Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Naamini Mungu yupo ila nashindwa kuuelewa ukamilifu wake, labda muendelee kunifunza

Kuna makala nillisoma mwaka jana, ngoja nimenyee kidogo.

Kwanza, kumbuka kuwa asilimia kama 75 % au 78% (Robo tatu ya Dunia) ni maji mpaka sasa.

That means, sehemu ya nchi kavu duniani huwa ni ndogo sana (only 23% to 25 %).

Hiyo makala niliyosoma mwaka jana ilikuwa ni ya mambo ya Geology na ulikuwa ni utafti mpya kabisa.

Na utafti huo ulikuwa una-suggest kwamba : "INDIA ndiyo nchi ya kwanza duniani kujitokeza kama ardhi juu ya dunia". That means dunia nzima hapo mwanzo ilikuwa ni maji tupu.
Hii mbona haipingiki. Ila haya yalitokea kabla ya binadamu kuwepo. Tokea maendeleo ya binadamu yaanze hakujawahi kufurika dunia nzima. Story ya Noah imeibwa kutoka dini nyingi tu nenda Google search Flood myths utaziona zipo nyingi zote zinafanana na ya Noah. Kwa sababu historia ya Misri inaonyesha muendelezo na kipindi hicho wanachosema kulikuwa na mafuriko mbona misri kulikuwa na falme inaendelea. Na nchi zingine duniani historia Yao haikuingiliwa na mafuriko yaliyouwa watu na wanyama wote isipokuwa watu wanane cjui. Hii story Ni ya kuhadithia mtoto kulala sio tukio la kihistoria.
 
Mi naamini sio juhudi tu kuna jambo tu lipo ndio maana Asia wanaamini sana kuhusu Fate/Destiny yani haya maisha ni kama yamepangwa nahisi ndio mana kuna watu wanafanya unabii wa yajayo
Maisha unayapanga mwenyewe, vitu vingine Kama nature na watu wengine are not in ur control.. Ila haimaanishi maisha yako yamepangwa. We piga juhudi unaweza fanya chochote utakacho ukijiamini na ukifanya kazi.
 
Duuh...

Swali la Mungu alikuwa aliishi wapi kabla ya kuiumba MBINGU ambayo ni makao yake ni swali la msingi sana, na inabidi wataalamu wa haya mambo mje mjibu huku (ila kwa reference siyo kwenye fikra zenu).

Lakini mimi nikujibu hilo la heavenly bodies kugongana, probably inawezekana zamani viliwahi kugongana na hata wanasayansi wanasema hivo.

Na hata wana sayansi wa leo (modern scientists) wanatuambia kuwa miaka bilioni kadhaa ijayo hii galaxy yetu (milky way) itakuja kugongana na galaxy ya jiran (Adromeda galaxy) na bado ya mgongano huo itazaliwa galaxy mpya kwa jina lingine,lakini hakuna proof maana haijatokea bado.

Lakini pia, can you imagine kwenye galaxy yetu pekee (milky way) kuna kana kadiriwa kuwa na nyota kati ya bilion 300 mpaka bilion 500, pamoja na sayari zisizopungua bilion 100.

Sasa, hii galaxy yetu ni mojawapo ya galaxy ndogo sana, alafu fukiria idadi ya nyota zilizopo kwenye hiyo galaxy, fananisha na galaxy zingine kubwa zaidi ya yetu zitakuwa na nyota ngapi na sayari ngapi.

Alafu kumbuka galaxy zenyewe zipo nyingi sana, na kila galaxy ina ina mabilioni ya nyota na sayari.

Alafu imagine the whole observabale universe inakadiriwa kuwa na nyota siyo chini ya trilion 12.

Alafu wanasayansi wanakadiria kuwa "The number of stars in the universe is much bigger than all the grains of sand in the beaches on planet earth"

Na hivyo vyote viko kwenye motion, waweza nambia kama hivi vitu havina anayevidhibiti huoni kuwa vingekuwa vinagongana kila sekunde ?

