Mzimbabwe Maxwell Chikumbutso ameunda gari inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio

Mzimbabwe Maxwell Chikumbutso ameunda gari inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio

Mimi mwenyewe tangu jana nimeanza kupata ukakasi na explanation za jamaa na cha ziada ni kwamba uvumbuzi anaoongelea ni revolutionary sana yaani nina uhakika hadi BBC wangekua huko Zimbabwe sahizi
Achana na BBC (Kufika huko unless unataka publicity ili upige pesa za wawekezaji) Kina Toyota, kina Tesla na wadau wa Nishati wa nchi zote wangekuwa wanamsumbua dogo na kuhangaika ni jinsi gani wanaweza kupata patent; hii issue sio gari tu ukiweza ku power generator basi unaweza ku power chochote kile.., hivyo huyu inabidi awe karibu na kina Faraday na aweke kabisa theories zake..., Ila ndio hivyo lugha za kibiashara huchelewi kuambiwa hio inachofanya ni kutumia nishati fulani kidogo ili kuwasha nishati nyingine nyingi ili iweze kufanya kazi....

Na issue za siasa huchelewi kuambiwa dogo kuna makampuni ya mafuta yalimpiga biti ili ashindwe kuweka sawa issue yake (ingawa kumbe ukweli jambo halikuwa viable)

Kwahio mpaka tukifahamu the HOW hii iendelee kuwa Story kama nyingine nyingi..., By the way hivi zile battery za Mengi za kuchaji smartphone sijui kukaa na chaji wiki ziliishia wapi ?
 

View: https://youtu.be/UTLrEFErVaw
Raisi was Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amempongeza Mzimbambwe Maxwell Chikumbutso kwa uvumbuzi wa gari “Saith Vehicle” inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio( radi waves).
Hii ni gari ya kwanza duniani kuwa pawa na mawimbi ya radio peke yake.
Maxwell amedai ametengeneza chombo ambacho kinaitwa “Microsonic energy device”kinachogeuza mawimbi ya radio kuwa umeme.
Pia amedai gari hiyo inaweza kutoko 0 mpaka 100km/h ndani ya sekunde mbili.

Soma zaidi hapa: Move Over, Elon Musk: Zimbabwean Inventor Unveils Game-Changing Car That Runs on Radio Waves

Huyu akutannishwe na Elon Musk
 
Bingwa hebu tuelezee hii teknolojia inafanyaje kazi kwa kimatumbi tuelewe maana hio lugha hata raisi wake hajamuelewa.....
Yeye anasema ameunda kitu kinaitwa micro sonic energy device ambacho kinavuna nguvu itokanayo na mawimbi ya sauti ambayo yamejaa kwenye mazingira na kuigeuza kuwa umeme. Amesema amegundua siri ya njia ya kuyafanya hayo mawimbi kuwa umeme wenye nguvu kupitia hicho kifaa chake ambapo yanaweza kuchaji battery battery ikasukuma mota na gari lake halihitaji kuchajiwa wala si hybrid kusema litahitaji mafuta na bado linaweza kutumika kama chanzo cha umeme kwenye nyumba.
Huyu jamaa kama ya magari alianza na TV ambazo hazitumii umeme wala sora kwa kuweka hicho kifaa chake nyuma ya TV yenyewe.
Naona akikiboresha au tayari anaweza kutengeneza mfumo ambapo mtu ananunua na kuunga kwenye nyumba yake anakuwa hana haja tena ya kulipia umeme.
Anadai alipoenda Silcon valley walikuwa hawaamini na alipotaka ku patent ugunduzi wake waligoma kwa sababu unapingana na sheria za fizikia.
 
Achana na BBC (Kufika huko unless unataka publicity ili upige pesa za wawekezaji) Kina Toyota, kina Tesla na wadau wa Nishati wa nchi zote wangekuwa wanamsumbua dogo na kuhangaika ni jinsi gani wanaweza kupata patent; hii issue sio gari tu ukiweza ku power generator basi unaweza ku power chochote kile.., hivyo huyu inabidi awe karibu na kina Faraday na aweke kabisa theories zake..., Ila ndio hivyo lugha za kibiashara huchelewi kuambiwa hio inachofanya ni kutumia nishati fulani kidogo ili kuwasha nishati nyingine nyingi ili iweze kufanya kazi....

