Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?


Eeh bwana deepside down hata mtu ajaribu kunizogoa vipi naelewa hakuna ambae angepata bahat km buii akaikataa labda vitu visiende sawa tu, kuna mtu asiependa aishi vizuri physically na financially kwa mtu ataekua nae katika mahusiano?
 
Unaulizia buibui na vumbi stoo😅??? Au oil chafu gereji😅

Huwa tunaita kushuka kwenye baiskeli, huna haja ya kutafuta parking...ngoma popote abiria anadondoka tu...
 
wanawake sijui wakoje yani hapo anakutumia pesa ili akuone kashajua wewe njaa kali anakulia buyu kali
mwishoe uobwe picha za pepsi

We ungetumiwa pesa bila kuombwa ungekataa? Tuache kujivisha ngozi za kondoo bwana izo picha za pepsi hata choka mbaya wanaombwa ukituma ni upumbavu wako mwenyewe na kujikosea heshima na mwili wako.
 
Sijaona alichonichana hapo sababu mahusiano iwe ya mzungu au mbongo mambo ni yale yale tu kikubwa ni machaguo tu..yy aliwaza labda mimi ni wale mabinti njaa, ila namshukuru Mungu aliniepushia hilo.
Dada Mungu anahusikaje hapa kweli kabisa unamuhusisha Mungu na hili jambo
 
Andika hii kwa kiingereza " Najua upo kwa malaya zako ndio mana hujibu texts zangu mbwa wewe",

Unadhani anaweza kuchoma mgodi kizembe hizo zaid jamaa akimtafuta binti atalia kwanza kwa kupagawa dhahabu imerudi
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli pepo ni ngumu kmmmk walai!

Si mnaapaga na viapo kabisa pale altareni kwa shida na raha ila kimsingi shida za kupiga mkuki kwenye Eicher za Ubungo - Temeke amzitaki kabisa....

Kwahio kuchiti lazima jamani kweli Bwana ametoa na bwana ametwaa😂😂😂 jina lake lihimidiwe
 
Andika hii kwa kiingereza " Najua upo kwa malaya zako ndio mana hujibu texts zangu mbwa wewe",

[emoji23][emoji23]da bro hizi kauli kali kali siwezagi kuzitype kabisa hata kwa mtz mwenzangu, huwa sipend kuwaza negative kabla na hata ikitokea ni hivyo naachaga kwa amani tu najua itauma ila nitasahau.
 
Hiyo ndio hali za dada zetu 90%
Pasiwedi ya chupi ni pesa na sio penzi
 
Eeh bwana deepside down hata mtu ajaribu kunizogoa vipi naelewa hakuna ambae angepata bahat km buii akaikataa labda vitu visiende sawa tu, kuna mtu asiependa aishi vizuri physically na financially kwa mtu ataekua nae katika mahusiano?
Safi sana, usiwasikilize.
Hata mimi ningepata hiyo fursa nisingelazia damu. Huoni hata siku hizi wanaume wanadanga kwa majimama? Si unaona hata yule mume wa mama Diamond?. Ukipata fursa chomoka nayo, kuliko kuwapa akina Abdala pussy yako na bado hawana adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…