Au hujaskia matukio ya Austronomy, wakisema kuwa "kuna jiwe kubwa la angani linakuja uelekeo wa dunia kuja kuiogonga la likiigonga dunia ndiyo maisha kwa heri" .

Lakini mara unashangaa wanatoa repoti tena kuwa hilo jiwe lililokuwa linakuja uelekeo wa dunia sasahivi limeshabadili mwelekeo siyo hatari tena kwa dunia.

We unadhani huo mwelekeo linabadilisha tu lenyewe bila mdhibiti ?

Kuna designer wa huu ulimwengu broo hata kama hatumwoni kwa macho.
Changamoto hakuna proof yoyote yenye mantiki ya kuthibitisha kama Mungu yupo, na ukisema Mungu hayupo, unawaza Tena chanzo uhai ni nini au hizo terrestrial bodies zilianzajeanzaje.

Kuna kitabu fulani Cha cathocism, kina maswali mengi na majibu yake. Moja ya swali linahusu kuthibitisha kama Mungu yupo. Points za majibu wamezitoa kwa ST. Thomas wa Akwino (kama sijakosea), kama motion (nimesahau nyingine).

Ila mwisho Wanakiri kwamba hizo sababu hazitoshi kumfanya atheist kuamini kama Mungu yupo
 
Hii mbona haipingiki. Ila haya yalitokea kabla ya binadamu kuwepo. Tokea maendeleo ya binadamu yaanze hakujawahi kufurika dunia nzima. Story ya Noah imeibwa kutoka dini nyingi tu nenda Google search Flood myths utaziona zipo nyingi zote zinafanana na ya Noah. Kwa sababu historia ya Misri inaonyesha muendelezo na kipindi hicho wanachosema kulikuwa na mafuriko mbona misri kulikuwa na falme inaendelea. Na nchi zingine duniani historia Yao haikuingiliwa na mafuriko yaliyouwa watu na wanyama wote isipokuwa watu wanane cjui. Hii story Ni ya kuhadithia mtoto kulala sio tukio la kihistoria.
Yeah ni kabla ya binadamu kuwepo duniani.

Na mimi nilikuwa nalisemea katika muktadha wa maji kufurika dunia nzima kama bahari zilivyo leo, sikuwa katika muktadha wa mafuriko kama ya NUHU sijui.
 
kuna watu hawamjui Mungu na ni matajiri
kuomba sio kupata
Lazima kuna namnaa ama sivyo basi binadamu wote sio sawa
Msichojua ni kwamba hao mnaosema hawaombi Mungu wanatumaini dark forces kwa Siri sana, kama freemasonry na illuminati .
Ila wengine wapo wasiotumia dark forces ila wanaishi ndani ya Kanuni ya Designer Mkuu wa Universe kuwa wanatake Kila opportunity na wanaifanyia kazi, hii Kanuni inawanufaisha wote wanaomjua na wasiomjua Designer wa Universe ila 90% of people wanaishi wakiwa na matumaini ya negative forces.
 
Binadamu siwezi kumweka pembeni ndio nachat nae hapa anatumia akili kusoma na kuelewa anachosoma na kuandika, anatumia utashi kufanya maamuzi, ana roho ambayo imebeba uhai wake na ndio huyo ananiuliza kuhusu lucifer anahitaji kupanua maarifa yake kuhusu ufahamu.
Any way, tulikuwa kwenye ukamilifu wa Mungu.

Tufanye kila kitu cha mwanadamu (roho,mwili,utashi) vyote kaumbiwa na Mumgu.
Hivyo basi, kama muumbaji (Mungu) alikuwa na ukamilifu wote basi angemuumba hjyo mwanadamu bila madhaifu yeyote.

Yaani ni kwamba binadamu angekuwa programmed kutenda yampendezayo Mungu tu bila kutenda dhambi ambazo ni chukizo kwa Mungu wake.

