Za chaki hazitoshi. Hamna asiyetaka maisha mazuri aisee[emoji23][emoji23]. Yaani niteseke na chaki kusimama siku nzima na bado nikapambane kudandia daladala kwa dirishani kisa nabania pussy ambayo baada ya michosho ya daladala naenda kumpa Abdala anasimamia ukucha na kunibinua binua anavyotaka usiku mzima na bado hapo haimaanishi ha cheat ama nipo peke yangu? Hapana kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaulizia buibui na vumbi stoo😅??? Au oil chafu gereji😅
Hahah mimi pia ni mzungu, usione naandika kiswahili tu hapa...[emoji3526][emoji3526]
wanawake sijui wakoje yani hapo anakutumia pesa ili akuone kashajua wewe njaa kali anakulia buyu kali
mwishoe uobwe picha za pepsi
Dada Mungu anahusikaje hapa kweli kabisa unamuhusisha Mungu na hili jamboSijaona alichonichana hapo sababu mahusiano iwe ya mzungu au mbongo mambo ni yale yale tu kikubwa ni machaguo tu..yy aliwaza labda mimi ni wale mabinti njaa, ila namshukuru Mungu aliniepushia hilo.
Nikamalizie Money Heist kisha nitumie maunyama ya Profesa kujua shemeji kapatwa na nini?Ili tuwe tunashare account watu wa4 au sio[emoji23][emoji23]
Leo atapatikana dear. Ondoa shaka kabisa huyo ni mzima kabisa wa afya.
Pole kwa ajali...by the way unaonekana ni msichana decent sana
Andika hii kwa kiingereza " Najua upo kwa malaya zako ndio mana hujibu texts zangu mbwa wewe",
Hahah mimi pia ni mzungu, usione naandika kiswahili tu hapa...[emoji3526][emoji3526]
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kweli pepo ni ngumu kmmmk walai!Za chaki hazitoshi. Hamna asiyetaka maisha mazuri aisee[emoji23][emoji23]. Yaani niteseke na chaki kusimama siku nzima na bado nikapambane kudandia daladala kwa dirishani kisa nabania pussy ambayo baada ya michosho ya daladala naenda kumpa Abdala anasimamia ukucha na kunibinua binua anavyotaka usiku mzima na bado hapo haimaanishi ha cheat ama nipo peke yangu? Hapana kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaonekana mdada mdogo decent sana tena unahofu ya Mungu sanaHakuna cha live hapo sababu njaa sio kigezo nishakataa hela nyingi tu zilizojaribu kuja kwa mtindo wa kunishushia heshima.
Andika hii kwa kiingereza " Najua upo kwa malaya zako ndio mana hujibu texts zangu mbwa wewe",
Hiyo ndio hali za dada zetu 90%Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
Kuna wimbo siku hizi nausikia hata sijui ni wa nani, anasema mpenzi wako ana mpenzi mwingine, na huyo mwingine anaye mwingine na mwingine.
Kumbe wazungu tuko wengi humu, you know ishengoma
Tanzania haimo EA ni Uganda tu ndio ipo but unapokea pesa instantly hasa TigoHiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Dada Mungu anahusikaje hapa kweli kabisa unamuhusisha Mungu na hili jambo
Safi sana, usiwasikilize.Eeh bwana deepside down hata mtu ajaribu kunizogoa vipi naelewa hakuna ambae angepata bahat km buii akaikataa labda vitu visiende sawa tu, kuna mtu asiependa aishi vizuri physically na financially kwa mtu ataekua nae katika mahusiano?