Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Charles Darwin hajachinja mtu na kutishia moto. Sayansi hailazimishi, ujinga unauchagua wewe
Mkuu hapa nakupinga hakuna watu walio sababisha maafa makubwa kama wanasayansi. Ww simamia kuwa dini zinazingua lkn kwenye maafa wanasayansi wanaongoza na usiniulize kwanini kwakua ww pia unaona.
 
Hao watafiti wako ndiyo wamekuambia Duma na Kondoo wanaongoza kwa Homosexuals?


Kama unaamini kila unachoambiwa sawa.
We si umeamini kila walichokuambia waarabu. Unauliza evidence ukipewa unaanza kuzuga. In short that's not a way kudebate na watu ndo maana nimekudismind tangu mda nikakuambia sawa maana upewe facts hutaki unaishia kusema google uwongo. Sawa umeshinda niache. Atakayetaka kujua ukweli atajua lakini usimuite shoga mtu kisa kaona wanyama mashoga we ukiona mbwa dume analiwa na we utakuwa shoga kisa umeona au. Bishana kwa akili bac we mtu mzima ujue..unaleta point za kitoto mpaka jau...
 
Kwenye Dunia ya leo hata wewe mtu anaweza akakuedit kama hivyo na akaweka picha/Video google.
Nenda kaangalie full video YouTube nimekuambia acha kubishana upuuzi nimekuambia Usearch vingapi hujasearch Hadi saa hivi kila kitu kikipingana na wewe ni propaganda sijui uwongo sijui edit ifike wakati ukubali ukikosea Basi Mambo mengine yafate
 
Mkuu hapa nakupinga hakuna watu walio sababisha maafa makubwa kama wanasayansi. Ww simamia kuwa dini zinazingua lkn kwenye maafa wanasayansi wanaongoza na usiniulize kwanini kwakua ww pia unaona.
Vita nyingi duniani, mauaji, ugaidi, utekaji, ubakaji, ukoloni, unyanyasaji, utumwa, vyote vimehalalishwa na dini. Hutaki acha silazimishi
 
Mimi siamini kila ninachoambiwa si Waarabu,Wazungu wala Wachina......

Natumia akili ku reason.. kama kitu hakiingii akiilini hakuna wa kuniaminisha uongo.
 
Nenda kaangalie full video YouTube nimekuambia acha kubishana upuuzi nimekuambia Usearch vingapi hujasearch Hadi saa hivi kila kitu kikipingana na wewe ni propaganda sijui uwongo sijui edit ifike wakati ukubali ukikosea Basi Mambo mengine yafate
Basi sawa, tufanye upo sahihi duniani hakuna propaganda..
 
Mimi siamini kila ninachoambiwa si Waarabu,Wazungu wala Wachina......

Natumia akili ku reason.. kama kitu hakiingii akiilini hakuna wa kuniaminisha uongo.
Bac amini uislamu wako Ila proof ipo homosexuality in animals. Kama paka wako nyumbani ndo mnyama peke yake duniani endelea kumtumia paka wako Kama sample.
 
Bac amini uislamu wako Ila proof ipo homosexuality in animals. Kama paka wako nyumbani ndo mnyama peke yake duniani endelea kumtumia paka wako Kama sample.
Hahh Wanyama wako wa google ndiyo mashoga,.... aliyekuteka akili amekudanganya mno.

Ila tambua kwamba Dunia hii Ina njia mbili tu, (It's GOOD VS EVIL)

Ukiacha njia mojawapo kati ya hizo mbili basi njia moja lazima itapita na wewe kama upepo. Sijui umenipata?
 
