Kama kuna watu wamepoteza wapendwa wao kuoitia yeye basi hayuko salamaKuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Awamu iliyopita kila jambo lilolokuwa linafanywa hata kama lishawahi kufanywa lilikuwa linahesabika ni jipyaKwani ile meli kuja ndio ilikuwa first time kuja? Mbona ilianza kuja wakati wa fast jet
Nilivyoendelea kukuwa nikajua wapuuzi tunao wapigia kelele na kuwa pigani humu mitandaoni na mitaani kumbe wanakula sahani moja na upande wa pili. Staki tena haya mambo ni ya kujiumiza bure bora nibaki katikati.
Sisi tunapiga kelele wao wanajali matumbo yao na familiya yao.
Ukiendelea kukua kuna siku utajua hiki nilichokiandika.
Achukue ushauri huuMkuu britanicca , duh...!.
P
Kwani watanzania vichwa vyetu umevisahau vipi Ukaja Ona anapewa Ukuu wa Mkoa sehemu Au Ubalozi?Miaka minne? Labda akaanze darasa la kwanza huko
Street justice haijali sheria wala tatizo mbeleni, jino kwa jino tuuWe suffer more often in imagination than in reality - Seneca
Ifike mahali kama nchi tujaribu kukomaa na kuachana na hizi siasa mufilisi za kuviziana na kukomoana kama tuko Sicily au Colombia. Paul Makonda amefanya makosa mengi sana na ambayo yana ushahidi, hivyo apelekwe mahakamani ili liwe fundisho kwa wengine.
Kutishia kumuua au kumtesa kisaiokolojia bila kufuata sheria ni kutengeneza tatizo jingine kubwa zaidi siku za mbeleni. Serikali isitumie rasilimali zake katika kufanikisha michezo kama hii ambayo haina manufaa kwa nchi.
Your trash is another man's treasure.Hivi kuna binadamu anamuona yule aliyeondoka March 17 kuwa alikuwa binadamu? NOOOO he was truly a devil.
Not that global trash!!Your trash is another man's treasure.
Wewe Le Mutuz wewe, leo hii unamgeuka jamaa yako?🤣Ushauri kwako Makonda kunusuru maisha yako na familia yako!
Hama Nchi Kwa Muda watu uliowatesa ni wengi ila kwakuwa tumeambiwa samehe 7 mara 70 tumeshasamehe ila Kwa Usalama wako zaidi hamia Kwa Mkeo ukweni Rwanda Au Nenda Ulaya Kasome hata Miaka minne utarudi Tanzania hasira za wengi zikiwa zimetulia,
Kuna Mawili
- Kuna Kupoteza maisha kutoka Kwa hao watesi
- Au Kuna kufungwa Kabisa maana wapo wenye vielelezo vyote juu yako!
Najua a safari yako ya Kwenda ufaransa ilifeli Kwa kutokana na kigezo ulichoombea asylum haitafutwi hivyo!
Kuna mtu mmekaa wote kwenye gari Masaa 4 mbezi beach alitumwa Kwa kazi maalumu kukushauri baadhi ya mambo kuhusu wewe na Jamaa wa VX na wanachama wa mambo fulani ukaonekana kuogopa ila alivyoondoka ukashupaza shingo tena!
Mifumo Duniani kote ipo hata Kama Serikali ipo.
Nakusihi tena usisahau kufuatilia hayo mambo ama by December 2023 tutakuja kusema habari nyingine Mdogo wangu ! Anza maisha upya nchi yeyote
Ukifika huko wala usihangaike nao uwawezi tena kwakuwa huna cheo!
Pia salimisha ile bastora umiliki wake haujahakikiwa
Britanicca
Hizi busara hazina maana; Bashite ashughulikiwe kichwa chini miguu juu kama alivowatendea wengine, shubaaamit!😁Evaluate your battles carefully, sometimes peace is more important than being right.......
Miaka ya nyuma nikiwa na mawazo machanga nilikuwa navutiwa sana na hizi siasa za gizani, hila, fitna, visasi, propaganda na kuchafuana. Lakini siku zilivyoenda nikafahamu kwamba nchi huwa haindeshwi hivyo, hasa kwenye taifa la watu ambao wanatamani kupiga hatua kubwa kimaendeleo.
Unaweza ukamfanyia visa Paul Makonda kinyume kabisa na utaratibu wa kisheria, lakini fahamu kwamba mpaka tulipofika hapa ishathibitika kwamba hakuna mtanzania asiyegusika. Awamu ya tano iwe somo kubwa kwa kizazi hiki na kijacho....
Kwani uongo ? Kuna mambo mengi gamjui;. Majuzi tu kuna maofisa fulani walikamata gari imejaa ngada; tamaa ikawajaa waladokoa kidogo; mzigo ulivyofika polisi ikaonekana sio wote waliokamata mzigo wakawekwa ndani; mpkana ninapozungumza hapa aliedokoa mzigo ni marehemu na nyepesi nyepesi zinasema ulikuwa mzigo wa mzeeDu…kweli Makonda jua limemchwea!
Hata Riz alimtuhumu madawa ya kulevya!
Kibao kimegeuka.
Ataponaje?
Nawwza kuamini ana nguvu na ndio maana bado yuko mtaani anakula bataMakonda bado hajajifunza ukisoma alichokiandika ni kama bado anaamini yeye ni untouchable na bado ananguvu sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app