Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Hawaisomi vyema Qur'an tukufu. Na hao wengine hawaisomi sawa sawa Biblia takatifu.
 
Hizi ndizo hadithi mnapeana uko masijid na mwishowe mnaenda kujilipua ili mkarithi bikira 72.
Eti wamelaani hizo ngano.
 
Huko USA vizazi vingapi vimekaa? Mfano halisi ni huu wa USA uliosema Kuna weusi wengi Wana vinasaba na mataifa ya Nigeria, Ghana na Senegali je bado unawafanya wao kuwa raia wa mataifa hayo?
Wabongo bhana 🙌 swali linajibiwa kwa swali
 
Kureason utareason wewe maamuma tabolarasa usiyejua chanzo cha kweli cha historia ya huo ugomvi?
Hujui hata jews walikuwa wapi before, unapelekeshwa tu kimaamuma oooh wayahudi nawachukia sana...
Wewe ndo yule ambaye yuko tayari kuvalishwa mabomu ukaue watu kwa ahadi ya pepo ya mabikira 72 na mito ya pombe
 
Mimi ni mkristu wa kuzaliwa kuishi na kufa kwahiyo hiyo rejea ya na nafsi isikufanye ukatoka kwenye mantiki na lengo ni kukupa utimamu, hata Yesu alikuwa myahudi na aliwasema wayahudi kwa urejeo wa nafsi zao
Hongera kwa huo ukristo wako ambao unakutuma uutumie kujengs hoja zisizo na mashiko.
 
Wachaga wana dini zao siyo hiyo uliyoitaja wewe. Hakuna aliyekasirika ila nakushangaa unapotumia ukristo kwenye hoja ambayo haihitaji ukristo.
 
Nani anaye kuambia wa Palestine wa Islam hawana asili ya pale hao ndio wajukuu khalisi wa Yakobo ambao walifata mafunzo ya Yakobo sababu alikuwa mfata dini haswa mpaa akaitwa Israel.

Yakobo anaweza kuwa alitokana na kizazi cha Ishaq ambaye mama yake alikuwa Myahudi lakini kuna tofouti kati ya dini na ukoo sio wayahudi wote dini yao Wayahudi, wako Waislam pia, kama vile sio Warabu wote waislam wako wayahudi na wakristo pia umenifahamu.


Sababu Mungu anawachallenge wayahudi na Wakristo kama Ibrahim mnasema ni Mkristo au Myahudi leteni dalili zenu.

مَا كَانَ إِبْرَٰهِيمُ يَهُودِيًّۭا وَلَا نَصْرَانِيًّۭا وَلَـٰكِن كَانَ حَنِيفًۭا مُّسْلِمًۭا وَمَا كَانَ مِنَ ٱلْمُشْرِكِينَ ٦٧

Abraham was neither a Jew nor a Christian, but he was one inclining toward truth, a Muslim [submitting to Allāh]. And he was not of the polytheists.1
 
Ukiona hivyo ujue wewe ni mpagani mwenzetu, maana Mungu wa wakristo ni Mungu wa Israel hiyo iko wazi hata shetani anajua.
 
Hizi ndizo hadithi mnapeana uko masijid na mwishowe mnaenda kujilipua ili mkarithi bikira 72.
Eti wamelaani hizo ngano.
Haya lete maelezo yako yenye ukweli kuhusu race ya waisrael halisi!
 
Hebu nipe wewe hiyo history
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…