Na issue za siasa huchelewi kuambiwa dogo kuna makampuni ya mafuta yalimpiga biti ili ashindwe kuweka sawa issue yake (ingawa kumbe ukweli jambo halikuwa viable)

Kwahio mpaka tukifahamu the HOW hii iendelee kuwa Story kama nyingine nyingi..., By the way hivi zile battery za Mengi za kuchaji smartphone sijui kukaa na chaji wiki ziliishia wapi ?
Kwenye hayo mazungumzo si anasema kuna watu walimuapproach na mamilioni lakini akagoma na rais akahidi kumsupport.
Jamaa naona kapita njia ya bwana tesla ya kuvuna free energy iliyojaa hewani.
Yani unaninunua gari hakuna kuchaji wala kuweka mafuta maisha yake yote.
 
Imeniacha na maswali:
1) Radio waves carry low energy. How can you harness this low energy to power a 1405 kg car?

2)Bugatti Chiron Super Sport is equipped with a V8 engine with four turbines that deliver up to 1600 hp, allowing the car to accelerate to a hundred in about 2.6 seconds. How does a car with a 380 torque motor achieve 0 to 100 km/h in 2 seconds?
Hapa unazungu
 

View: https://youtu.be/UTLrEFErVaw
Raisi was Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amempongeza Mzimbambwe Maxwell Chikumbutso kwa uvumbuzi wa gari “Saith Vehicle” inayoendeshwa kwa nguvu za mawimbi ya radio( radi waves).
Hii ni gari ya kwanza duniani kuwa pawa na mawimbi ya radio peke yake.
Maxwell amedai ametengeneza chombo ambacho kinaitwa “Microsonic energy device”kinachogeuza mawimbi ya radio kuwa umeme.
Pia amedai gari hiyo inaweza kutoko 0 mpaka 100km/h ndani ya sekunde mbili.

Soma zaidi hapa: Move Over, Elon Musk: Zimbabwean Inventor Unveils Game-Changing Car That Runs on Radio Waves

Apewe ulinzi wa kutosha
 
Yeye anasema ameunda kitu kinaitwa micro sonic energy device ambacho kinavuna nguvu itokanayo na mawimbi ya sauti ambayo yamejaa kwenye mazingira na kuigeuza kuwa umeme. Amesema amegundua siri ya njia ya kuyafanya hayo mawimbi kuwa umeme wenye nguvu kupitia hicho kifaa chake ambapo yanaweza kuchaji battery battery ikasukuma mota na gari lake halihitaji kuchajiwa wala si hybrid kusema litahitaji mafuta na bado linaweza kutumika kama chanzo cha umeme kwenye nyumba.
Huyu jamaa kama ya magari alianza na TV ambazo hazitumii umeme wala sora kwa kuweka hicho kifaa chake nyuma ya TV yenyewe.
Naona akikiboresha au tayari anaweza kutengeneza mfumo ambapo mtu ananunua na kuunga kwenye nyumba yake anakuwa hana haja tena ya kulipia umeme.
Anadai alipoenda Silcon valley walikuwa hawaamini na alipotaka ku patent ugunduzi wake waligoma kwa sababu unapingana na sheria za fizikia.
Uongo wa jamaa unaanza na point yake ya silicone valley
1. Silicone valley hawawezi kukataa kitu kwasababu hakiendani na sheria za fizikia, as long as it's actionable na inafanyika explanation zitatafitwa baadae
2. Hata mchina ana silicone valley yake , je huko nako wameshindwa kuona point ya anachokifanya?
3. Huyu jamaa ni miaka kadhaa sasa tangu aliposema anaweza kufanya hichi anachokisema amekifanya leo kwa TV ........ Sasa najiuliza..... Kama hamna mzimbwabwe hata mmoja anayetumia TV za aina hiyo basi tuaminije sasa kwenye gari?
 
