Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Na hii ndio maana halisi ya ule msemo wa kusema Mungu ni roho

Unajichanganya. Roho ni nishati au chanzo cha nishati?

Kibaiolojia chanzo cha nishati ya mwili ni jua. Tunakula vyakula vilivyopata nishati ya jua na kutumia nishati hiyo.

Hiyo roho haijawahi kuwa proved kuwa ipo kwenye maabara.
Hilo jua lipo maabara?
 
Hilo jua lipo maabara?

Nishati ya kutoka kwenye jua inaweza kupimwa kwenye maabara, imesomwa na kuandikwa vizuri inafanyaje kazi katika photosynthesys.

Hujui photosynthesys ni nini mkuu?

Hiyo roho haijawahi kuthibitishwa kuwapo.
 
Nishati ya kutoka kwenye jua inaweza kupimwa kwenye maabara, imesomwa na kuandikwa vizuri inafanyaje kazi katika photosynthesys.

Hujui photosynthesys ni nini mkuu?

Hiyo roho haijawahi kuthibitishwa kuwapo.
Nishati ya uhai itokayo kwenye Roho hupimwa kwenye seli ndio maana seli nyingi zikiharibika na uhai wa kiumbe unakwisha
 
Nishati ya uhai itokayo kwenye Roho hupimwa kwenye seli ndio maana seli nyingi zikiharibika na uhai wa kiumbe unakwisha
Kuna baiolojia kubwa inayoelezea seli lakini haijaelezea roho.

Hujathibitisha roho ipo, unapiga hadithi tu hapa.
 
Kuna baiolojia kubwa inayoelezea seli lakini haijaelezea roho.

Hujathibitisha roho ipo, unapiga hadithi tu hapa.
Nilisoma topic ya biology tu o-level inaotwa genetic, theory nyingi za asili ya binadamu kupitia wanasayansi wengi waliishia kusema Kuna common ancestors ambao ndio chanzo cha uwepo wa Dunia, so baada ya hapo sikutaka kutoamini tena kwamba Mungu, hayupo niliamua kuamini pasipo na ubishi yupo Mungu kwa maana mambo mengi yamepita fahamu za kibinadamu, hivyo siwezi lumbana na mtu aliyeamua kuamini hayupo Mungu.
 
Nilisoma topic ya biology tu o-level inaotwa genetic, theory nyingi za asili ya binadamu kupitia wanasayansi wengi waliishia kusema Kuna common ancestors ambao ndio chanzo cha uwepo wa Dunia, so baada ya hapo sikutaka kutoamini tena kwamba Mungu, hayupo niliamua kuamini pasipo na ubishi yupo Mungu kwa maana mambo mengi yamepita fahamu za kibinadamu, hivyo siwezi lumbana na mtu aliyeamua kuamini hayupo Mungu.
Kuamini si sayansi. Kuamini ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu, hulazimiki kuamini ukweli.

Tuongelee facts, zinazoweza kuthibitishwa, si unachoamini.
 
Kuamini si sayansi. Kuamini ni haki yako ya kikatiba na kibinadamu, hulazimiki kuamini ukweli.

Tuongelee facts, zinazoweza kuthibitishwa, si unachoamini.
Mambo yasiyoonekana kwa macho hayapimwi kwa viwango vilivyowekwa kwa yanayoonekana kwa macho,
Hivyo ni vipengele viwili tofauti, ndio maana Kuna mdau kakuambia Science na Imani haviendani, ndio maana Yesu alivunja law of floatation, Musa alipiga fimbo hahari ikawa nchi kavu, Yesu alifufuka, hapo haiitaji sayansi kuthibitisha, ila inahitajika Imani kupokea na kuelewa
 
Mambo yasiyoonekana kwa macho hayapimwi kwa viwango vilivyowekwa kwa yanayoonekana kwa macho,
Hivyo ni vipengele viwili tofauti, ndio maana Kuna mdau kakuambia Science na Imani haviendani, ndio maana Yesu alivunja law of floatation, Musa alipiga fimbo hahari ikawa nchi kavu, Yesu alifufuka, hapo haiitaji sayansi kuthibitisha, ila inahitajika Imani kupokea na kuelewa
Kwani wapi nimesema unioneshe roho kwa macho?
 
Kwani wapi nimesema unioneshe roho kwa macho?
We si Unataka kuthibitisha
Kwenye Sayansi ndio Kuna kuthibitisha ila kwenye Imani ni kuamini tu ya pokea kama ilivyo ndio itakua
Hakuna ujuaji juu ya Imani
 
We si Unataka kuthibitisha
Kwenye Sayansi ndio Kuna kuthibitisha ila kwenye Imani ni kuamini tu ya pokea kama ilivyo ndio itakua
Hakuna ujuaji juu ya Imani
Bado hujathibitisha roho ipo, unapiga kabobo tu.
 