Lakini kwa sababu hakuumbwa hivo, akawa na kasoro akatenda dhambi that means Muumbaji wake hakuwa mkamilifu kwenye kila kitu kipya, ndiyo maana kaumba viumbe dhaifu ambao walikuja kumtenda dhambi badae
 
Any way, tulikuwa kwenye ukamilifu wa Mungu.

Tufanye kila kitu cha mwanadamu (roho,mwili,utashi) vyote kaumbiwa na Mumgu.
Hivyo basi, kama muumbaji (Mungu) alikuwa na ukamilifu wote basi angemuumba hjyo mwanadamu bila madhaifu yeyote.

Yaani ni kwamba binadamu angekuwa programmed kutenda yampendezayo Mungu tu bila kutenda dhambi ambazo ni chukizo kwa Mungu wake.

Lakini kwa sababu hakuumbwa hivo, akawa na kasoro akatenda dhambi that means Muumbaji wake hakuwa mkamilifu kwenye kila kitu kipya, ndiyo maana kaumba viumbe dhaifu ambao walikuja kumtenda dhambi badae
Chakula kikiwa kibaya analaumiwa mpishi au chakula.
Mchoro ukiwa mbaya analaumiwa mchoraji au mchoro.
Ndo hivyo bro
 
Any way, tulikuwa kwenye ukamilifu wa Mungu.

Tufanye kila kitu cha mwanadamu (roho,mwili,utashi) vyote kaumbiwa na Mumgu.
Hivyo basi, kama muumbaji (Mungu) alikuwa na ukamilifu wote basi angemuumba hjyo mwanadamu bila madhaifu yeyote.

Yaani ni kwamba binadamu angekuwa programmed kutenda yampendezayo Mungu tu bila kutenda dhambi ambazo ni chukizo kwa Mungu wake.

Lakini kwa sababu hakuumbwa hivo, akawa na kasoro akatenda dhambi that means Muumbaji wake hakuwa mkamilifu kwenye kila kitu kipya, ndiyo maana kaumba viumbe dhaifu ambao walikuja kumtenda dhambi badae
Mkuu naomba nichangie kidogo kwenye hii mada nzuri....
Ipo hivi kwa mujibu wa Qur'an ni kweli Designer (Ambaye ni Mungu)kwa maamuzi yake alimuumba mtu katika udhaifu wa namna moja au nyingine mfano mtu kaumbiwa kusahau, kuchoka, kukosea n.k ..... Na Mungu kwa kujua kwamba amemuumba Mtu ambae anaweza akakosea/akatenda dhambi, basi amempa nafasi ya kutubia makosa yake na kumsamehe.

Kwahiyo nadhani Designer ameamua kuunda kiumbe wake kwa design hiyo(i.e Kampa mtu udhaifu wa kukosea na Uwezo wa kurudi kwenye njia ya sawasawa)


"Man has been created weak." (Quran 4:28)

This verse acknowledges that human beings are not perfect and have weaknesses, vulnerabilities, and limitations. It reminds us that we need to recognize our limitations and turn to Allah for help and guidance.
 
Mkuu naomba nichangie kidogo kwenye hii mada nzuri....
Ipo hivi kwa mujibu wa Qur'an ni kweli Designer (Ambaye ni Mungu)kwa maamuzi yake alimuumba mtu katika udhaifu wa namna moja au nyingine mfano mtu kaumbiwa kusahau, kuchoka, kukosea n.k ..... Na Mungu kwa kujua kwamba amemuumba Mtu ambae anaweza akakosea/akatenda dhambi, basi amempa nafasi ya kutubia makosa yake na kumsamehe.