Kwenye hayo mazungumzo si anasema kuna watu walimuapproach na mamilioni lakini akagoma na rais akahidi kumsupport.
Jamaa naona kapita njia ya bwana tesla ya kuvuna free energy iliyojaa hewani.
Yani unaninunua gari hakuna kuchaji wala kuweka mafuta maisha yake yote.
Huyo jamaa muongo bwana, yaani ukatae millions na billions ya Watu wenye infrastructure za kufanya idea yako actionable unarudi kulialia na kina Mnanangwa huku barani ? Kweli? Yaani hata Mchina aliyejaa Zimbabwe hana time nae? Kweli?
 
Kwenye hayo mazungumzo si anasema kuna watu walimuapproach na mamilioni lakini akagoma na rais akahidi kumsupport.
Wote huwa wanasema hivyo na watu wenye busara huwezi ukaja tu na black box ukasema hili nikibonyeza hapa ninatoa dhahabu, unakuwa na working prototype na kama mpaka nchi inampa support (sio Rais pekee ambaye na yeye anaweza kuingizwa cha Kike); kwahio hio working prototype kama unataka iwe trade secret unatoa za kutosha ili independent people wafanye verification au unatoa working theory na jinsi inavyofanya kazi ili dunia nzima inaweza kutumia na wewe kulipwa for your invention; sababu hata ukikaa kimya watu wanafanya reverse engineering na mwisho wa siku itaingia sokoni....
Jamaa naona kapita njia ya bwana tesla ya kuvuna free energy iliyojaa hewani.
Tesla gani ? Tesla za inventor ambaye mpaka leo hio theory yake ya free energy bado haijawa na huge practicability ? Kwahio na huyu Jamaa huenda miaka 20 from now bado tutakuwa kwenye conspiracy ? Pia kumbuka Tesla hio idea yake ilikuwa ni transmission na sio generation na ukitaka mitambo kama hio wewe ingia Youtube tu kuna wadau wengi tu watakwambia wana prototypes za kutosha

Ndio maana mimi badala ya kusema Kudos kijana ninauliza HOW ?
Yani unaninunua gari hakuna kuchaji wala kuweka mafuta maisha yake yote.
Kwanini ununue gari tu kwanini tusifunge na Bwawa la Nyerere ili kila mtu anunue generator aweke nyumbani kwake na kula maisha to infinity
 
Uongo wa jamaa unaanza na point yake ya silicone valley
1. Silicone valley hawawezi kukataa kitu kwasababu hakiendani na sheria za fizikia, as long as it's actionable na inafanyika explanation zitatafitwa baadae
2. Hata mchina ana silicone valley yake , je huko nako wameshindwa kuona point ya anachokifanya?
3. Huyu jamaa ni miaka kadhaa sasa tangu aliposema anaweza kufanya hichi anachokisema amekifanya leo kwa TV ........ Sasa najiuliza..... Kama hamna mzimbwabwe hata mmoja anayetumia TV za aina hiyo basi tuaminije sasa kwenye gari?
Katafute video ya TV zake niliona.
Na kwenye hiyo hiyo video kasema kuwa ana partner na kampuni ya kichina kuunda kiwanda cha kuzalisha hayo magari hapo hapo zimbabwe.
Mkuu, unakumbuka kipindi cha magufuli yule mzee wa tabata aliyetengeneza mtambo wa kuzalisha umeme bila mafuta wala hautumii sola? Alitembelewa hadi na aliyekuwa naibu wa nishati steven byabato na watu wa tanesco?
Mzee akasema kuwa kuna watu walimfuata awauzie siri ya mtambo wake na ela nyingi akakataa kwa sababu alitaka ifanyike tanzania. Serikali ikatoa ahadi kama kawa, je, aliishia wapi? Hii ndiyo afrika.
Siyo kila kitu kinachoenda silcon valley huwa kinapata investors. Tazama kile kipindi ambapo watu huwa wanapeach ideas zao za invention kuna idea zingine zinawakuwaga so fascinating kwa investors lakini wanabaki na mashaka wanasema kabisa hiki kitu ni kizuri lakini kuwekeza fedha hapana kwa sasa.
 
Huyo jamaa muongo bwana, yaani ukatae millions na billions ya Watu wenye infrastructure za kufanya idea yako actionable unarudi kulialia na kina Mnanangwa huku barani ? Kweli? Yaani hata Mchina aliyejaa Zimbabwe hana time nae? Kweli?
Umetazama video hiyo? Mwisho kasema amepartner na kampuni ya china wamekubaliana watatumia technology yake kuzalisha magari na kiwanda kitajengwa hapo zimbabwe.
 
