Alwayz on top
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 706
- 268
Ungeandika Twitter hivi Hayo Matusi yake usingeyabeba[emoji23][emoji23][emoji23]Ingia barabarani uandamane.
Samia ni Rais.
Na Mbowe na Lissu hawatakuwa rais wa Tanzania mpaka WANAKUFA.
Huo ndio UKWELI MCHUNGU hutaki JIUE.
Mimi sijawahi kuogopa matusiUngeandika Twitter hivi Hayo Matusi yake usingeyabeba[emoji23][emoji23][emoji23]
Wafuasi wa Nyerere hawakumpa tabu Rais Ali Hasani Mwinyi, Wafuasi wa Mwinyi hawakumpa shida Rais Mkapa, Wafuasi wa mkapa hawakuwa na maneno kwa Rais Kikwete, Wafuasi wa Kikwete walikaa kimya kwa Rais Magufuli. Lakini Wafuasi wa Magufuli Wana kelele nyingi kwa Rais Samia. Shida ni nini hasa, ni kabila, Rais mwana mke au nini?Ni wewe tu ndo humtaki, Mimi mtu wa bara ila namtaka na nasema atake asitake tutamuongezea muda atawale milele
Kigezo gani umetumia kutoa madai yako?.Watu wa bara wote
Ni nyakati kubadilika na aina ya watu kubadilika pia. Walimuona JPM kama vile ni nusu ya malaika, hakosei na aliwapa matumaini makubwa mno.Wafuasi wa Nyerere hawakumpa tabu Rais Ali Hasani Mwinyi, Wafuasi wa Mwinyi hawakumpa shida Rais Mkapa, Wafuasi wa mkapa hawakuwa na maneno kwa Rais Kikwete, Wafuasi wa Kikwete walikaa kimya kwa Rais Magufuli. Lakini Wafuasi wa Magufuli Wana kelele nyingi kwa Rais Samia. Shida ni nini hasa, ni kabila, Rais mwana mke au nini?
hata mimi simtaki kama vp tupige kura za maoni tuone upande upi utashindaArudi kwenu Zenji aongoze
Akaongoze kwao kwanza ni mbaguzi snhata mimi simtaki kama vp tupige kura za maoni tuone upande upi utashinda
Kama mtanzaniaKigezo gani umetumia kutoa madai yako?.
Maoni ya kihisia zaidi hayana ukweli wowote.Kama mtanzania
Utajulia wapi upo Pemba aseeMaoni ya kihisia zaidi hayana ukweli wowote.
Nipo Dar mbezi beach.Utajulia wapi upo Pemba asee
Kwenu ni Pemba lakiniNipo Dar mbezi beach.
Ngara Kagera.Kwenu ni Pemba lakini
A wapi? hakuna mbara anaweza kuwa na akili kama zakoNgara Kagera.
Sikulazimishi kukubali. Siwezi kukubali ujinga ni lazima nitaupinga tu.A wapi? hakuna mbara anaweza kuwa na akili kama zako
Asiye mtanzania ndio atasema hivyo,watanzania tunamtaka mama,kipenzi cha watanzania.Watu wa bara wote
Watanzania tunamtaka,asiye mtanzania ndio atasema hamtaki.Huyu bibi acheni kumdanganya hakuna mtu wa bara anayemtaka wala kumpenda ni kwamba basi watu wamekaa kimya lakini hatumtaki
Matusi ya nini mzee? utakuwa umefoji vyeti wewe ndiyo maana unashangilia ujingaSikulazimishi kukubali. Siwezi kukubali ujinga ni lazima nitaupinga tu.
sema wazanzibarWatanzania tunamtaka,asiye mtanzania ndio atasema hamtaki.
Tetete kipenzi kwenuAsiye mtanzania ndio atasema hivyo,watanzania tunamtaka mama,kipenzi cha watanzania.