Na Ukristo wangu huu ninaichukia the so called Israel hadi natetemeka

Maneno yako ni sawa kabisa adui wa Gabriel ni Shetani tu, kwani madui wa Mohammed ni nani kama sio Mashetani hapo ni 💯

Afu endelea kuisoma aya usisimame hapo tu inasema Mwambie Shetani of course shetani anawafuasi wake binadamu pia kama nyie.

Mungu anamuambia Muhammad basi hi Qur'an kaishusha Gabriel kwake kwa sababu Mungu ndio kataka.


Kumbe kizungu kipo zero dogo hata hufahami kilicho andikwa 😄
 
Waliambiwa watashikilia malango ya adui zao
 
Dunia hii hakuna mkazi halali, wote niwapitaji, swala la muda tuu
 
"...aliyekuwa adui wa Jibril basi huyo ndiye alieteremsha kuran moyoni mwako.."

Sasa hapa kipi kisichoeleweka 😂

Na nyie wenyewe mnatbiaga kuluwani imeshushwa, wewe hapo unapindua maneno unasema aliyeiteremdha kuluwani ni Gabriel wakati kuluwani yako inasema adui wa Jibril ndo aliyeiteremdha, shtuka ndugu unapigwa huko
 
Dogo wacha kukwepesha ukweli Mungu anasema yoyote ambaye anamchukia Gabriel basi mwambie Gabriel ndio kashusha hi Qur'an kwenye Moyo wako kwa Amri ya Mungu


Say, ˹O Prophet,˺ “Whoever is an enemy of Gabriel should know that he revealed this ˹Quran˺ to your heart by Allah’s Will, confirming what came before it—a guide and good news for the believers.”
 
Yaani sijui utasema nini ukaeleweka tofauti na kuluwani yako inavyosema
 
Yaani sijui utasema nini ukaeleweka tofauti na kuluwani yako inavyosema
 
Wengi wao wanakwenda vyuoni kusomeshwa ujinga
Acha kutumia Taqiyya uislam wa kweli unamtaka Muslim ku dominant kila kitu ndio chanzo cha chuki uonevu na mabaya yote...

Ndio maana mtume wenu kabla hajafa alisema msichukue yale ya kinywani kwake Bali fuateni Quran akaomba karatasi aandike msipotee wafuasi wake wakakataa kumpa.. ndio maana Muslim wamepotea imefika Shia anamuita sunni kafir sio Muslim na Suni anamuona Shia kafir kabisa sio Muslim.. hata Shehe Jalala anawaambia Suni Mtume wenu mohamad as if yeye sio mtume wake.

Mohammad aliwaambie mtagawanyika sect 71 na sect moja tu ya waislam ndio wataenda Peponi utabiri wa uongo sababu waislam wamegawanyila madhehebu zaidi ya elfu and wote mtaenda motoni kwa kulataa mafunzo ya Yesu Injir
Zaidi alasema Wakristo nao sect moja tu kati ya 72 ndio wataenda peponi pia na Sabian waabudu Nyota nao wataenda peponi
 
Mwenye akili hawezi tumia mfano kuelezea watu hiyo Aya kwani Abraham ndie chanzo cha Jews and Christians sababu uzao wake ndio umeleta yote. And pia Muslim sio submitting Bali tafsiri yake ni Surrender tena in War jifunzeni kiarabu hayo mabano uongo mtupu Taqiyya. Wafuasi wa mtume waliitwa believers hadi ulazimishaji ulipoanza ndipo unasurrender (muslims) bila imani kisha unakuwa believer. Kusurrender kulishika kasi ndio mkaitwa Muslims. Not submitting acheni kueneza dini yenu kwa kutumia uongo watu wakijua wanauacha zamani wakiacha wanauliwa kwa dunia ya sasa baadhi ya nchi wanaua bado..

Ndugu wasomaji nawafahamisheni mkisoma Tafsiri za lugha zote za Quran ukiona wameweka mabano ujue hiyo wanajiongezea binadamu kumfundisha Allah lugha. Sababu Allah ni muongo hajui hata kuhadithia kitu kikaeleweka,

Kadanganya kuwa Quran imekamilika na kueleweka na yenye details zote kwa lugha ya kiarabu. Ila ukiisoma unakuta grammar,sentensi za kijinga, herufi vichapizi, ubaya kukopa maneno kwa lugha ya Aramaic huku hajui maana zake, mfano Jina la Abraham aya moja Ibrahim aya nyingine ibraham, ابرهم na ابرهيم Quran :124 and Quran :125

Jina la baba wa ibrahim anamuita Azar tafsiri ni mjinga jina halisi ni Terah. Ibrahim alimuita baba yake mjinga kwa kuabudu nyota jamaa akajua ni jina.
 
Walifanyalo hawa jamaa wa Ulaya Mashariki si geni kujifanya wao ni Wayahudi, mbona hata hapa Tanzania kuna Wakristo kibao wanajihesabia wao kuwa ni Waisrael, labda Mkristo wewe tu uko tofauti.
 
Waisraeli wa asili ni sisi wamasai.
 
Na nyie muwe mnafichaga uchi wa hii quran yenu ili tusiuone utupu wake ulivyo.
 
Nenda ubalozi wa israel ukatoe kero yako usife na kihoro.
 
Ukweli ni kwamba Uislam si dini na ubaya ni kwamba wafuasi wake hawataki kukaa na kujitathimini hata kidogo. Jiulize, inakuwaje mtu anasali mara 5 kwa siku na mwisho wa siku anafuga majini ya kuibia watu na kutesa wenzao, hivi ndiyo Allah anayataka kweli haya? Mohammed alikuwa muongo sana, tabiri zake zilikuwa na mashaka mno na ndiyo maana alizungukwa na watu wasio jitambua akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…