[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na chuki yao sababu tu kaongelewa mzungu na anatoa pesa. Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira sana kwa wanawake.
Watafute hela waache makasiriko madogo madogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222][emoji2222]Na chuki yao sababu tu kaongelewa mzungu na anatoa pesa. Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira sana kwa wanawake.
Watafute hela waache makasiriko madogo madogo.
Mzungu akitaka kwenda kwampalange utaenda?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila watu !!!Una mawenge, tafuta Kazi ya kufanya! Wazungu Ni Kawaida hiyo the moment anakupa taarifa!
Sio unamjazia matext, unakuwa Ni Fala ukifanya hivyo
Yeah trueMtu wa nje anatumia kutuma pesa bongo na inafika kupitia Tigopesa kama nakumbuka vizuri.
Hongera , wazoee tu wadau wa jf ndio walivyo ,, [emoji16][emoji16][emoji16]Asante kwa ushauri wako, ila njaa si shida kwangu na km nilivyosema mwanzo nimekataa wengi na walikua wanapromise hela ila kwa kuomba sexting chattings na vitu km hivyo...hela kwenye mahusiano inanogesha kila sehemu lakini sio ndio ya kunifanya niwe worried sababu at my age nna ajira nzuri tu ya kunifanya nikidhi matumizi yangu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Sista Njoo taratibu hata sms hajafungua unaanza kutoa vilio . Jee akizifungua na hasijibu sii utakufa kabisa.
Atakua na bwawa la nyerereWazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume watatu wanamla akaona isiwe tabu akakimbia mtaa ule ule alienda kuomba hifadhi kwa wanyarwanda hiyo ndio ikawa pona yake na kupelekwa ubarozini na hatimae karudi hapa anahangaika kutafuta mume aolewe na kila anayeonja tunda harudi Tena sijui walimfanya Nini hao wahuni.
Kwahiyo niangalie usije ukafanya kosa hili.
Utayajutia maisha na yasiwe na maana Tena.
Binti nakushauri endelea na mambo yako tu. Hakuna baya ulilofanya. Kama umeandikiwa ni wako,basi atakutafuta tu. Stop being desparate. That's what you are trying to be...Mimi silii sababu namuhitaji saana ni kitendo cha muda tu naweza kupata mwngn tokana na mazingira yangu ya kazi na dating sites km hizo.. hofu yangu ni niendelee kumuhesabia au niendelee na mambo yangu tu!?
Wazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume watatu wanamla akaona isiwe tabu akakimbia mtaa ule ule alienda kuomba hifadhi kwa wanyarwanda hiyo ndio ikawa pona yake na kupelekwa ubarozini na hatimae karudi hapa anahangaika kutafuta mume aolewe na kila anayeonja tunda harudi Tena sijui walimfanya Nini hao wahuni.
Kwahiyo niangalie usije ukafanya kosa hili.
Utayajutia maisha na yasiwe na maana Tena.
Utailipiaa
I repeat utailipia
Binti nakushauri endelea na mambo yako tu. Hakuna baya ulilofanya. Kama umeandikiwa ni wako,basi atakutafuta tu. Stop being desparate. That's what you are trying to be...
Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]