Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Una mawenge, tafuta Kazi ya kufanya! Wazungu Ni Kawaida hiyo the moment anakupa taarifa!

Sio unamjazia matext, unakuwa Ni Fala ukifanya hivyo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ila watu !!!
 
Asante kwa ushauri wako, ila njaa si shida kwangu na km nilivyosema mwanzo nimekataa wengi na walikua wanapromise hela ila kwa kuomba sexting chattings na vitu km hivyo...hela kwenye mahusiano inanogesha kila sehemu lakini sio ndio ya kunifanya niwe worried sababu at my age nna ajira nzuri tu ya kunifanya nikidhi matumizi yangu.
Hongera , wazoee tu wadau wa jf ndio walivyo ,, [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwani hadi useme mzungu ?? Ungesema huyu mtu bado tungekuelewa, usitutishe!!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume watatu wanamla akaona isiwe tabu akakimbia mtaa ule ule alienda kuomba hifadhi kwa wanyarwanda hiyo ndio ikawa pona yake na kupelekwa ubarozini na hatimae karudi hapa anahangaika kutafuta mume aolewe na kila anayeonja tunda harudi Tena sijui walimfanya Nini hao wahuni.
Kwahiyo niangalie usije ukafanya kosa hili.
Utayajutia maisha na yasiwe na maana Tena.
 
Wazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume watatu wanamla akaona isiwe tabu akakimbia mtaa ule ule alienda kuomba hifadhi kwa wanyarwanda hiyo ndio ikawa pona yake na kupelekwa ubarozini na hatimae karudi hapa anahangaika kutafuta mume aolewe na kila anayeonja tunda harudi Tena sijui walimfanya Nini hao wahuni.
Kwahiyo niangalie usije ukafanya kosa hili.
Utayajutia maisha na yasiwe na maana Tena.
Atakua na bwawa la nyerere
 
Tuliza papuchi wewe, jamaa yupo kwenye Qantas anakuja.
 
Mimi silii sababu namuhitaji saana ni kitendo cha muda tu naweza kupata mwngn tokana na mazingira yangu ya kazi na dating sites km hizo.. hofu yangu ni niendelee kumuhesabia au niendelee na mambo yangu tu!?
Binti nakushauri endelea na mambo yako tu. Hakuna baya ulilofanya. Kama umeandikiwa ni wako,basi atakutafuta tu. Stop being desparate. That's what you are trying to be...
 
Wazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume watatu wanamla akaona isiwe tabu akakimbia mtaa ule ule alienda kuomba hifadhi kwa wanyarwanda hiyo ndio ikawa pona yake na kupelekwa ubarozini na hatimae karudi hapa anahangaika kutafuta mume aolewe na kila anayeonja tunda harudi Tena sijui walimfanya Nini hao wahuni.
Kwahiyo niangalie usije ukafanya kosa hili.
Utayajutia maisha na yasiwe na maana Tena.

Asante kwa ushauri mkuu.
 
Binti nakushauri endelea na mambo yako tu. Hakuna baya ulilofanya. Kama umeandikiwa ni wako,basi atakutafuta tu. Stop being desparate. That's what you are trying to be...

Thanks for the advice, I wasn't desperate actually...I just wanted to know where I could stand but honest speaking I was a bit worried too[emoji4]
 
Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Hizi ngozi nyeusi zina shida tunawapapatikia wazungu kama malaika [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Its all about choices hata ww km hupapatikii ngozi nyeupe basi definetly unapapatikia ngozi nyeusi so its even[emoji4]
 
Back
Top Bottom