Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Na hizi ndio NDOA ZENU: Mwamba kashaangukiwa na chuma kizito

Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Mimi mwakani nataka niongeze mke wa tatu. Baada ya miaka minne nikiwa hai, nafunga hesabu, wafike wanne.
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
acha kupotosha watu,kila mtu abet mech zake.
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Hahahhahahha nimependa hapo kwa mstari wa mwisho
 
sikuona haja ya kutaja ualimu,,,


singo konki katika ubora wako siku ukinyofoka huo mguu ndo utajua umuhimu wa AISHA.
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Najaribu kutafakari tu...

Tunayovumilia wanawake ni mengi kuliko mnayovumilia nyie....

  • Harufu ya pombe za late hours,
  • Harifu ya sigara
  • Michepuko na pattern za kutosha
  • Muda mwingi MPIRA, VITI VIREFU, STORY ZA MEN TALKS
  • Muda mwingi wa kulea kuanzia mimba mpaka mtoto na wanaume wengi wanaamini jukumu Lao ni KUTOA HELA TU BASI...

Mungu aiponye ndoa yao na KUWAJALIA UTULIVU NA MAISHA MEMA KATIKA KRISTO

Basi na nyie vumilieni kidogo...
 
Vijana wa sasa wanasema mhuni kachomwa pembe
 
Sikia hii habari

INTRO
Nyie mabaharia kwani u-single unawashinda nini? Hivi mnajua kuoa ni kutafuta matatizo. Kuna baharia mwenzetu yashamkuta huku.

FLASH BACK
Nilianza kumjua 2019 baada ya kuhamia pale ofisini. Alikuja akiwa na demu (mchumba) kwa kipindi hicho walikua na miaka mi3 wapo pamoja.

2020 akaleta kadi za harusi/michango anataka kumuoa. Kwenye mahojiano yetu as "Men talks" alisema kashamchunguza vya kutosha hivyo anataka kumuoa.

Huyo mwanamke ni mwalimu na kwa madai yake "Walimu ndio huwa wake Bora"

Michango tukatoa na harusi ikafanyika, ila mi nilimuonea huruma sanaa mwamba kwa kuamua kuoa.

SCENARIO
1. Mwaka jana kwenye mwezi wa 10 nilianza kuhisi utofauti wa yule demu/mwalimu/shemeji.

Kuna siku nilikua nakula zangu mingo nikamkuta kavaa blauzi ya net na suruali ya mchaniko mapajani. Kwa hiyo brauzi ya net aliyoivaa ilikua unaona kila kitu kasoro vile vilivyofunikwa na sidiria tu.

Sasa Kwa ninavyomjua mwamba ni mtu strictly sanaa, nikawaza "Mwamba kamruhusu mke avae nguo hizi kweli halafu atembee nazo mjini!"

Zile nguo za ajabu ziliendelea siku baada ya siku, raia tukawa tuna shangaa na kujiuliza maswali yasiyo na majibu!

Kwa kuwa hayanihusu "Nilipiga buyuuu"

2. Mwaka huu mwamba alianza kubadilika kimisemo.

Katikati ya maongezi yetu alikua anatoa kauli nzito na ngumu hasaaa..

Alikua akitoa kauli kama:

i. Ndoa muda mwengine ni upuuzi tu
ii. Wengine tupo kwenye ndoa sababu ya watoto tu.
iii. Mlioa nawashauri msioe
iv. Wanawake wapuuzi sanaa.

Mnaweza kuwa kwenye utani wanaume mnaongelea mademu ye akatoa kauli ngumu hasaaa.

THE TRUTH
Siku hizi braza anapost sanaa majuto ya ndoa kwenye WhatsApp status yake.
Hii inajidhihirisha kuwa kwenye ndoa yake "Kuna Majanga"

Status zake za WhatsApp ni manung'uniko na majuto ya ndoa. Kila siku lazima atoe dongo.

Na jana nilivyoona zimezidi ili bidi nimfate inbox na alichonijibu "Braza mi sina ndoa Tena!"

UBISHI
Huyu mwamba aliishi na demu miaka mi3.
Alihisi miaka mi3 inatosha kumjua mwalimu na kumuoa.

Mwalimu alivyoolewa ndani ya miaka mi2 akaamua kuonyesha mapembe. Na sasa mapembe yanamuumiza baharia mwenzangu.

Huyu ni mmoja wa wanaume wabishi ambao waligoma kuelewa ile slogan ya "USIOE" ye akahisi sisi ambao ambao hatujaoa ni mapimbii na sasa yamemkuta.

Na asichokujua hili limeanza kumuumiza mpaka kazini, maana ofisini hakai, na akikaa hakuna anachofanya. Dah kwakuwa wanaume huwa tunabebana then huwa tunafanya mpaka Kazi zake!

Mkiambiwa msioe muwe mnaelewa.

FINALIZING
Anyway tuendelee kutafuta hela.
If you think money does not bring happiness, nenda kawaulize waliopata ajira za TRA juzi hapo!

Money brings everything in life!

#YNWA
Na sisi ambao ndoa zenu zimefanikiwa unatueleza nini? Au tukueleze uoe?
 
Labda useme kwa asimilia kubwa huwa hawana furaha
Ikiwa asilimia kubwa haina furaha basi kwenye research tunasema "The hyphaothesis is rejected" then ndoa HAINA MANUFAA TENAA KWA AFYA YA AKILI.

#YNWA
 
sikuona haja ya kutaja ualimu,,,


singo konki katika ubora wako siku ukinyofoka huo mguu ndo utajua umuhimu wa AISHA.
Babu yangu alipoteza bibi (mke) akiwa na miaka 60.
Mpaka na yeye anakufa akiwa na miaka 115 sikuona shida yake.
115 - 60 = 55
Aliishi miaka 55 pekee yake.

Nina ndugu zangu (wakina mama) kibaoo hawajaolewa na nawaona tu maisha yanaenda na hela zipo na WANATAFUTA hasaaa.

Na iko hivi....
Wapo kibao walioa na wakakimbiwa baada ya kupata Majanga.

#YNWA
 
Najaribu kutafakari tu...

Tunayovumilia wanawake ni mengi kuliko mnayovumilia nyie....

  • Harufu ya pombe za late hours,
  • Harifu ya sigara
  • Michepuko na pattern za kutosha
  • Muda mwingi MPIRA, VITI VIREFU, STORY ZA MEN TALKS
  • Muda mwingi wa kulea kuanzia mimba mpaka mtoto na wanaume wengi wanaamini jukumu Lao ni KUTOA HELA TU BASI...

Mungu aiponye ndoa yao na KUWAJALIA UTULIVU NA MAISHA MEMA KATIKA KRISTO

Basi na nyie vumilieni kidogo...
Madam..
Hakuna dhambi inayouma kwa mwanaume kama KUCHAPIWA MKE.

HAKUNAA

#YNWA
 
Kama rafiki mwema....sikuona haja ya kutoa uzi wa rafiki yako kwa namna ya kumnanga......ndoa haina formula......ndio maana unaambiwa ukiona mwenzako ananyolewa zako tia maji......dunia duara, yaliyomkuta yanaweza kukukuta wewe.....na makubwa hata zaid yaliyomkuta yeye.....tuwe na huruma kwa wenzetu wanapopitia magumu
 
Back
Top Bottom