Kwahiyo nadhani Designer ameamua kuunda kiumbe wake kwa design hiyo(i.e Kampa mtu udhaifu wa kukosea na Uwezo wa kurudi kwenye njia ya sawasawa)


"Man has been created weak." (Quran 4:28)

This verse acknowledges that human beings are not perfect and have weaknesses, vulnerabilities, and limitations. It reminds us that we need to recognize our limitations and turn to Allah for help and guidance.
Sasa huoni kwamba Kuna tatizo hapa. Coz we ni muislam Kuna mwingine muhindi mwingine myahudi, au kila mtu amuombe msamaha Mungu wake aliyeyopo kwenye tamaduni zao. Na hizo Tabia Ni evolutionary nature ya wanyama wote. Just because si tumezidi wanyama wengine uelewa wa vitu haimaanishi ndo tupo special Sana. So kujifanya tumetengenezewa ulimwengu sisi it's wrong. Na dhambi Ni Nini asa, Sheria za Mungu Ni zipi, kila jamii imetunga sheria zake na kumpa Mungu kutokana na utamaduni wake, waislam wanazao, wamisri walikuwa na zao, waafrica walikuwa na zao, wahindu wanazao. Mwisho wa siku binadamu ana nguvu nyingi tu Ila dini zinatuambia sijui tumeanguka sijui tumrudie Mungu ili zituendeshe, Ni Kama tapeli ananiambia sijui una matatizo kibao kwenye maisha yako kwa hiyo inabidi unipe hela zako nitakusaidia.
 
Mkuu naomba nichangie kidogo kwenye hii mada nzuri....
Ipo hivi kwa mujibu wa Qur'an ni kweli Designer (Ambaye ni Mungu)kwa maamuzi yake alimuumba mtu katika udhaifu wa namna moja au nyingine mfano mtu kaumbiwa kusahau, kuchoka, kukosea n.k ..... Na Mungu kwa kujua kwamba amemuumba Mtu ambae anaweza akakosea/akatenda dhambi, basi amempa nafasi ya kutubia makosa yake na kumsamehe.

Kwahiyo nadhani Designer ameamua kuunda kiumbe wake kwa design hiyo(i.e Kampa mtu udhaifu wa kukosea na Uwezo wa kurudi kwenye njia ya sawasawa)


"Man has been created weak." (Quran 4:28)

This verse acknowledges that human beings are not perfect and have weaknesses, vulnerabilities, and limitations. It reminds us that we need to recognize our limitations and turn to Allah for help and guidance.
Mkuu hoja inapaswa kusikilizwa na kila mwenye mwili (yaani binadamu).

Nimekuelewa zaidi ulivyosema kuwa "kaumbwa na madhaifu alafu kapewa nafasi ya msamaha akikosea".

Ni hoja nzuri na inayoeleweka.

Lakini na kuja kwa huyu wa upande roho (Yaani shetani), kama shetani ambayo ilikuwa ni roho na bado ilimwasi Mungu, maana yake ni kwamba huyo shetani nae aliumbwa na madhaifu kama tu binadamu.

Swali langu kwako, kwanini Binadamu pekee ndiye apewe nafasi ya kutubu dhambi na kusamehewa alafu shetani yeye anywimwe hiyo fursa ya kuomba msamaha wakati wote wawili (Adam na shetani) waliumbwa wakiwa na madhaifu yaliyopelekea kuasi ?
 
Sasa huoni kwamba Kuna tatizo hapa. Coz we ni muislam Kuna mwingine muhindi mwingine myahudi, au kila mtu amuombe msamaha Mungu wake aliyeyopo kwenye tamaduni zao. Na hizo Tabia Ni evolutionary nature ya wanyama wote. Just because si tumezidi wanyama wengine uelewa wa vitu haimaanishi ndo tupo special Sana. So kujifanya tumetengenezewa ulimwengu sisi it's wrong. Na dhambi Ni Nini asa, Sheria za Mungu Ni zipi, kila jamii imetunga sheria zake na kumpa Mungu kutokana na utamaduni wake, waislam wanazao, wamisri walikuwa na zao, waafrica walikuwa na zao, wahindu wanazao. Mwisho wa siku binadamu ana nguvu nyingi tu Ila dini zinatuambia sijui tumeanguka sijui tumrudie Mungu ili zituendeshe, Ni Kama tapeli ananiambia sijui una matatizo kibao kwenye maisha yako kwa hiyo inabidi unipe hela zako nitakusaidia.
Brother tuachane na miungu kama ya kihindi,budha n.k.

