Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makasariko lazima tu MTT mrembo halafu shepu ipo anaendaje huko kiurahisi Niko GOBA hapa aje apige kitimoto kidg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]makasariko lazima tu MTT mrembo halafu shepu ipo anaendaje huko kiurahisi Niko GOBA hapa aje apige kitimoto kidg
kuja DM Nina zawad yakoSio mambo yangu. Napenda blacks
Kimbisa:Aah mzungu wangu katulia muombeeni safari njema akija kuniona princess wake jamani[emoji30]
Mpaka m pesaMtu wa nje anatumia kutuma pesa bongo na inafika kupitia Tigopesa kama nakumbuka vizuri.
Mpesa au Tigopesa?kuja DM Nina zawad yako
Hahaha.
Mimi nina swali moja tu, details alizofill wakati anakutumia pesa ni personal information kama majina
Na amount iliingia kwenye mobile money ya mtandao wa simu?
Tamaa zitawaua Dada zetu
Wewe manka una kazi Why ukimbizane na wazungu?
Huwaoni kina mushi?
Kuwa makini sikuhizi wanaua na kutoa Figo halafu wanaenda kupata million za kusogezea maisha
zoteMpesa au Tigopesa?
Chap kwa harakazote
Kwanini wale wakimbizi kutoka Asia wanakimbilia zaidi nchi kama Uingereza na Ujerumani badala ya kwenda huko Scandinavian countries ?Tusema ni maadili yao yapo hivyo ama ni political ideology yao kwamba wanatreat binadamu wote ni sawa? Maana naskia hata ukiishi uko wanakutreat kama wao na huduma zote unapewa as long as huvunji sheria zao
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna unafuata sheria zao sio unajiendea tu, hizo nchi nyingine kidogo masharti yamelegezwaKwanini wale wakimbizi kutoka Asia wanakimbilia zaidi nchi kama Uingereza na Ujerumani badala ya kwenda huko Scandinavian countries ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano sheria zipi zinawazuia kwenda huko ?Kuna unafuata sheria zao sio unajiendea tu, hizo nchi nyingine kidogo masharti yamelegezwa
Kuwa makini sikuhizi wanaua na kutoa Figo halafu wanaenda kupata million za kusogezea maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli uwiiiiih.Yaani[emoji23] mpk unawaonea huruma.