Searching for the truth
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 903
- 1,851
- Thread starter
-
- #201
SUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.S
SUPER GOD WA DINI IPI SASA...MAANA KILA DINI INA SUPER GOD WAKE MKUU???
Hapana umekariri mkuu...,...ZINATOFAUTIANA!!!!!!SIFA ZA MBAKASO NA SIFA ZA ALLAH NI TOFAUTI......NA SIFA ZA YEHOVA NA SIFA ZA ALLAH NI TOFAUTI......NA SIFA KRISHINA NA SIFA ZA SHIVO NI TOFAUTI MKUU....SUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.
Mfano : Yeye ndiye muumba wa kila kitu, hajazaa wala kuzaliwa,haonekani kwa macho (ni roho).
Hizo baadhi tu ya sifa za SUPER GOD.
Awe kwenye dini yeyote ile ila kama ana sifa hizo basi ndiye mkuu
We unajuaje Ni mmoja, unajuaje Ni Allah au yahweh, unajuaje Ni mwanaume au mwanamke, kwanini kisiwe kitu sio Mungu. Unasema vyote hivi kwa sababu ya dini yako kukuambia kwamba Mungu kaumba vyote na Ni mmoja. Ila katika historia ya wayahudi Yahweh alikuwa na partner wa kike lakini dini za kiyahudi na kikristo zimefuta hizi record. Wayahudi nao walikuwa na miungu mingi. Na hata shetani mwenyewe alikuwa nyoka, malaika na baadae sijui Simba sijui dragon. In short hamna mtu anajua kuhusu mwanzo wa dunia. Na dini hizi zimetengenezwa na jamii za kale ambazo hazikujua hata jua linaenda wapi usiku.. afu unategemea wao wawe na majibu ya kila kitu. Fikirieni bacAny way labda tutoe neno 'kuabudu' na badala yake nikwambie kuwa ng'ombe ni kiumbe/mnyama mtakatifu mno na anapewa heshima maalum katika imani ya kihindu.
Ndiyo maana wahindu wenye imani kali ukionekana unamchinja ng'ombe nchini India utaishia jela ama kuuwawa kabisa.
Lakini pia uitaja miungu yao hapo, sawa uko sasa na pia iko miungu mingi zaidi ya hiyo uliyoitaja wewe miwili.
But the issue is SUPER GOD ambae ni mmoja tu na sifa yake kuu ni muumbaji wa kila kitu kinachoonekana na kisichoonekana ulimwenguni.
Huyo ndiye amabae tuna-focus zaidi tumjue kama yupo kweli ama tulipigwa.
SUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.S
SUPER GOD WA DINI IPI SASA...MAANA KILA DINI INA SUPER GOD WAKE MKUU???
Nimezaliwa mwaka 1994,Wewe hiyo miaka 3000 iliyopita ulikuwepo tayari ? πππVladmir umezaliwa mwaka gani mpaka historia ya dunia huijui.Hizi dini zenu mpya hazina hata miaka 3000 duniani ila Hinduism na budhasm zilikuepo
Unajua unasema hivi katika karne ya 21 kwa sababu ya Sayansi na technology. Watu wakale waliamini kwamba miungu(mizimu ya mababu) ilikuwa inaisha kwenye mapango. Baadae wagiriki wakaja na Zeus ambae yupo juu ya mlima Olympus. Baadae wayahudi wakaja na Mungu aliyejuu mawinguni. Na saa hivi hayupo katika ulimwengu. Hii inaonyesha kwamba hizi dini zimetengenezwa kuwa na Mungu ambae haonekani na hawezi kuwa proven. Tumeambiwa yupo kila mahali at the same time hayupo ulimwenguni.. hahaha hizi dini zinajitahidi kumficha Mungu na kuwatishia watu Moto ambao haupo na watu wanaaminiSUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.
Mfano : Yeye ndiye muumba wa kila kitu, hajazaa wala kuzaliwa,haonekani kwa macho (ni roho).
Hizo baadhi tu ya sifa za SUPER GOD.
Awe kwenye dini yeyote ile ila kama ana sifa hizo basi ndiye mkuu
Mkuu google inapotosha vitu vingi usiiamini....Wahindu na wabudha ndio dini kongwe duniani mkuuSUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.
Mfano : Yeye ndiye muumba wa kila kitu, hajazaa wala kuzaliwa,haonekani kwa macho (ni roho).
Hizo baadhi tu ya sifa za SUPER GOD.
Awe kwenye dini yeyote ile ila kama ana sifa hizo basi ndiye
Nimezaliwa mwaka 1994,Wewe hiyo miaka 3000 iliyopita ulikuwepo tayari ? πππ
Any nafikiri si kila mtu anajua kila kitu na ndiyo maana tuko hapa kuelimishana na kukosoana kwa hoja zenye mashiko.
Sijawahi kujua hizo imani zingine zilianza lini tofauti na uisslam na ukristo ndiyo labda najua.
But nimejaribu ku-google inaonesha kwamba U-budha ulianza kama karne ya 5 hivi kabla ya Yesu kuzaliwa, na U-hindu ulianza kama kati ya miaka ya 25000-1500 kabla ya Yesu kuzaliwa.
