Mzimbabwe Maxwell Chikumbutso ameunda gari inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio

Mzimbabwe Maxwell Chikumbutso ameunda gari inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio


View: https://youtu.be/UTLrEFErVaw
Raisi was Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amempongeza Mzimbambwe Maxwell Chikumbutso kwa uvumbuzi wa gari “Saith Vehicle” inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio( radi waves).
Hii ni gari ya kwanza duniani kuwa pawa na mawimbi ya radio peke yake.
Maxwell amedai ametengeneza chombo ambacho kinaitwa “Microsonic energy device”kinachogeuza mawimbi ya radio kuwa umeme.
Pia amedai gari hiyo inaweza kutoko 0 mpaka 100km/h ndani ya sekunde mbili.

Soma zaidi hapa: Move Over, Elon Musk: Zimbabwean Inventor Unveils Game-Changing Car That Runs on Radio Waves

Screenshot_2025-01-31-02-16-18-654_org.mozilla.firefox.jpg
Screenshot_2025-01-31-02-16-15-486_org.mozilla.firefox.jpg
Screenshot_2025-01-31-02-15-42-514_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
Screenshot_2025-01-31-02-14-28-427_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
 
Kijana huyu amekumbana na majaribio mengi ya kutaka kumuua ikiwemo na serikali yenyewe. Eneo analoishi huyu kijana majirani zake kariba nyumba 300 wanatumia umeme wa mawimbi ya radio. Kuna Wamarekani walimtembelea mwaka 2021 akawaelezea jinsi umeme unavyozalishwa, na kifaa cha kuongezea nguvu. Pia ameunda helicopter inayotumia huo umeme. Wazungu siku ile wali conclude kuwa Mtu Mweusi ni kiumbe cha kuheshimiwa. Waliondoka wakiwa shingo upande kwasababu hawakuambulia kitu.
Weka chanzo cha hizi stories.
 
Huyonkijana alindwe sana, mashetani wa kimagharibi watamfinya.
... hamna kitu hapo ndugu yangu! ... au umesahau mwingine aliibukaga Uganda na teknilojia ya magumashi akawaingiza mjini mpaka akina Museveni?
NDOTO NI MWANZO MZURI, ... LAKINI ZI'MAKE' SENSE KIDOGO BASII!
 
Imeniacha na maswali:
1) Radio waves carry low energy. How can you harness this low energy to power a 1405 kg car?

2)Bugatti Chiron Super Sport is equipped with a V8 engine with four turbines that deliver up to 1600 hp, allowing the car to accelerate to a hundred in about 2.6 seconds. How does a car with a 380 torque motor achieve 0 to 100 km/h in 2 seconds?
Au ni yale mambo ya kusema tutawaletea umeme usiotumia nyaya wala nguzo za Tanesco wakimaanisha solar electricity.
 

View: https://youtu.be/UTLrEFErVaw
Raisi was Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amempongeza Mzimbambwe Maxwell Chikumbutso kwa uvumbuzi wa gari “Saith Vehicle” inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio( radi waves).
Hii ni gari ya kwanza duniani kuwa pawa na mawimbi ya radio peke yake.
Maxwell amedai ametengeneza chombo ambacho kinaitwa “Microsonic energy device”kinachogeuza mawimbi ya radio kuwa umeme.
Pia amedai gari hiyo inaweza kutoko 0 mpaka 100km/h ndani ya sekunde mbili.

Soma zaidi hapa: Move Over, Elon Musk: Zimbabwean Inventor Unveils Game-Changing Car That Runs on Radio Waves

Nitaisoma habari hii kwa kiingereza kuelewa nini hasa kimefanyika.
 
Tatizo tuna Siasa nyingi sana na we never ask how na explanation ya kutosha..., ndio maana kuna yule mtu alikuja Bongo na sijui Umeme unaoendeshwa na sumaku pekee (perpetual machine) hadi waziri akakutana nae, ingawa wadau tunaoangalia mambo na kwa undani na kupitia theories za hapa na pale tukasema hapa kuna walakini...

Kwahio huyu mdau ni wa kuuliza inaendeshwa maana yake nini ? Yaani ni kama remote inayotumia hizo waves ili kuendesha hilo gari linalotumia hio Nishati ? Au ni kama kuna Nishati unaweka ili iweze kubadilishwa na hizo waves ili kupata usable energy ya kuendeshea hilo gari na hio Nishati inabadilishwa kutoka nini kuwa nini (Energy can never be created not destroyed)

Sababu implications za hilo jambo sio gari tu kama tunaweza kupata Nishati ambayo ni bora na rahisi kuliko mafuta, maji / gesi au mechanical energy ambayo tunaweza ibadilisha ikawa umeme kwanini tuishie kwenye magari pekee, si tufunge hata lile Bwawa kule Nyerere na viwanda vyote vya makaa ya mawe ili tuanza kutumia hayo mawimbi ?

Moral of the Story..., Always ask HOW... na Kuelewa lugha ya Kibiashara sababu kuendeshwa kunaweza kumaanisha vitu Vingi na siku hizi wajanja ni wengi hapo huenda kavuta pesa za angel investors na miaka kumi ijayo bado kutakuwa na prototype ambayo bado inarekebishwa maabara....
 