Mkuu, wanapo zungumzia acceleration speed hawana maana hiyo uliyoiweka wewe. Tafsiri ni kwamba gari inachukua mfano sekunde 3 ku-accelerate from 0 speed to 100km /h (kufikia speed ya 100km/h ndani ya sekunde 3)

Haina maana kwamba inachukua sekunde 3 kucover umbali wa 100km.
Sasa nimeelewa 💪💪🧠
 
Katafute video ya TV zake niliona.
Na kwenye hiyo hiyo video kasema kuwa ana partner na kampuni ya kichina kuunda kiwanda cha kuzalisha hayo magari hapo hapo zimbabwe.
Mkuu, unakumbuka kipindi cha magufuli yule mzee wa tabata aliyetengeneza mtambo wa kuzalisha umeme bila mafuta wala hautumii sola? Alitembelewa hadi na aliyekuwa naibu wa nishati steven byabato na watu wa tanesco?
Mzee akasema kuwa kuna watu walimfuata awauzie siri ya mtambo wake na ela nyingi akakataa kwa sababu alitaka ifanyike tanzania. Serikali ikatoa ahadi kama kawa, je, aliishia wapi? Hii ndiyo afrika.
Siyo kila kitu kinachoenda silcon valley huwa kinapata investors. Tazama kile kipindi ambapo watu huwa wanapeach ideas zao za invention kuna idea zingine zinawakuwaga so fascinating kwa investors lakini wanabaki na mashaka wanasema kabisa hiki kitu ni kizuri lakini kuwekeza fedha hapana kwa sasa.
Mkuu....embu tuwe practical kidogo..... Huyu jamaa Maxwell anachodai kufanya hapa ni kitu kina karibiana kabisa na "free energy" ; kama kuna ukweli wowote wa kile alichokifanya nakuapia hamna muwekezaji angeweza kuondoka bila kuchota huo ujuzi
So far mimi nadhani kila wakija angalia anachofanya wanakuta in reality ni less efficient kuliko wanavyofanya wao, au ukute maelezo anayoyatoa na uhalisia wa anachokifanya haviendani
 
Mkuu....embu tuwe practical kidogo..... Huyu jamaa Maxwell anachodai kufanya hapa ni kitu kina karibiana kabisa na "free energy" ; kama kuna ukweli wowote wa kile alichokifanya nakuapia hamna muwekezaji angeweza kuondoka bila kuchota huo ujuzi
So far mimi nadhani kila wakija angalia anachofanya wanakuta in reality ni less efficient kuliko wanavyofanya wao, au ukute maelezo anayoyatoa na uhalisia wa anachokifanya haviendani
Yeye mwenyewe kasema amegundua njia ya kuharness free energy same as tesla alivyokuwa anataka. Kashapata hao wachina watamsaidia.
Kwa hiyo wewe mkuu unadhani labda anadanganya hizo gari ni hybrid au zinachajiwa? I am sure ingekuwa ni mzungu kasema hivyo ungeamini mara moja
 
Yeye mwenyewe kasema amegundua njia ya kuharness free energy same as tesla alivyokuwa anataka. Kashapata hao wachina watamsaidia.
Kwa hiyo wewe mkuu unadhani labda anadanganya hizo gari ni hybrid au zinachajiwa? I am sure ingekuwa ni mzungu kasema hivyo ungeamini mara moja
Hizo gari ni hybrid na ndo maana moja kati ya picha alizopiga alionesha battery pack yake
Hata angekuja mzungu akasema hivi mimi kuna vigezo ningeangalia ndio nimuamini
 
Huyu jamaa mimi nina wasiwasi ni tapeli, nachojua mawimbi ya redio yanabeba nishati ndogo sana....... Hivyo iwaje kitu kinachokuwa na nishati ndogo hivi kuweza kuendesha gari?
SIYO 'TAPELI'...

Japo 'Usanii' upo...

