Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kwa hiyo uonyeshwe bundi analiaje hii point imeonyesha una mambo mengi ya kujifunza alafu bado kwenye maisha yako hujapitia mengi inaweza ukawa mkubwa wa umri ila hujapitia mengiNimekwambia tuonyeshe analiaje sio unajichenga show us how he sing tuonyeshe analialiaje akija kufuatilia mzoga analiaje?
Huyo ni mtoto kifikra anaweza akawa mkubwa kiumri ila kifikra ni mtoto sanaNapata shida kuelewa hoja yako, kwamba umeelewa kwamba nilichoeleza kinamaanisha kuwa watu huuliwa na bundi? Hebu fafanua kidogo ulichoelewa katika bandiko langu.
Ova
Fact,Bundi akilia na kama una mgonjwa asilimia za huyo mgonjwa kupona ni ndogo SanaNi wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Ingekua kweli,hapa kiembe bundi kijitonyama,tungezika mtaa mzima.Ni wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Kwanza kabisa kiumbe chochote kinapokua katika na hali ya kukaribia kufa seli ndizo hunza kufa so bundi anaouwezo wa kutambua seli za kiumbe ambacho kinaenda kufaNi wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Kwenye mahospitali makubwa hali ipoje? Watu wanakufa daily kwenye hospitali.Kwanza kabisa kiumbe chochote kinapokua katika na hali ya kukaribia kufa seli ndizo hunza kufa so bundi anaouwezo wa kutambua seli za kiumbe ambacho kinaenda kufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bweka km Bundi tukusikie Bundi analiaje unaweza ukawa hata hujui Bundi analiajeKwa hiyo uonyeshwe bundi analiaje hii point imeonyesha una mambo mengi ya kujifunza alafu bado kwenye maisha yako hujapitia mengi inaweza ukawa mkubwa wa umri ila hujapitia mengi
Nyie ndo wale mnataka watu wabweke kama mbwa
Mazingira mkuu coz bundi ni mnyama anaependa kujificha na viumbe wengine kutokana na uasili wake so sio rahisi kua kwenye maeneo kama hayoKwenye mahospitali makubwa hali ipoje? Watu wanakufa daily kwenye hospitali.
Mtu mzima hawez kukuambia hicho ulichosemaBweka km Bundi tukusikie Bundi analiaje unaweza ukawa hata hujui Bundi analiaje
Wanasema bundi Ana uwezo wa kupata harufu ya kitu kilichokufa kabla ya siku 30Ni wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Watu wengine wabishi tu, ndege, bundi hata wanasanyansi husema, anauwezo wa kunusa, halufu ya binadamu, aliyehai karibu kufa, ndo uwezo wao, kila jamii, ya kiumbe hai duniani, inauwezo wake binafsi, bundi ndio uwezo wake huo, na kinyonga anauwezo wa kubadilika, rangi lakini bundi, hana huo uwezo, huo ni mfano kidogo, ila kunamifano, mingi tu.
Ni wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Hatar sanaNi wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo
Na ndo hao walituletea balaa la CCMHawa ndio wale hata wakiona paka ati wanasema Uchawi.
Yaani wazee wetu walikuwa wanafikiri kijinga Sana
Sasa kwa nn alie usiku tu?Niliwahi kusikia mahali kuwa bundi amebarikiwa kuhisi harufu ya mzoga hata kabla kiumbe hakijapoteza uhai wake ndio maana ni kawaida bundi kulia sehemu ambayo kuna mgonjwa