Kijana huyu amekumbana na majaribio mengi ya kutaka kumuua ikiwemo na serikali yenyewe. Eneo analoishi huyu kijana majirani zake kariba nyumba 300 wanatumia umeme wa mawimbi ya radio. Kuna Wamarekani walimtembelea mwaka 2021 akawaelezea jinsi umeme unavyozalishwa, na kifaa cha kuongezea nguvu. Pia ameunda helicopter inayotumia huo umeme. Wazungu siku ile wali conclude kuwa Mtu Mweusi ni kiumbe cha kuheshimiwa. Waliondoka wakiwa shingo upande kwasababu hawakuambulia kitu.
Waafrika tunapenda sana kulishana Matango pori, yaani mtu avumbue njia mpya ya uzalishaji umeme ambayo inakaribiana na dhana ya "free energy" afu mataita na mabepari wa dunia wakuache kizembe zembe ? Hamko serious 😂😂
 
Tatizo tuna Siasa nyingi sana na we never ask how na explanation ya kutosha..., ndio maana kuna yule mtu alikuja Bongo na sijui Umeme unaoendeshwa na sumaku pekee (perpetual machine) hadi waziri akakutana nae, ingawa wadau tunaoangalia mambo na kwa undani na kupitia theories za hapa na pale tukasema hapa kuna walakini...

Kwahio huyu mdau ni wa kuuliza inaendeshwa maana yake nini ? Yaani ni kama remote inayotumia hizo waves ili kuendesha hilo gari linalotumia hio Nishati ? Au ni kama kuna Nishati unaweka ili iweze kubadilishwa na hizo waves ili kupata usable energy ya kuendeshea hilo gari na hio Nishati inabadilishwa kutoka nini kuwa nini (Energy can never be created not destroyed)

Sababu implications za hilo jambo sio gari tu kama tunaweza kupata Nishati ambayo ni bora na rahisi kuliko mafuta, maji / gesi au mechanical energy ambayo tunaweza ibadilisha ikawa umeme kwanini tuishie kwenye magari pekee, si tufunge hata lile Bwawa kule Nyerere na viwanda vyote vya makaa ya mawe ili tuanza kutumia hayo mawimbi ?

Moral of the Story..., Always ask HOW... na Kuelewa lugha ya Kibiashara sababu kuendeshwa kunaweza kumaanisha vitu Vingi na siku hizi wajanja ni wengi hapo huenda kavuta pesa za angel investors na miaka kumi ijayo bado kutakuwa na prototype ambayo bado inarekebishwa maabara....
Mimi mwenyewe tangu jana nimeanza kupata ukakasi na explanation za jamaa na cha ziada ni kwamba uvumbuzi anaoongelea ni revolutionary sana yaani nina uhakika hadi BBC wangekua huko Zimbabwe sahizi
 
Chikumbutsu husema tekinolojia yake inatumia usumaku-umeme wa mawimbi radio...

Maarifa halisi ya utundu wa tekinolojia yake ya uvunaji wa umeme kutoka kwenye 'utupu' ni 'siri'; japo kwa sasa inaweza kuwa hivi kwa sababu za wazi: USALAMA WAKE BINAFSI.


Kiukweli khasa wa mambo, utundu huu wa kugema umeme kwa sakiti za usanifu maalum--sakiti maalum za kiuelektronishi ni uwezekano; ni kitu ambacho kimefanywa 'daraja siri' kwa kuwa mapelekeo yake kwa 'statusi kwou' ni yenye kutikisa khasa mifumo ya uchumi-siasa-tawala Duniani kote.

Ikiwa jambo la Chikumbutsu litafaulu, kurasmisha tekinolojia ya Umeme kutoka kwenye Utupu, Serikali ya Zimbambwe itakuwa imejipanga na kujiandaa na 'figisu' za 'vibopa' wa 'Fedha/Misaada/Tasnia ya Viwanda/jeshi'--Kiintelijensia na Mikakati; ama hiyo nchi ya Afrika imepata 'Kibali' cha 'Wazee' wa 'Dunia ya Mungu, Vitu vya Mzungu'...

Tekinolojia za kimapinduzi zipo; lakini haitakuwa rahisi hizi kurasmishwa kwa kuwa 'zinaweza kutibua kila kitu' katika mifumo ya fedha hapa Duniani. Wazee wa 'Dunia ya Mungu, Vitu vya Mzungu' wapo tayari hata kudhamini mikutano ya kimataifa na kutoa/kuahidi 'midolali' ili mradi tu 'Jumuiya ya Kimataifa inachezeshwa Sikinde Ngoma ya Ukae'....

Tukiwa sisi ni miongoni mwa mataifa tunayopofushwa na 'Fedha/Ruzuku/Mitaji/Uwekezaji' na mapana yote ya mataraji ya Kibepari, hatuwezi 'kupindua meza' kwa kuwa Viongozi na Watendaji katika taasisi zetu primu wanapumbazwa ama kupelekwa puta na mataraji ya 'upatikanaji wa fedha' ama 'Misaada' ya namna hii ama ile...

Hili linatutaka sana sisi kupangana kimya kimya kuhusu maendeleo yetu na mustakabli wetu kijamii, maendeleo na ustawi wetu. Inashangaza kuona khabari za Chikumbutsu zinafungamana na 'Wachina' kuingia kwenye ukuzaji na uendelezaji wa tekinolojia za utengenezaji wa vyombo vya uchukuzi, ni jambo linalofaulu kuwekwa kwenye 'Kisomo' na wadau wa uono na ufikirifu mifumo...

Nchi zote zilizoendelea, wanayomashirika na wadau wenye hizi tekinolojia na suluhu; lakini wanajikausha kimikakati....

Hmmm​
Huyu jamaa mimi nina wasiwasi ni tapeli, nachojua mawimbi ya redio yanabeba nishati ndogo sana....... Hivyo iwaje kitu kinachokuwa na nishati ndogo hivi kuweza kuendesha gari?
 
Back
Top Bottom