Umepiga penyewe. Mengine ni kupotezeana time. Atulize akienda ovyo linasanukaCha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
Tulia basi dahHabari za leo wanajamvi!
Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.
Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu
Sawa kabisaColumn yakwanza sijapenda ulivyomchana ila ya pili umempa ushauri mzuri tu.
Sio kwamba mtu anaetafuta mtu wa nje ya nchi yake ana njaa km unavyosema bali yeye kasema anapenda mahusiano yake yawe na mtu wa aina ile
Eeh nimegundua akina mwajey mna udongo special sana😅 ntakomaa nanyie kuonesha uzalendoKwahiyo sasa hivi ukipata mzungu amekuelewa na ana mkwanja mrefu haukubali? Unaendelea kubaki na sisi akina mwajey wa buza? Kuonesha uzalendo?
Naona mapenzi yamechukua sura mpya sikuhizi! 😅😅😅 Vijana mnadanga kwa kupokezana vijiti waume kwa wakike😅Safi sana, usiwasikilize.
Hata mimi ningepata hiyo fursa nisingelazia damu. Huoni hata siku hizi wanaume wanadanga kwa majimama? Si unaona hata yule mume wa mama Diamond?. Ukipata fursa chomoka nayo, kuliko kuwapa akina Abdala pussy yako na bado hawana adabu.
Umepiga penyewe. Mengine ni kupotezeana time. Atulize akienda ovyo linasanuka
One of the key lessons this life offers is " Nothing is permanent". Move on sister,your expectations will push you into more pain and disppointment. He was there for you and now you are no longer a priority. Accept is in your heart and look for other options. Life is never short of goof men. Pole sana dada.
Mahusiano yamekaa kimchongo sana😅Jua kali jamani,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna wenzio WA KIUME wengi tu wanaolewa na kusukwa nywele na vibibi vya kizungu hapa Arusha kwa sababu ya NJAA.
Anyway pambana tupate Shemeji
Wazungu huwa ni wakweli kama kuvunja uhusiano angekwambia live.
Kuwa mpole atarudi
Tulia basi dah
Kama wa kurudi atarudiNimetulia bro[emoji23]
Tulia tu siku akipata joto la bongo huwa awachomoki hao.Sawa mkuu ngoja niwtulie tu nione kitachotokea.
Dah maskini! Kumbe sababu ya njaa...Mungu awasaidie tu kwa mweli watoke kwenye hicho kifungo wasiwe watumwa wa ngono sababu ya njaa.
Nasi ndio hivyo western union unaenda bank yoyote yenye hizo huduma unavuta mpunga tuKumbe! Nilikua sijui kaka yangu sikuwah kupokea cm kutokea nje nadhani alielewa ndio maana akaamua kudownload tu hiyo worldremit.
Kama wa kurudi atarudi
Mkuu Kwa hiyo huna holder temporal hapa Nyumbani , [emoji23]