Bado hujathibitisha roho ipo, unapiga kabobo tu.
Kiroho formula ipo hivi
Amini ili uthibitishe
kimwili
Thibitisha ili uamini
So kuthibitisha kuko ndani yako sio kazi yangu kuthibitishia utakapoamini ndipo utathibitisha
Maabara ya kiroho ni Imani
Kumbuka ule msemo wa kizungu "The beauty lays on the eyes of the beholder"
Kila anaeamini ataithibitishia nafsi yake uwepo wa Mungu sio kazi ya mtu mwingine ni individual work hiyo, team work kwenye Imani ni kupeana taarifa, kuhamasishana, na kuelimishana. Ila kila mtu anatakiwa awe na uthibitisho wake binafsi wa Mungu kwenye maisha yake na sio lazima u make sense kwa mwingine.
Yangu ni hayo tu.
 
Kiroho formula ipo hivi
Amini ili uthibitishe
kimwili
Thibitisha ili uamini
So kuthibitisha kuko ndani yako sio kazi yangu kuthibitishia utakapoamini ndipo utathibitisha
Maabara ya kiroho ni Imani
Kumbuka ule msemo wa kizungu "The beauty lays on the eyes of the beholder"
Kila anaeamini ataithibitishia nafsi yake uwepo wa Mungu sio kazi ya mtu mwingine ni individual work hiyo, team work kwenye Imani ni kupeana taarifa, kuhamasishana, na kuelimishana. Ila kila mtu anatakiwa awe na uthibitisho wake binafsi wa Mungu kwenye maisha yake na sio lazima u make sense kwa mwingine.
Yangu ni hayo tu.
Hujathibitisha roho ipo. Unapiga kabobo.
 
Nimesoma makala hii, kwa vile umeandika au umesema, huyu atakuwa sio Mungu ninayemjua Mimi, mwili unaouzungumza ndio Yeye aliuumba, na hiyo roho nayo ni Yeye. Naomba urudi ukasoma vizuri habari ya Ayubu, ulichoeleza kuhusu Yeye sio sahihi.
 
Nimesoma makala hii, kwa vile umeandika au umesema, huyu atakuwa sio Mungu ninayemjua Mimi, mwili unaouzungumza ndio Yeye aliuumba, na hiyo roho nayo ni Yeye. Naomba urudi ukasoma vizuri habari ya Ayubu, ulichoeleza kuhusu Yeye sio sahihi.
Kwanini sio sahihi?
 
Vile umeeleza kwenye eneo la mwili unamwondoa Mungu kabisa
Jaribu Kutafakari na uconnect dots unaweza kuelewa na ukakubaliana na Mimi, najua ni ngumu sana coz inaweza kukutoa kwenye uwepo ila kwenye kujifunza huwa hatuchagui upande bali tunakua neutral ili tuweze kupata uhuru wa kuyapima mambo kwa ukubwa unaotakiwa... Kasome biblia yako kuanzia mwanzo moja hadi sita (kwa maana biblia yote iko hapo ila yaliyoendelea mbele ya hapo ni mambo manne tu ambayo biblia iliamua kuyaelezea kiundani na kwa kuzingatia mifano ya hapa na pale ili kuyafanya yaweze kueleweka zaidi)
 
Jaribu Kutafakari na uconnect dots unaweza kuelewa na ukakubaliana na Mimi, najua ni ngumu sana coz inaweza kukutoa kwenye uwepo ila kwenye kujifunza huwa hatuchagui upande bali tunakua neutral ili tuweze kupata uhuru wa kuyapima mambo kwa ukubwa unaotakiwa... Kasome biblia yako kuanzia mwanzo moja hadi sita (kwa maana biblia yote iko hapo ila yaliyoendelea mbele ya hapo ni mambo manne tu ambayo biblia iliamua kuyaelezea kiundani na kwa kuzingatia mifano ya hapa na pale ili kuyafanya yaweze kueleweka zaidi)
Sawa
 
Kwa hivyo unaiita nishati roho?

Mtu akifa, nishati haitoki mwilini mwake. Lakini mnasema mtu akifa, roho inatoka.

Hapo kuna contradiction inayoonesha roho si nishati.
Kufa ni kuexpire kwa mwili katika muda.

Wanasayansi tunasema nishati(energy) imeondoka katika mwili. Cells zimekosa nishati(zimekufa)

Watu wa dini hiyo nishati wameipa jina la roho of which , they're right katika context yao.

Roho=energy na energy haifi,ila kinachokufa ni mwili (unaoexpeire katika muda).

Mejasoko yupo sahihi sana.
 
Kufa ni kuexpire kwa mwili katika muda.

Wanasayansi tunasema nishati(energy) imeondoka katika mwili. Cells zimekosa nishati(zimekufa)

Watu wa dini hiyo nishati wameipa jina la roho of which , they're right katika context yao.

Roho=energy na energy haifi,ila kinachokufa ni mwili (unaoexpeire katika muda).

Mejasoko yupo sahihi sana.
Nipe experiment moja iliyothibitisha kwamba roho ipo.
 
Back
Top Bottom