Hahhh naona umeanzisha mpaka Uzi ku support ushoga daah🙌🏼


Pambana Mkuu
Issue sio kusapoti. Tofautisheni mtu kusapoti na mtu kutopinga. I'm against all religious dogmas.. homosexuality included, na nipo against fikra za uwongo. We mwenyewe umezunguka hapa na wanyama coz ni point yako Pekee ya msingi ulivyokuwa nayo kichwani ndo maana unaikazania even though ishafeli. Sasa kama imebuma achana nao na uishi maisha yako na Demu/mke wako au wake zako wanne mmoja Akiwa ana miaka 14 sawa tu na wengine wakiamua kupuchuka maisha Yao yote wasigonge au wakiamua ushoga au usagaji au kuwa celibate kabisa ni wao pia coz vya chumbani kwake havikuhusu.
 
Hizi njia mbili imetungwa na waarabu wako mi Sina hizi njia tu me it's my lyf and humanity. Ni kuishi na watu vizuri. Bila kuwaonea, bila kuwaumiza, bila kuwanyanyasa no matter tofauti zao. Ndo maana ya kuendelea kibinadamu. Na Kama wanyama wa google ni mashoga tafkiri google Ina zoo ya wanyama ambao Ni mashoga sawa. Coz kwa mfano hao Simba ni wa masai Mara Kenya wengine south Africa Sasa najua utakuja na kisingizio so yaishe tu na wanyama hao waache wapumue.
 
Sawa hata wewe fanya unavyotaka, ukitaka kuwa hata hao unao wa support Ili uwape nguvu zaidi.


Mimi sijazunguka na Wanyama, nimeongea tu fact. ambayo ipo wazi na Universal... Dunia nzima wanajua kama Wanyama hawafanyi huo ujinga.
 
Sawa hata wewe fanya unavyotaka, ukitaka kuwa hata hao unao wa support Ili uwape nguvu zaidi.


Mimi sijazunguka na Wanyama, nimeongea tu fact. ambayo ipo wazi na Universal... Dunia nzima wanajua kama Wanyama hawafanyi huo ujinga.
We ndo unajua sio dunia nzima. Usilazimishe mawazo yako dunia nzima. Ingia fanya research mtandaoni tafuta sources mbali mbali tofauti na urudi na scientific evidence ikisema no animals r homosexual. So far unaongea from ur mind so just shut up and do some research for once.
Ukiniattack Mimi badala ya hoja haitaniumiza... unakimbilia kunisema tu kila mda niwe shoga umenizaa wewe kuwa na heshima mtu mzima Kama huna hoja ya kutetea tembea
 
Hahhh njia zimetungwa na Waarabu?
mtu alivyoumbwa tu kwenye software yake kawekewa utambuzi wa hizo njia yaani automatically mtu anajua kudhulumu ni vibaya, kumtesa mtu ni vibaya, Lakini pia Mtu tayari anajua kumsaidia mtu/Mnyama ni jambo zuri, kusimamia haki ni jambo zuri n.k
 
Mungu Hayupo na Km yupo hayupo kw upande wako au binadamu yoyote; tena hata Shetani ana afadhali coz Km uyo Jamaa yupo ni mtu mbaya sana.
 
Mimi sio brainwashed kiasi hiko siwezi eti niende google nifanye research ambayo observation kwa macho tu na experience yangu inatosha kuwa research.

Wewe kama unaamini hizo research, sio kesi endelea kuamini sidhani kama kuna shida hapo.
 
Yani uthibitisho ulionao ni kwamba "quran ndio imesema ivo"
Smh[emoji2365]... sasa wakat sayansi inakuletea thibitisho za kutosha kabisa. Huenda ww ni kati ya watu wanaoamini kua dunia ni flat
 
Kwahiyo Uislam unahusika vipi na Ndege kutoruhusiwa kupitia Sudan?

Daah, Mkuu ondoa mindset ya chuki.. Mimi siwezi nikakaa nakuamua kusingizia Wakristo,jews, Buddhists au atheists jambo ambalo hawahusiki kabisa nalo.
Ndugu, wanaouwa wenyewe wanakwambia uchague kati ya kusilimu au kuawa... wao ni waislamu na wadai kua wanafanya ivo kwaajil ya Allah, kufanya usilamu utawale. Maandiko yenu sindo yanasema kua uislamu utatawala dunian kote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…