Kwenye kuchagua vitu vya kusoma naungana na wewe, Wakristo wanachagua vitabu vya kujifunza zaidi huku vingine vinavyoonekana kuwa vigumu kufundishika wakivitelekeza.
Kitabu cha ufunuo wa yohana bhana, mimi nimefunzwa yale mafumbo nikayaelewa sawa kwa kiasi chake.
Lakini najiulizaga kwanini kitumie mafumbo kitabu kizima, na tafsi zake huwa wanazitoa wapi ? Maana kwenye Biblia hazijatafsiriwa.
Mfano UFUNUO ya yohana mla nilikuwa nafundishwa yule mnyama mwenye vichwa, vinne, sijui pembe kumi n.k.
Kwamba mle kuna Marekani, Roman Empire,Europian Union, Papa sijui ametwajwa ndiyo mpinga kristo.
Wewe haya yote tafsiri hizi umejuaje nawakati mle haijafafanuliwa ?
Kusema kweli unaangalia na tabia za mataifa tajwa na wanyama/mafumbo yanayotajwa,
Papa sio mpinga Kristo ila Yuko ndani ya Circle ya kuandaa A New World Order ya kuongozwa na Mtu mmoja.
Kuna sehemu ile ya Babiloni Mkuu, nikujaribu kuangalia ile napata picha ya Taifa la Marekani pamoja na Ulaya wakiwa ndani ya Babiloni Mkuu, wao ndo wafadhili wa uchafu kama ushoga, usagaji na kubadili jinsia, plastic surgery na pia wanafadhili vita mbalimbali duniani.
Pia kitabu Cha Ufunuo kinaelezea kuanguka kwa Babiloni Mkuu, naona nilichukua pattern mbalimbali naona Taifa la Marekani litaanguka kuwa world super power huko mbeleni kupitia Vita Moja kuu itakayotokea duniani kote huku Urusi ikifanikiwa kuingia kwenye borders za Marekani .
Ufunuo wa Yohana 17:17-18
[17]Maana Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu yatimizwe.
For God hath put in their hearts to fulfil his will, and to agree, and give their kingdom unto the beast, until the words of God shall be fulfilled.
[18]Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.
And the woman which thou sawest is that great city, which reigneth over the kings of the earth.
NA ILI MNYAMA AJE INABIDI UNITED STATES OF AMERICA AANGUKE