Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Ulivyojibu umejibu sahihi kabisa. Niliamua kuongezea tu observation yangu kuwa wanawake wengi huwa wanajioverrate. By the way mwanamke mzuri wa kuvutia kila mtu atamuona ni mzuri tu. Haya mambo ya kusema uzuri upo machoni mwa mtu ni porojo tu.

Ni kweli na sioni haja kuji overrate sababu jamii ndio inakuona kuliko unavyojiona wewe...km ni mzuri universal utaonekana tu.
 
Ni mda gàni umepita tangu hayupo online?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah watu mna maneno sio poa!
 
Hii mambo bana ukichukulia seriaz waeza lia aisee[emoji28] kuna pimbi moja iko Belgium iliwahi kuniweka kwa hii plan nikaona kweli Yesu ni mwokozi wa Maisha yangu!

Tumepitia mengi kama taifa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahaha!!
 
Unamuhitaji huyo jamaa zaidi ya sana. Siku tatu tu umekuwa na hofu kiasi hicho. Bora hata ingekuwa mwezi,.kweli mapenzi upofu.
Kama ni siku tatu tangu walipochat mara ya mwisho ni sawa kwa binti kuwa worried, ukisha develop feelings hata nusu siku inatosha kufanya uwaze nini kimempata mwenzangu, worse enough ni mahusiano ya mbali....sucks like hell!!
 
Kama ni siku tatu tangu walipochat mara ya mwisho ni sawa kwa binti kuwa worried, ukisha develop feelings hata nusu siku inatosha kufanya uwaze nini kimempata mwenzangu, worse enough ni mahusiano ya mbali....sucks like hell!!

Better you understand me, long distance relationship inahitaji utulivu sana wa nafsi niko worried kwa vingi tu mimi siku niliyopata ajali ilikua ni lisaa tu baada ya kuchat nae na kumwambia am going out nikapata hiyo ajali hivyo ht ningekufa angebaki anajiuliza tu asipate majibu..na si kawaida yake so kibinadamu lzm nipate sintofahamu nyingi.
 
Pole bi dada!!! Kwanza jifunze kua mkweli na muwazi na wakati mwengine unapo andika Banfiko la kuomba Ushauri liwe fupi na kujitocheleza. Mengine uwe mwangalifu. Mitandao inamambo mengi ya kupotesha. Jifunze kua mvumilivu na mustaarabu. Utafanyikiwa...
 

Asante mkuu kwa ushauri wako ntaufanyia kazi[emoji120]
 
Taratibu mwenzio hajazoea maneno makali makali [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…