Mzimu wa Magufuli umemwingia Polepole. Mnaomwandama mjipange, ana nguvu isiyo ya kawaida

Mzimu wa Magufuli umemwingia Polepole. Mnaomwandama mjipange, ana nguvu isiyo ya kawaida

Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
Hawa hawana jipya tumewazowea na press zao za kulilia katiba mpya.
 
Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
Upuuzi mtupu.
 
Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu

umeshaolewa au bado unaangaaka na bawaziri inayo kusumbua
 
Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
Wewe ni graduate?
 
Baada ya kuona Polepole akichukua nafasi ya Upinzani Tanzania tena kwa hoja nzito zenye masilahi mapana kwa nchi waliojivika ngozi ya upinzani yaani Chadema walijjawa na kiburi za kutukana watu wameona polepole amekuwa gumzo na wao wanaitisha press its too late tena mmeshachelewa kabisa yaani mmejifia kibubu
Maoni ya mjumbe wa sgang.
 
Kauli ya kusema hana shida na ubunge wao na hagombei ubunge ni kauli ya kizalendo na tungekuwa na Wabunge wa CCM 75% Kama Polepole wangeinyoosha serikali ya CCM mtu mmoja tu kawatoa jasho.

Kwa hiyo wabunge wa CCM badilikeni acheni kulamba nyayo za watawala simamieni ukweli kama Polepole.
Magufuli angekuwepo hai ungeandika hiki ulichoandika?
 
Polepole hoja anazo, sasa wanaompinga wanamtukana tu hawajibu hoja
 
mi nashangaa,wanamzonga polepole kwa maneno,halafu hawajibu hoja zake,hapo ujue kawakaba kolodani kisawasawa!!jibuni hoja zake,sio porojo
 
Back
Top Bottom