Hadi hapo ubunifu wake utakapokuja kuwekwa wazi, Uwezekano ni kwamba tekinolojia yake ni uvunaji rahisi wa 'Nishati kutoka kwenye Utupu'.

Kwenye uga wa sayansi na tekinolojia hutajwa kama 'Nishati Nukta Sifuri'--Zero Point Energy, ZPE.

Ulimwengu wote unafanyika kwa 'pumzi za kiumeme'; ukijua kwa mfano 'Kapasita' ina maajabu gani khasa ambavyo hata tuseme basi: Umeme wa Mkondo Nyoofu, Umeme KN, haupiti ili kutiririka katika Sakiti ya Uelektronishi na khali Umeme Mkondo Geu unapita; unakuwa umekaribia kujua 'siri' ya mbegu ya u-JUAJI-ji ya utundu wa Chikumbutsu...


View: https://www.youtube.com/watch?v=k7_PX8BqUYY

Unachohitaji kujua kwa nyongeza, ni finomena ya Umeme Mkatizo, namna fulani ya athari ya kiumeme inayoitwa 'Transient Electrical Effect'; haya uyafananishe 'Athari Kasmiri' ili uelekee kwenye jambo linafahamika kama 'Utetemeazi Sumaku-Umeme wa Kikwantumu--Quantum EM Resonance' katika 'Nafasi iliyotupu/Utupu/Vakyumu'... Hapa unahitaji mapana ya maarifa ya 'Ufizikia usio wa Kiunafasi--Non Local Physics', mambo ya 'Fizikia Unishati Sumaku-Umeme ulio ni Skala--Scalar Electromagnetism... Unaweza 'kupindua meza kuhusu Unishati na nguvu zake' kwa kupangua 'muundo wa vipitishi umeme vilivyo 'active-Vya kiutendaji'... Kwa mfano, unafahamu koili ya kawaida inasokotwa vipi kwenye sakiti(?).. huwa kama 'Nyoka anayejizungusha mwelekeo mmoja... Lakini ukisokota waya mwelekeo mmoja halafu ukageuza mwelekeo kinyume katika sakiti hiyo hiyo, nafasi hiyo hiyo ya kiminyongoroto, basi huo ni ndiyo mwanzo wa kuotea 'Utetemeazi wa Kikwantumu kwa Unishati Umeme-sumaku'...

Kwa utundu wa kusokota nyaya--iwe kwa maumbo zaidi ya 'ubomba'--labda kusokota kama 'Pia' kwa mfano; kupitisha umeme kwenye 'Mbawa Mbili' ama 'Usindano na Bawa', kwenye ufilamenti na ubomba unaweza 'kutekenya' nguvu za Kiumeme Sumaku zilizopo pote na kokote... Na ndiyo hili linashahibiana na utetema -- pumzi za nishati ya umeme, ambayo inakidhi kutambuliwa kama 'Mawimbi Radio'... Utemema kwa makadirifu ya kihisabati ni 'frikwensi za kasi sana za Ugeu wa Umeme' na uhamonifu wake...

Hauhitaji kuwa 'Charles Steinmetz' wa 'nadharia za Umeme'--Utundu na Magutu vinaweza kukuongoza kuotea mawezekano ya ajabu ya umeme... Nikola Tesla, alikuwa mtundu na mwenye magutu, japo kuzungumzia 'magutu' ndiyo kuelekea kwenye 'Dunia ya Mungu'...

Ndani ya Miaka 15 kutoka mwaka huu, 2025, haya mambo ya kuvuna umeme kwa sakiti maalum za ZPE yatakuwa ni jambo la kawaida... Na linakwenda kubadilisha mambo mengi sana katika maisha na ustaarabu wetu hapa Duniani... Vyombo vya uchukuzi ardhini na hewani vinakwenda kubadilika sana... Na hili, linakwenda kututaka tubadilishe yote ya 'Uchumi Mbovu' wa leo Duniani...