Tumwongelee Super GOD, au wengine humwita Mungu wa Israel, Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo.

Nataka nijue kama huyo SUPER GOD huwa ana sheria tofauti kwa watu wake.

Taacheni na miungu kwanza
 
Hivyo basi, kama muumbaji (Mungu) alikuwa na ukamilifu wote basi angemuumba hjyo mwanadamu bila madhaifu yeyote.
Kwa Mungu abadani hilo halipo maana utofauti kati yake na wewe usingekuwepo na kwa kulijua hilo akakupa mwili ambao ni udhaifu we ni mfano tu... cha ajabu mfano unahangaika kumwelekeza muumbaji wake... ukidai ukamilifu kamili?, shetani aliyeumbwa kwa roho na moto (bila utashi na mwili) nae ujinga huo ndio ulimgharimu akaona Mungu kampa ukuu sana binadamu kuliko yeye. Kinacho tuhangaisha ni kudhani Mungu anatuonea na kusahau mmiliki ndio mwenye maamuzi ya mwisho kuhusu bidhaa zake. Kaa kwa utulivu fuata maelekezo ya Muumba wako.
 
Sasa huoni kwamba Kuna tatizo hapa. Coz we ni muislam Kuna mwingine muhindi mwingine myahudi, au kila mtu amuombe msamaha Mungu wake aliyeyopo kwenye tamaduni zao.
Umeandika mambo mengi lakini mistake kubwa umeifanya hapo juu nilipo quote,.....
Ipo hivi unapozungumzia Mungu Muumbaji unazungumzia Mungu mmoja Tu, aliyeumba Ulimwengu mzima na kila kitu.
So, kiukweli kabisa kwa Jamii na tamaduni zote za Dunia hii basi Mungu wao ni Mmoja ila baadhi ya watu wameacha kumuabudu Mungu aliyewaumba wakaabudu viumbe.

Mfano, Mtu anayeabudu Ng'ombe ukimuuliza Ng'ombe kaumba nini? Bila shaka atajibu hakuna Maana hata huyo Ng'ombe ni kiumbe wa Mungu aliyeumba Ulimwengu na viumbe wote.

Hivyo basi, fahamu kwamba Mungu ni Mmoja tu kwa Africa, Asia, Ulaya, America, Australia, Antarctica hivyo concept yako kwamba kila watu Wana mungu wao haina maana.... Bali tunaposema Mungu inabidi tumaanishe Mola wa watu wote regardless races zao.
 
Mkuu hoja inapaswa kusikilizwa na kila mwenye mwili (yaani binadamu).

Nimekuelewa zaidi ulivyosema kuwa "kaumbwa na madhaifu alafu kapewa nafasi ya msamaha akikosea".

Ni hoja nzuri na inayoeleweka.

Lakini na kuja kwa huyu wa upande roho (Yaani shetani), kama shetani ambayo ilikuwa ni roho na bado ilimwasi Mungu, maana yake ni kwamba huyo shetani nae aliumbwa na madhaifu kama tu binadamu.

Swali langu kwako, kwanini Binadamu pekee ndiye apewe nafasi ya kutubu dhambi na kusamehewa alafu shetani yeye anywimwe hiyo fursa ya kuomba msamaha wakati wote wawili (Adam na shetani) waliumbwa wakiwa na madhaifu yaliyopelekea kuasi ?
Hapana Mkuu Shetani hakunyimwa fursa ya kuomba msamaha bali kwa maksudi kabisa aliamua kufanya kiburi.

Kitu Kingine unapaswa kufahamu kwamba, Shetani (ambaye kwa mujibu wa Qur'an alikua miongoni mwa majini) & binadamu wote wameumbwa na wakapewa utashi yaani wanaweza kuamua kuasi au kutii... Na wakaambiwa ukiasi malipo yake ni haya na ukitii malipo yake ni haya...

