wa kulea.
Kama amemaliza sekondari akaamua kuzaa atajua yeye. Aibu ya nini?
Sio mzazi mimi. Asipokuja kuolewa asizae kwasababu nitafedheheka?Kuzalia home kunamfedhehesha mzazi, haijalishi upo primary, secondary au chuo kikuu.
Ndiyo mzigo ni kwa watoto wa upande wa kike, kwasababu mtoto kwa upande wa kiume ana endeleza ukooKwahiyo mzigo ni kwa watoto wa upande wa kike tu!!!
Basi sawa.