Sasa Mzee Trump kuja na haja ya mradi wa 'STARGATE' ndiyo 'ingilio lenyewe' la 'Uchawi' wote wa mambo haya... Unaweza kuendesha 'Langonyota' kwa chanzo cha nishati kilicho ni ZPE ukilivaanisha hili na matumizi ya Akili Bandia... Siyo umeme wa 'Mabwawa' ama nini...​
 
Tatizo tuna Siasa nyingi sana na we never ask how na explanation ya kutosha..., ndio maana kuna yule mtu alikuja Bongo na sijui Umeme unaoendeshwa na sumaku pekee (perpetual machine) hadi waziri akakutana nae, ingawa wadau tunaoangalia mambo na kwa undani na kupitia theories za hapa na pale tukasema hapa kuna walakini...

Kwahio huyu mdau ni wa kuuliza inaendeshwa maana yake nini ? Yaani ni kama remote inayotumia hizo waves ili kuendesha hilo gari linalotumia hio Nishati ? Au ni kama kuna Nishati unaweka ili iweze kubadilishwa na hizo waves ili kupata usable energy ya kuendeshea hilo gari na hio Nishati inabadilishwa kutoka nini kuwa nini (Energy can never be created not destroyed)

Sababu implications za hilo jambo sio gari tu kama tunaweza kupata Nishati ambayo ni bora na rahisi kuliko mafuta, maji / gesi au mechanical energy ambayo tunaweza ibadilisha ikawa umeme kwanini tuishie kwenye magari pekee, si tufunge hata lile Bwawa kule Nyerere na viwanda vyote vya makaa ya mawe ili tuanza kutumia hayo mawimbi ?

Moral of the Story..., Always ask HOW... na Kuelewa lugha ya Kibiashara sababu kuendeshwa kunaweza kumaanisha vitu Vingi na siku hizi wajanja ni wengi hapo huenda kavuta pesa za angel investors na miaka kumi ijayo bado kutakuwa na prototype ambayo bado inarekebishwa maabara....
Mie sijui physics kiivo ila nimeona sehemu anasema wakati anaanza ilikuwa ngumu kwa sababu aliambiwa anachojaribu kufanya ni kuvunja laws of physics anasema ilibidi afanye kwa siri na jambo lake likatiki.
 
Hizo gari ni hybrid na ndo maana moja kati ya picha alizopiga alionesha battery pack yake
Hata angekuja mzungu akasema hivi mimi kuna vigezo ningeangalia ndio nimuamini
kaeleza kwa mfumo wake unazalisha umeme unachaji battery ma battery ndilo linasupply umeme kwa motor au nyumba. Kasema gari halitumii mafuta wala kuchajiwa. Sasa wewe ukisema hybrid hayo ni maoni yako.
Unamfahamu jamaa anaitwa Tom Ogle na uvumbuzi wake Ogle fuel system? How did the industry react to it?
And by the way anaweza kweli akawa alifika silcon valley lakini hakufanikiwa kukutana na the right people kwa sababu hata silcon valley you need connections to meet the right people hata ukisoma kuhusu story ya mark na facebook he needed someone to connect him with the right people, hata mwanzilishi wa Canva alienda silcon valley mara mbili na ilikuwa ashakata tamaa mpaka mtu sahihi alipomkutanisha na watu sahihi.
Sasa someone from Africa huku hata hajasoma hata kuwafanya watu wamsikilize nacho kipengele.
 
Mie sijui physics kiivo ila nimeona sehemu anasema wakati anaanza ilikuwa ngumu kwa sababu aliambiwa anachojaribu kufanya ni kuvunja laws of physics anasema ilibidi afanye kwa siri na jambo lake likatiki.
Hapa mtu huitaji kujua Physics hata logic tu anachosema ni ground breaking hata sisi ambao tunahangaika na maporomoko ya maji kupata umeme tunaweza kuweka pending ili tununua hizo generator zivune hayo mawimbi, na tujiulize hayo mawimbi yanayovunwa ni kwamba yapo tunayaokota au tunayatengeneza ili tunasafirisha kwa njia ya mawimbo (radio waves) yaani mfano kule kidato tukishapata umeme wetu ili ukufikie wewe tuusafirishe kwa njia ya mawimbi

Kwahio bila kujua HOW hawa wavumbuzi ni wengi sana hata Youtube wamejaa wanataka financial back up ili kutengeneza prototype ambapo nyingi mwisho wa siku huwa zinakufa kifo cha kawaida
 
Back
Top Bottom