Hivyo basi hata Shetani hakunyimwa fursa ya kuomba msamaha bali aliamua mwenyewe kwamba liwalo na liwe siwezi kumsujudia Adam na akaomba Mungu apewe nafasi ya kuishi mpaka mwisho wa Dunia Ili aweze kupoteza Wanadamu..., Mungu alimpa nafasi hiyo kisha akamfahamisha Shetani kwamba hatokua na Nguvu ya kumpoteza binadamu endapo binadamu atadhamiria Kushika njia njema ya uadilifu....
 
Hapana Mkuu Shetani hakunyimwa fursa ya kuomba msamaha bali kwa maksudi kabisa aliamua kufanya kiburi.

Kitu Kingine unapaswa kufahamu kwamba, Shetani (ambaye kwa mujibu wa Qur'an alikua miongoni mwa majini) & binadamu wote wameumbwa na wakapewa utashi yaani wanaweza kuamua kuasi au kutii... Na wakaambiwa ukiasi malipo yake ni haya na ukitii malipo yake ni haya...

Hivyo basi hata Shetani hakunyimwa fursa ya kuomba msamaha bali aliamua mwenyewe kwamba liwalo na liwe siwezi kumsujudia Adam na akaomba Mungu apewe nafasi ya kuishi mpaka mwisho wa Dunia Ili aweze kupoteza Wanadamu..., Mungu alimpa nafasi hiyo kisha akamfahamisha Shetani kwamba hatokua na Nguvu ya kumpoteza binadamu endapo binadamu atadhamiria Kushika njia njema ya uadilifu....
Duuh...mkuu kumjua Mungu kuna changamoto sana.

Hii ni kwa sababu hadithi nyingi za vitabu vitakatifu hazishabiliani kwa kiasi kikubwa(yaani kwenda sambamba).

Mfano : Biblia inamsema shetani kuwa alikuwa miongoni mwa malaika waliokuwa wanamwabudu Mungu mbunguni, lakini wewe unasema kwa mujibu Qur'an shetani alikuwa Jini na siyo malaika.

Kwa mujibu wa Biblia hakuna mahali panaelezea kuwa shetani aliomba msamaha bali inainesha tu kuwa yeye alikosea mara moja na kuhukumiwa pale pale wala hakuwa nafasi ya kujutia makosa, lakini wewe unasema kwa mujibu wa Qur'an shetani hakunyimwa fursa ya kutubu bali aliendelea kuwa na kiburi.

Mpaka hapo unaweza kuona namna gani vitabu vyetu vya dini vinatuambia stori tofauti kana kwamba kuna zaidi ya Mungu mmoja sijui ?

Sasa mimi nikuulize tena maswali haya mawili yafuatayo :

1.Kama shetani alikuwa akiishi Mbinguni na alikuwa akimwabudu Mungu kabla ya kuasi,Je ina maana tuseme makao ya majini huwa ni mbinguni siyo duniani na wao pia wamwchangamana na malaika wapo huko Mbinguni kumwabudu Mungu ?


2.Je, shetani akiamua hivi sasa aache kiburi na kurudi kwa Mungu kumwomba msamaha,inawezekana akasamehewa na jehanam kufutwa ?
 
Kwa Mungu abadani hilo halipo maana utofauti kati yake na wewe usingekuwepo na kwa kulijua hilo akakupa mwili ambao ni udhaifu we ni mfano tu... cha ajabu mfano unahangaika kumwelekeza muumbaji wake... ukidai ukamilifu kamili?, shetani aliyeumbwa kwa roho na moto (bila utashi na mwili) nae ujinga huo ndio ulimgharimu akaona Mungu kampa ukuu sana binadamu kuliko yeye. Kinacho tuhangaisha ni kudhani Mungu anatuonea na kusahau mmiliki ndio mwenye maamuzi ya mwisho kuhusu bidhaa zake. Kaa kwa utulivu fuata maelekezo ya Muumba wako.
Any way acha iwe mwenye bidhaa zake ndiyo mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini Je, vipi kuhusu sisi kumjua yeye.
Tunamjua yeye kupitia vitabu vyake vya dini (mfano Biblia na Qur'an).

