Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Kwa iyo wewe unaona maandamano ndo maendeleo?

Una akili kweli?
Tumepigwa mbaya sana si kdg. Hii nchi sijui ilimkosea nn Mungu mpk anaiadhabu kiasi kikubwa kama hiki.

Hakuna aliyehukumiwa kwenye kesi ya akina Mbowe. Watuhumiwa so far ni wa4 na hakuna aliyekuhumiwa. Kwanini Rais anasema wameshahukumiwa? Eti Mbowe amefanya vurugu na kuitisha maaandamano, ina maana Rais hana taarifa kwamba maandamano ni haki ya kikatiba? Rais anasema wapinzani wanafanya maandamano na kuchoma magari, ni lini hayo yametokea? Huenda wasaidizi wa Rais hawafanyi kazi yao sawa hii si sawa kbs.
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Nope. Criticism yako kuhusu Rais Samia ni kwa sababu maslahi yako ya kisiasa yameguswa basi.

Mlimsema hivyo Rais Magufuli mkamwita dikteta uchwara. Leo hii anaonekana afadhali kwa sababu hayupo hai?

Rais pekee atakayeonekana imara kwenu ni yule tu atakayefanya yale mnayoyataka. Pale atakapopishana nanyi mara moja ataonekana hafai.

Kwa sisi wengine kufeli au kufaulu kwa Samia hakutegemei mambo yenu ya siasa.
 
Huyu mama ingebidi akaimbe qaswida msikitini,Uraisi Kwake ni bahati mbaya,
Yeye na mwendazake,wote hawakustahili kuwa wakazi wa magogoni, ni wepesi sana,hawajiamini,Wana low self esteem,kiasi kwamba Ili wajisikie wapo,lazima watukane,waumize,wakejeri,wajitambe,yule mwanga,alitegemea atakavyoamka kufanya maamuzi,
 
Nope. Criticism yako kuhusu Rais Samia ni kwa sababu maslahi yako ya kisiasa yameguswa basi.

Mlimsema hivyo Rais Magufuli mkamwita dikteta uchwara. Leo hii anaonekana afadhali kwa sababu hayupo hai?

Rais pekee atakayeonekana imara kwenu ni yule tu atakayefanya yale mnayoyataka. Pale atakapopishana nanyi mara moja ataonekana hafai.

Kwa sisi wengine kufeli au kufaulu kwa Samia hakutegemei mambo yenu ya siasa.
Umempa za uso vizuri sana!

Eti wanataka watukane waangaliwe tu, waandamane waangaliwe tu, wafanye ujinga wote waangaliwe tu!

hawa watu sometimes unaweza sema wana hidden agendas. Nchi gani makini Haina utaratibu mzuri wa kufanya mambo yake?
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.
Sio maandamano ya vyama vta siasa ni maandamano ta raia,ambayo hayachochewi na vyama vya siasa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa iyo Mbowe ndo alistahili kuwa Mkazi wa magogoni?
Huyu mama ingebidi akaimbe qaswida msikitini,Uraisi Kwake ni bahati mbaya,
Yeye na mwendazake,wote hawakustahili kuwa wakazi wa magogoni, ni wepesi sana,hawajiamini,Wana low self esteem,kiasi kwamba Ili wajisikie wapo,lazima watukane,waumize,wakejeri,wajitambe,yule mwanga,alitegemea atakavyoamka kufanya maamuzi,
 
Tumekuwa
Nope. Criticism yako kuhusu Rais Samia ni kwa sababu maslahi yako ya kisiasa yameguswa basi.

Mlimsema hivyo Rais Magufuli mkamwita dikteta uchwara. Leo hii anaonekana afadhali kwa sababu hayupo hai?

Rais pekee atakayeonekana imara kwenu ni yule tu atakayefanya yale mnayoyataka. Pale atakapopishana nanyi mara moja ataonekana hafai.

Kwa sisi wengine kufeli au kufaulu kwa Samia hakutegemei mambo yenu ya siasa.
siasa ikifeli, kila kitu kimefeli....amka kutoka usingizini
 
Kuna swali moja dogo sana ambalo badi halijapata majibu, je majina ya walio hukumiwa ni akina nani..??

2876146_IMG_20210528_133707.jpg
 
Baada ya kusikiliza interview ya Rais Samia Suluhu na Salimu Kikeke, nimegundua mambo matatu kwenye uongozi wa Samia Suluhu, aidha Rais hayuko well informed au anadanganywa/potoshwa au uwezo wake wa kutambua mambo ni mdogo.

Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na watu wake (inner circle) aliowaamini waliokuwa wanampatia taarifa sahihi hasa za ndani, SSH hana anategemea watu wa system ambao wengi wao wana ajenda zao binafsi ikiwemo ya kumpata mrithi baada yake.

Kwamba Marekani wakimaliza uchaguzi hakuna mikutano ya hadhara wala maandamano, it’s wrong, hadi leo Trump anafanya mikutano, Marekani maandamano ni kila siku tumeona wakati wa ‘Black Lives Matters’ nk nk.

Kwamba yeye (Samia) hawezi kuingilia kesi iliyo mahakamani wakati huo huo anazungumzia maendeleo ya kesi iliyopo mahakamani, kuwa, wanaoshitakiwa kwa ugaidi pamoja na Mbowe kesi zao zimeshasikilizwa na wanatumikia vifungo kabaki Mbowe, hii ni kama keshamhukumu Mbowe anawajenga watu kisaikolojia kuwa kama wenzake wamehukumiwa lazima Mbowe naye atumikie kifungo, hii sio sahihi.

Kwamba, Mbowe alikimbilia Kenya akaanza kupanga ugaidi, kidiplomasia hili halina afya linaweza kusababisha mgogoro kuwa Kenya inahifadhi watuhumiwa wa kigaidi.

Kama Rais mwenyewe anaitangazia dunia kuwa kuna watu Tanzania wamehukumiwa kwa ugaidi anategemea investor gani ata invest kwenye nchi ya magaidi, it’s just a common sense kulitambua hilo.

Haya ni machache kati ya mengi niliyoyaona kuhusiana na uwezo wa Rais kuchambua mambo kwa hadhi ya urais. Kama ni wasaidizi wake wanampotosha ama yeye kwa makusudi anaamua kupotosha, basi yampasa awe na uwezo wa kugundua na kujua madhara yake.

Leo kuna watu wameanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa Samia (kiuongozi).

Ndio maana nikasema naanza kuwaelewa watu hasa ‘Sukuma Gang’ kina Gwajima, Polepole, Bashiru wanaoonyesha wazi kutofautiana na Mwenyekiti wao, pamoja na sababu kutosemwa lakini wana send message kuhusiana na uwezo wa rais.

Tuombe mungu taifa hili lipo katika uvuli na umbwe kubwa la kisiasa.
 
✔️✔️👍👍
Nampongeza madam president amefanya vema kuongea na BBC. Lazima tufahamu asili yetu binadamu kwamba mwanaume ni tofauti na mwanamke. Kwa hulka,silka na haiba ya mama yetu tunahitajika kumpongeza.
 
Back
Top Bottom