Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Naanza kuamini Bundi kulia usiku Mahali palipo na mgonjwa ni ishara mbaya

Bundi wanalia ila kuna milio bundi akilia ujue kuna jambo
Wanyama wamepewa uwezo mkubwa sana wa kuhisi kuna wanyama kabla ya tetemeko kuja wanajua na wanaondoka kabla
Ndio nakwambiaje hata kuku kukiwa na kicheche bandani hua anabadirisha mlio kuonyesha kuna hatari Kuna hatari kuna hatari Ila Bundi alie uniambie kaja kutoa taarifa kwamba ndani mtu atakufa? Yaan na wewe kabisa unakubari Bundi akilia kwenye paa la nyumba yenu basi kuna mtu mtamzika unakubari kabisa?
 
Ni ndege kwan mtu amesema sio ndege
Ni kama fisi ni mnyama tu ila wako fisi wanaotumika na wachawi
Kwa hio Bundi akija kulia kwenye paa la nyumba yenu ametumwa na wachawi? Hizo za Fisi kutumika na wachawi zipo sana huko Mkoa wa Simiyu nimeishi huko Fisi wanapita usiku wanalia balaa sijawahi kufanywa chochote na Fisi kwa hio na hizo nazo naona ni Imani potoofu tu
 
Ndio nakwambiaje hata kuku kukiwa na kicheche bandani hua anabadirisha mlio kuonyesha kuna hatari Kuna hatari kuna hatari Ila Bundi alie uniambie kaja kutoa taarifa kwamba ndani mtu atakufa? Yaan na wewe kabisa unakubari Bundi akilia kwenye paa la nyumba yenu basi kuna mtu mtamzika unakubari kabisa?
Ebu nielewe bundi wanalia ni kawaida
Ila kuna milio ya bundi akilia inaashiria ishara mbaya

Milio haifanani iko tofauti we unaona ni sawa ila haiko sawa
 
Kwa hio Bundi akija kulia kwenye paa la nyumba yenu ametumwa na wachawi? Hizo za Fisi kutumika na wachawi zipo sana huko Mkoa wa Simiyu nimeishi huko Fisi wanapita usiku wanalia balaa sijawahi kufanywa chochote na Fisi kwa hio na hizo nazo naona ni Imani potoofu tu
Hutaki kuelewa nilichoandika na ukiwa na akili hizi ni ngumu sana kujifunza
Kuna fisi wengi tu wanatembea usiku ila kuna fisi wachache wanatumiwa na wachawi sio wote sasa hapo unataka kuleta ubishi wa nini
Kwenye maisha kama hujawah fanywa chochote shukuru Mungu
 
Ebu nielewe bundi wanalia ni kawaida
Ila kuna milio ya bundi akilia inaashiria ishara mbaya

Milio haifanani iko tofauti we unaona ni sawa ila haiko sawa
Wewe taja mlio wa Bundi ambao akilia mtu anakufa au nyumba ya Pili wanatangaza msiba utaje huo mlio unaousema maana km kuwasikiliza wakilia nawasikia na najua wanaliaje
 
Ni wiki 2 mfululizo maeneo nayoishi kuna jamaa alimleta mkewe kwao ambaye alitoka kujifungua mtoto wa kike. Ndani ya hizo wiki mbili katoto hako kachanga hakakua na afya nzuri usiku kalikua kanalia sana. Cha kushangaza Kanapolia au anamaliza tu bundi naye akawa analia sana hasa mida ya kuanzia saa saba usiku. Hii ni tofauti na siku za nyuma hatukua tukisikia hizo kelele za bilundi na hata baada ya mtoto kufa hatujasikia tena. Hii ni ajabu sana! Binafsi sikuwah kuamini hilo.
Bundi ni ndege mwenye uwezo mkubwa sana wa kunusa harufu ya mzoga kutoka mbali, uwezo huu alionao ni wa kipekee ambao hata binadamu hana.

Hivyo, ikiwa nyumba ina mgonjwa ambaye seli za mwili wake zimeshaanza kufa ila mapigo ya moyo bado yanafanya kazi, bundi huweza kunusa harufu ya seli hizo.

Kutokana na hiyo harufu, bundi huvutiwa akifikiri anaweza kupata chakula, hivyo huisogelea nyumba yenye mgonjwa, lakini matokeo yake hudhaniwa ni uchuro.

Ova
 
Hutaki kuelewa nilichoandika na ukiwa na akili hizi ni ngumu sana kujifunza

Kwenye maisha kama hujawah fanywa chochote shukuru Mungu
Ndio maana nimekwambia hizo ni Imani potoofu mmepotoka nyinyi mmemezeshwa Imani potoofu mnaishi nazo Fisi ni Mnyama Bundi ni Ndege full stop
 
Ndio maana nimekwambia hizo ni Imani potoofu mmepotoka nyinyi mmemezeshwa Imani potoofu mnaishi nazo Fisi ni Mnyama Bundi ni Ndege full stop
Iyo umesema wewe hakuna cha iman potofu ni changamoto watu wanakutana nazo hata kama wewe hujawahi kukutana nayo na hio ndo definition ya maisha kujua mengi

Kuna mtu ukimwambia kuna watu wanalala njaa atakushangaa sana ila ukweli kwamba wapo
 
Bundi ni ndege mwenye uwezo mkubwa sana wa kunusa harufu ya mzoga kutoka mbali, uwezo huu alionao ni wa kipekee ambao hata binadamu hana.

Hivyo, ikiwa nyumba ina mgonjwa ambaye seli za mwili wake zimeshaanza kufa ila mapigo ya moyo bado yanafanya kazi, bundi huweza kunusa harufu ya seli hizo.

