Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Jibu Ndio na Kwa mujibu wa Quran hapa ndio anafukuzwa humo peponi alipokuwa anaishi Baada ya kupinga amri ya Mungu ya kumsujudia AdamSwali langu kwako.
Kama aliyeasi alikuwa ni jini siyo malaika, ina maana malaika na majini wote walikuwepo mbinguni na walikuwa wamechangamana pamoja ?
Qurani 7:18
Akasema: Toka humo, nawe umekwisha fedheheka, umekwisha fukuzwa. Hapana shaka atakaye kufuata miongoni mwao, basi nitaijaza Jahannam kwa nyinyi nyote.
Quran 7:19
Na wewe, Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani hii, na kuleni humo mpendapo. Wala msiukaribie mti huu, mkawa katika wale walio dhulumu.