Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Naanza kutilia shaka uwezo wa Rais Samia kuongoza Taifa

Nope. Criticism yako kuhusu Rais Samia ni kwa sababu maslahi yako ya kisiasa yameguswa basi.

Mlimsema hivyo Rais Magufuli mkamwita dikteta uchwara. Leo hii anaonekana afadhali kwa sababu hayupo hai?

Rais pekee atakayeonekana imara kwenu ni yule tu atakayefanya yale mnayoyataka. Pale atakapopishana nanyi mara moja ataonekana hafai.

Kwa sisi wengine kufeli au kufaulu kwa Samia hakutegemei mambo yenu ya siasa.
Hoja yangu ime base kwenye interview yake, ni maslahi gani yangu yameguswa kwenye interview.
 
Nampongeza madam president amefanya vema kuongea na BBC. Lazima tufahamu asili yetu binadamu kwamba mwanaume ni tofauti na mwanamke. Kwa hulka,silka na haiba ya mama yetu tunahitajika kumpongeza.
Amefanya vyema kuhojiwa maana hata ambao walikuwa hawajui udhaifu wake wameuona wazi.
 
Wewe utakuwa mjinga au una malengo yako mengine maana umekuja na hoja za kitoto.

Kwa nini usione kwamba vyombo viko makini kwa kufanya counterterrorism kabla ugaidi haujaleta madhara? Huoni hapo sasa ndio investors watakuwa na imani na usalama wa uwekezaji wao?

Ugaidi unajulikana Dunia kote na kila mtu anajua, Kenya, Mali, Nigeria, Uarabuni nk kote huko magaidi wapo lakini je umeona wawekezaji wameghairi kwenda? Mkuu hizi hoja hazitamsaidia gaidi Mbowe.

Wewe mwenye uwezo wa kuongoza Nchi mbona uko mitandaoni unajiongelesha tuu hapa.

Leta chokochoko afu utaona kama ana uwezo wa kuongoza au hana
 
Kama umeanza kuwa na wasiwasi naye leo basi nakupa pole mkuu, mwenziyo tangu atuambie kuwa tutaomboleza siku 14 badala ya 21 tukajua tayari fwamba.
😀 😀 😀 alikuwa hajasoma kipengele kilichoandikwa kwamba raisi anambolezwa siku 21.
 
Wewe mwenye uwezo wa kuongoza Nchi mbona uko mitandaoni unajiongelesha tuu hapa.

Leta chokochoko afu utaona kama ana uwezo wa kuongoza au hana
Uwezo wa kuongoza sio kupiga hata majambazi yanapiga tena yanaua.
 
Hoja yangu ime base kwenye interview yake, ni maslahi gani yangu yameguswa kwenye interview.
Kana kwamba sisi wengine hatujaiona ile interview? Kutafuta udhaifu kwenye performance bora kabisa kutoka kwa Rais Samia ni kudhihirisha jinsi miwani yenu ilivyowekwa tinted ili kuona tu yale mnayotaka myaone. Msipoyaona au kusikia Rais kashakuwa mbovu.

Ndio, hata sisi wengine bado tunamchunguza chunguza lakini hatumtafuti kwenye mambo yake ya siasa za CCM na Chadema. Sisi tunataka kila senti ya mvuja jasho itumike kuisogeza nchi mbele basi. Hayo mengine ya siasa zenu za Mbowe mtajifix wenyewe. Nchi ya watu milioni 60 haiwezi kutekwa na kundi maslahi dogo tu la watu waitwao wanasiasa.
 
Back
Top Bottom