Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Ukianza ubaguzi wa kuwaita wapemba na waunguja huo ubaguzi utakutafuna ukishakuwa na Tanganyika, ni dhambi siku zote inakutafuna mpaka unapokwenda kaburini.Matusi ya nini mzee? utakuwa umefoji vyeti wewe ndiyo maana unashangilia ujinga