- Thread starter
- #81
Za chaki hazitoshi. Hamna asiyetaka maisha mazuri aisee[emoji23][emoji23]. Yaani niteseke na chaki kusimama siku nzima na bado nikapambane kudandia daladala kwa dirishani kisa nabania pussy ambayo baada ya michosho ya daladala naenda kumpa Abdala anasimamia ukucha na kunibinua binua anavyotaka usiku mzima na bado hapo haimaanishi ha cheat ama nipo peke yangu? Hapana kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeh bwana deepside down hata mtu ajaribu kunizogoa vipi naelewa hakuna ambae angepata bahat km buii akaikataa labda vitu visiende sawa tu, kuna mtu asiependa aishi vizuri physically na financially kwa mtu ataekua nae katika mahusiano?