Swali ni Je, kwanini sasa vitabu vya dini vituambie stori tofauti kwenye kitu kile kile kimoja ?

It means kuna kitabu kitakuwa kimepotosha ?
 
Duuh...mkuu kumjua Mungu kuna changamoto sana.

Hii ni kwa sababu hadithi nyingi za vitabu vitakatifu hazishabiliani kwa kiasi kikubwa(yaani kwenda sambamba).

Mfano : Biblia inamsema shetani kuwa alikuwa miongoni mwa malaika waliokuwa wanamwabudu Mungu mbunguni, lakini wewe unasema kwa mujibu Qur'an shetani alikuwa Jini na siyo malaika.

Kwa mujibu wa Biblia hakuna mahali panaelezea kuwa shetani aliomba msamaha bali inainesha tu kuwa yeye alikosea mara moja na kuhukumiwa pale pale wala hakuwa nafasi ya kujutia makosa, lakini wewe unasema kwa mujibu wa Qur'an shetani hakunyimwa fursa ya kutubu bali aliendelea kuwa na kiburi.

Mpaka hapo unaweza kuona namna gani vitabu vyetu vya dini vinatuambia stori tofauti kana kwamba kuna zaidi ya Mungu mmoja sijui ?

Sasa mimi nikuulize tena maswali haya mawili yafuatayo :

1.Kama shetani alikuwa akiishi Mbinguni na alikuwa akimwabudu Mungu kabla ya kuasi,Je ina maana tuseme makao ya majini huwa ni mbinguni siyo duniani na wao pia wamwchangamana na malaika wapo huko Mbinguni kumwabudu Mungu ?


2.Je, shetani akiamua hivi sasa aache kiburi na kurudi kwa Mungu kumwomba msamaha,inawezekana akasamehewa na jehanam kufutwa ?
Mkuu, kumjua Mungu wala sio changamoto hasa kama Mungu mwenyewe ni Yule Muumba wa kila kitu maana kila kitu kipo wazi.

Kuhusu vitabu vya dini kutofautiana, kwa kuwa unaonekana ni Open Minded jaribu kusoma pia sources nyingine nje ya Biblia Ili uelewe zaidi ukweli wa mambo mfano unaweza kupitia Qur'an na vitabu vingine.

Najibu maswali yako sasa :-
1. Makao ya majini ni hapa duniani na si mbinguni,... Bali Ibilisi(jini) ambaye ndiyo Shetani Hadith yake ni kwamba kulitokea uasi mkubwa uliofanywa na Jamii ya majini kwenye Dunia hii,. hivyo Mwenyezi Mungu akaagiza Malaika wake waje kutoa adhabu kwa Majini hao waliokithirisha maasi duniani, kwenye kazi hiyo ya kutoa adhabu kwa Majini ndiyo wakakuta mtoto wa kijini(Ibilisi) wakaamua wasimdhuru bali walimchukua na kwenda nae mbinguni, hivyo jini huyo(Ibilisi) akaishi pamoja na Malaika tokea hapo.
So, Shetani kuishi pamoja na Malaika ilikua ni special case.

2. Kuhusu hili swali, Shetani alishakataa kuomba msamaha na ashaandikiwa miongoni mwa viumbe wa motoni.., (kuhusu kwamba akiomba Msamaha sasahvi atasamehewa au Laa, Hilo anajua Mungu mwenyewe)
Na hata akiomba Msamaha sasahvi Jehannam haiwezi kufutwa maana bado wapo watu na majini ambao wanafanya dhulma inabidi wawe wakazi wa Jehannam,so Jehannam itaendelea kuwepo ☠️
 
Back
Top Bottom