Kutokana na hiyo harufu, bundi huvutiwa akifikiri anaweza kupata chakula, hivyo huisogelea nyumba yenye mgonjwa, lakini matokeo yake hudhaniwa ni uchuro.

Ova
UONGO ushawahi muona Bundi amepiga kambi Muhimbili au pale watu hawafi au kuna kiota cha Bundi pale?
 
Nataka niwaulize hao wanaosema bundi alilia kwake daslam msiba ukatokea nanjilinji hii imakaaje.....
😆😆😆 Hakuna KITU km hicho Bundi hana hicho kitu watu wamemezeshwa tu ujinga na Imani za kijinga kuna ile moja tulikua tunapigwa changa unaambiwa 'Jua likiwa linawaka na huku mvua inanyesha basi jua huko msituni Simba anazaa'
 
Kwani bundi anakaaga mijini
Bundi makazi yake porini huko
Kumbe unaelewa kwa hio wanaokufa ni watu wa porini tu sio wa mjini? Nimekwambia huku nilipo Bundi wapo wanalia usiku na tumewazoea hajafa mtu wala hakuna matanga hakuna nini km ingekua Bundi akilia kuna mtu anakufa Mimi pia ningekua nishakufa, haya nipe huo mlio wa Bundi ambao ukiusikia basi mtu anakufa lia tukusikie
 
Kumbe unaelewa kwa hio wanaokufa ni watu wa porini tu sio wa mjini? Nimekwambia huku nilipo Bundi wapo wanalia usiku na tumewazoea hajafa mtu wala hakuna matanga hakuna nini km ingekua Bundi akilia kuna mtu anakufa Mimi pia ningekua nishakufa, haya nipe huo mlio wa Bundi ambao ukiusikia basi mtu anakufa lia tukusikie
Ukiwa na hizi mindset itakuchukua mda sana kujifunza mambo

Kwenye maisha mambo hayapo kama unadhani wewe sio kila jambo linampata kila mtu
Mambo mengine yanawapata watu fulani tu na sio wote

Kwako wewe ili jambo ukubaliane nalo basi liwe linampata kila mtu kwa fikra hizi una-safari ndefu sana
 
UONGO ushawahi muona Bundi amepiga kambi Muhimbili au pale watu hawafi au kuna kiota cha Bundi pale?

Ni kwa sababu hospitali ya Muhimbili haiko jirani na misitu. Sifa ya Bundi ni kuishi kwenye misitu minene na kuwinda nyakati za usiku.

Kwa hiyo, labda Muhimbili Hospital ingekuwa jirani na misitu minene tungeweza kuona bundi wakipiga kambi hapo, vinginevyo, hapana.

Ova
 
Ukiwa na hizi mindset itakuchukua mda sana kujifunza mambo

Kwenye maisha mambo hayapo kama unadhani wewe sio kila jambo linampata kila mtu
Mambo mengine yanawapata watu fulani tu na sio wote

Kwako wewe ili jambo ukubaliane nalo basi liwe linampata kila mtu kwa fikra hizi una-safari ndefu sana
Kiongozi umesema kuna mlio Bundi akilia tu basi jua KESHO watu wanaenda kununua Sanda emu lia huo mlio wa Bundi ambao akilia tu KESHO nyumba yenu au nyumba ya Jirani vilio vinatamalaki lio kidogo tu kuonyesha Bundi analiaje akitoa taarifa za mzoga ndani ya nyumba
 
Ni kwa sababu hospitali ya Muhimbili haiko jirani na misitu. Sifa ya Bundi ni kuishi kwenye misitu minene na kuwinda nyakati za usiku.

Kwa hiyo, labda Muhimbili Hospital ingekuwa jirani na misitu minene tungeweza kuona bundi wakipiga kambi hapo, vinginevyo, hapana.

Ova
Kwa hio unamaanisha nini Bundi katoka msituni kaja mjini kufuata mzoga kwa hio watu wanaoishi msituni ndio hufa Bundi akitua na kulia kwenye paa la nyumba yao
 
Kiongozi umesema kuna mlio Bundi akilia tu basi jua KESHO watu wanaenda kununua Sanda emu lia huo mlio wa Bundi ambao akilia tu KESHO nyumba yenu au nyumba ya Jirani vilio vinatamalaki lio kidogo tu kuonyesha Bundi analiaje akitoa taarifa za mzoga ndani ya nyumba
Na hiyo milio ipo rare sio common
Hata kama umefuga mbwa kuna milio akila unajua sio milio ya kawaida ambao umeizoea
Same kwa ng'ombe na wanyama wote wanamilio ya kawaida ila kuna milio inakua wewe sio ya kawaida

Hata mwanadamu kuna namna akiongea unajua huyu si mzima anaumwa au anashida
Kama na haya huyajui kazi ipo
 
Na hiyo milio ipo rare sio common
Hata kama umefuga mbwa kuna milio akila unajua sio milio ya kawaida ambao umeizoea
Same kwa ng'ombe na wanyama wote wanamilio ya kawaida ila kuna milio inakua wewe sio ya kawaida
Nimekwambia tuonyeshe analiaje sio unajichenga show us how he sing tuonyeshe analialiaje akija kufuatilia mzoga analiaje?
 
Kwa hio unamaanisha nini Bundi katoka msituni kaja mjini kufuata mzoga kwa hio watu wanaoishi msituni ndio hufa Bundi akitua na kulia kwenye paa la nyumba yao

Napata shida kuelewa hoja yako, kwamba umeelewa kwamba nilichoeleza kinamaanisha kuwa watu huuliwa na bundi? Hebu fafanua kidogo ulichoelewa katika bandiko langu.

Ova
 
Back
Top Bottom