feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Acha kujifanya humjui Buyobe..Ngoja nimtafte Buyobe ni nani kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujifanya humjui Buyobe..Ngoja nimtafte Buyobe ni nani kwanza
Acha kujifanya humjui Buyobe..
sikuwahi na sitawahi kuwa mpambe wa mtu..
ukifanya jambo sahihi nitakuunga mkono, ukienda alijojo nakupiga mawe pia..
mimi ni mpenzi wa sera za kikatili kwa watu wapumbavu, ila sishabikii tabia za hovyo kwenye jamii...Makonda kama Makonda kwenye utaratibu wa ubabe kwa watendaji na watu wapumbavu alikuwa sahihi... ila Makonda kama Makonda kwenye tabia zake binafsi na kulewa madaraka kiasi cha kwenda nje ya key naye ni MPUMBAVU tu...
Wewe Ni fortunatus BUYOBE au umecopy na Kuna kupaste hapa from Twitter? britanicca
Nashauri haya yanayomtokea Makonda na yaliyompata Sabaya yawe ni case study katika vyuo vya uongozi wa taifa maana watanzania wote wameshuhudia before their naked eyes the quick rise and fall ya hawa ndugu kwa kulevya na madaraka. Personally , sina ushauri wa namna ambayo anaweza kukimbia maswahibu yanayomzunguka kwani jukumu la kujihakikishia usalama wake na familia yake liko mikononi mwake.Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
We suffer more often in imagination than in reality - Seneca
Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.
Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Huyo ni msukule achana nae hajielewiZamani nilikuwa napenda sana comments zako. Naona bado bado ukogo vile vile ni mwana democrasia haswa.
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
20k dollar nyingi sana, 50,000/- inatosha kummaliza. Police wenyewe wanataka aliyeuwawa atoe ushahidi so ukimuua TU basiUkiua kwa upanga utakufa kwa upanga.
Ni wazi ana mwisho mbaya sana
Sioni kama ataponea kokote
Hata akikimbia nchi hitmen wako kibao dunia hii akipewa dollar 20k anamaliza mambo chap!!
Jamaa alikuwa Nazi kweli kweli yaangi thugocracy practitioner [emoji2]
Sitoshangaa akiwa hitter somewhere why not!? ..yeye mwenyewe hitted people from nowhere!! And felt proud about it .
Atajiju
Respect @britanica
Kukimbia unaweza tena ukapotea kabisa kwenye USO wa duniaKumbe baadhi nchi anaweza kwenda lakini hao jamaa hawezi kuwakimbia hata nje wapo ni familia
Haha basi sawa kama wewe ni mmikili jamaa anapaswa kufanya citations kiroho safi.
Visasi havinaga mshindi tusiruhusu jamii yetu iingie kwenye visasi tutakuwa hatuna tofauti na mafioso.....Visasi CYO POA hatujui siasa sitapindukaje mbeleni hili taifa tutaliaribu wenyewe kwa kuvisiana na kutengeneza visasi
Makonda ajaitaidi amalizane na wanaomdai na kuwaomba radh Kama alivyofanya mwenzio kheri james
Huyu Jibwa mwache ajifie mwenyewe!! Damu ya Ben Saa8 haimwachi popote atakapokwenda. Oh Nimesahau mwambie aende ulaya akutane na mkono wa Marekani huyu muuaji mkubwa! Ama kweli kufa kwa nyani miti yote huteleza!Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
jamaa wa vx wasiojulikana wanachama wa chama fulani unkownJamaa wa VX na wanachama wa chama fulani? Code ngumu hii
aliwe jicho la nyuma fasta na jinsi alivyonona huko nyuma m mwenyewe namtamaniKwanza mie naona wanamchelewesha hv hyo wa kula kichwa fasta kudadeki zake
Ww ni muhanga wa akili yako fupi usisingizie banaPia mimi nafikiria yule mwenda wazimu asingekufa taifa letu tungekuwa na Hali Gani?
Ilifikia kina masanja mkandamizaji kunadi wapinzani wasipite kwenye madaraja au barabara zilizojengwa awamu ya Tano.
Tushukuru mungu alisikia kilio chetu.
Hata mie ni muhanga was mwenda zake
Niko MOSCOW kikianza kunuka nasepaWakishirikiana na Mambosasa ,
Najua unajua mengi , ila umri wa kustaafu ndiyo huo tena.
Vipi bado upo Moscow ..? njoo nyumbani upumzike kupisha huo msukosuko na Ukraine.
Sijaangalia tenaHuyo kiazi hajakublock kweli.
Alafu nikiandikaga nyuzi kuna Kodi fulan za maficho uwa naacha mtu akiiba wakamwambia mwendelezo vipi lazima atambwelaHaha basi sawa kama wewe ni mmikili jamaa anapaswa kufanya citations kiroho safi.
Kwani yeye alimpeleka nani mahakamani si aliwatesa na kuwauwa wengine, kipimo umpimiacho mtu hicho ndicho utapimiwaWe suffer more often in imagination than in reality - Seneca
Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.
Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.