π π π MBAKASO ndiye Mungu wa dini gani mkuu ?Hapana umekariri mkuu...,...ZINATOFAUTIANA!!!!!!SIFA ZA MBAKASO NA SIFA ZA ALLAH NI TOFAUTI......NA SIFA ZA YEHOVA NA SIFA ZA ALLAH NI TOFAUTI......NA SIFA KRISHINA NA SIFA ZA SHIVO NI TOFAUTI MKUU....
Unajua unasema hivi katika karne ya 21 kwa sababu ya Sayansi na technology. Watu wakale waliamini kwamba miungu(mizimu ya mababu) ilikuwa inaisha kwenye mapango. Baadae wagiriki wakaja na Zeus ambae yupo juu ya mlima Olympus. Baadae wayahudi wakaja na Mungu aliyejuu mawinguni. Na saa hivi hayupo katika ulimwengu. Hii inaonyesha kwamba hizi dini zimetengenezwa kuwa na Mungu ambae haonekani na hawezi kuwa proven. Tumeambiwa yupo kila mahali at the same time hayupo ulimwenguni.. hahaha hizi dini zinajitahidi kumficha Mungu na kuwatishia watu Moto ambao haupoSUPER GOD wa dini yeyote ile sifa zake kuu huwa ni zile zile.
Mfano : Yeye ndiye muumba wa kila kitu, hajazaa wala kuzaliwa,haonekani kwa macho (ni roho).
Hizo baadhi tu ya sifa za SUPER GOD.
Awe kwenye dini yeyote ile ila kama ana sifa hizo basi ndiye mkuu
Ukweli kabisa. Lakini ukitaka ukweli internet unaupata tumia AI, tumia Wikipedia. Haziandiki uwongo na hazimtetei mtu.Mkuu google inapotosha vitu vingi usiiamini....Wahindu na wabudha ndio dini kongwe duniani mkuu
MBAKASO NI MUNGU WA ULIMWENGU WA BARA AFRIKA ALIYEWAUMBA WAAFRIKA TUπ π π MBAKASO ndiye Mungu wa dini gani mkuu ?
Na ukiachana na YEHOVA na ALLAHA, hayo kina KRISHINA na SHIVO wameuumba ulimwengu upi ? au wameumba nini kilicho hai ?
Itategemea nime-google nikafata link gani, kama ni link iliyoni-direct kwa apploader wa Jamii forum ningesema ni uongoMkuu google inapotosha vitu vingi usiiamini....Wahindu na wabudha ndio dini kongwe duniani mkuu
KWANI YEHOVAH NA ALLAH WAKATI WANAUMBA KUNA MTU ALIWAONA?????AU NI SIMULIZI ZA KWENYE HEKAYA MKUU???π π π MBAKASO ndiye Mungu wa dini gani mkuu ?
Na ukiachana na YEHOVA na ALLAHA, hayo kina KRISHINA na SHIVO wameuumba ulimwengu upi ? au wameumba nini kilicho hai ?
Huwezi siriazi mkuu, tuongee vitu kwa facts & reference angalauMBAKASO NI MUNGU WA ULIMWENGU WA BARA AFRIKA ALIYEWAUMBA WAAFRIKA TU
Sikuwaona π€KWANI YEHOVAH NA ALLAH WAKATI WANAUMBA KUNA MTU ALIWAONA?????AU NI SIMULIZI ZA KWENYE HEKAYA MKUU???
:::::NI UONGO SABABU NYINGI NI TAFITI BINAFSI HAZINA USHAHIDI WA KINAItategemea nime-google nikafata link gani, kama ni link iliyoni-direct kwa apploader wa Jamii forum ningesema ni uongo
:::::MKUU MBAKASO NDIO MUNGU WA WABANTU MKUU.....!!!!TATIZO WABANTU MMEKIMBILIA DINI ZA WAGENI WAKOLONIHuwezi siriazi mkuu, tuongee vitu kwa facts & reference angalau
We huyo Allah unajuaje kakuumba sio Krishna. Una ushahidi gani.. ukipata Nipe. Ukileta Quran sijui Biblia na mi nakuambia kasome story za Zeus na Krishna.π π π MBAKASO ndiye Mungu wa dini gani mkuu ?
Na ukiachana na YEHOVA na ALLAHA, hayo kina KRISHINA na SHIVO wameuumba ulimwengu upi ? au wameumba nini kilicho hai ?
Hakuna kitu chenye majibu ya moja kwa moja always, ila tunaaangalia ana hoja gani za ku-support andiko lake:::::NI UONGO SABABU NYINGI NI TAFITI BINAFSI HAZINA USHAHIDI WA KINA
Bas usiwahukumu au kuwajudge wahindu na wabudha na imani zao mkuuSikuwaona π€
Hoja zinatungwa mkuu kuhalalisha andiko mkuuHakuna kitu chenye majibu ya moja kwa moja always, ila tunaaangalia ana hoja gani za ku-support andiko lake
FACTSWe huyo Allah unajuaje kakuumba sio Krishna. Una ushahidi gani.. ukipata Nipe. Ukileta Quran sijui Biblia na mi nakuambia kasome story za Zeus na Krishna.