Naandika nikijua hasa nini kinaendelea. Makonda fanya haya usidhurike

Fikra zako nafikiri ni finyu mnooo.

Sikupingi Kuna upinzani wa Mrema na Upinzani wa Wapinzani.
Unaowafikiria wewe wanajulikana hawakuwahi na hawatowahi kulala polisi, magereza na wala kushtakiwa na serikali kinyume chake ni wapinzani. Kazi kwako.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Ndg nikajuwa wanaowindwa kama swala v simba ni wa nje ya chama pendwa,kumbe hadi ndani kwa ndani!!.Kweli cheo ni mapambo ya muda ishi na watu vema.Maskini hafilisiki.
Kweli kabisa maskini hafilisiki !!
 
Ndugu na adui yangu wa miaka mingi,wewe mwenyewe nilikukumbusha utubu na kuomba msamaha kwa matendo uliotenda Karagwe,Bukoba Manispaa na Vijijini mwaka 2015 ..muache Makonda awe kichwa ngumu kama wewe.
Bishweko Haha
 
Masanja umeandika kila kitu. Tatizo hata inaweza isiwe mahakama... anaweza kujitokeza DPP akasema hana nia ya kuendelea na kesi na jamaa akaachiwa. Huyo jamaa anayejifanya Yesu hajawahi kukutana na balaa la Makonda ndo maana anajiropokea tu na kiingereza chake uchwara.
 
Atavukaje boda? Kwa passport hii hii? Si inapigwa pini Kila alitaka clearance alarm inalia?.

Ili asiendelee kuchafua watu, apelekwe segere matata
Akimbie pale boda kama alivyofanya Lema!
 
Umeyajua Haya badaa ya Jiwe kutwaliwa kwenda Kuzimu sio ?
 
Tunaomba amani itawale! Inawezekana kumsamehe mtu hata Kama hajaomba msamaha Ili kuandaa mazingira ya amani. Naomba Makonda asamehewe hata Kama hajaomba msamaha na Mungu atawabariki!
Basi tukawafungulie wafungwa wote
 
Hayo uliyomshauri tayari kashachelewa. Sidhani hata kama passport yake anayo sasa hivi. Ninashauri serikali iwapeleke mahakamani washenzi wote wa awamu iliyopita ili kuwe na utawala wa kisheria badala ya kuendeleza uhuni katika sura mpya. Rais Hichilema wa Zambia aliteswa mno na utawala uliopita ila anachofanya kwa sasa ni kuwapeleka mahakamani washenzi wote wa awamu iliyopita kiasi kwamba huwezi ona kabisa kama analipiza kisasi. Nitafurahi sana kama Ali Hapi atafikiwa na rungu la walamba asali.
 

USA ukiua kwa kutumwa nao hawana Shida. Hata kwao juzi tu wamelambana risasi kwenye Basi. Hawana Shida. Itakuwa wana mahaba sana na Tanzania kwa Uzuri wa sura zetu.
 
Kwa hiyo anatuachia Dar yetu.. oyoooooβ€¦πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½πŸ’ƒπŸΎπŸ•ΊπŸ½
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…