Pre GE2025 Nabii Sanga: Mgawanyiko mkubwa utaikumba CCM mwaka 2024 na 2025, tuiombee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ujumbe Kwa watu wote lazima uwe namna hiyo.

Soma Aya ya mwisho, amerudia tena kati.😀😀
 
Kama ni hivyo basi sehemu kama Somalia atakuwa amekosea sana?
Rudi kwenye historia,

Mazoea ya kumwaga Damu, Damu ,Damu ilomwagika haiwezi kuruhusu kukoma Kwa matendo hayo.

Ndomana CCM wameitwa kutubu, sababu sauti ya Damu na walioonewa Huwa unadai kiisasi.
 
Sanga ni mmbea tu kama Prof. Janabi
 
Rudi kwenye historia,

Mazoea ya kumwaga Damu, Damu ,Damu ilomwagika haiwezi kuruhusu kukoma Kwa matendo hayo.

Ndomana CCM wameitwa kutubu, sababu sauti ya Damu na walioonewa Huwa unadai kiisasi.
Nimeuliza huyo ''mungu'' anayeongolewa kwenye hii thread huko Somalia vipi? Kwa wapalestina vipi? Kwa nini awape tu CCM chance ya kutubu?
 
Mpk sasa Kuna mtikisiko. Makonda hatakiwi na viongozi waandamizi wa ccm karibu wote . Sijui mama kamteua wa nn huyo muuaj!!!!?
 
Iko shida wenyewe kwa wenyewe waendelee tu sisi tunatizama
 
Wewe huoni haja ya CCM kutubu?

Au ukakasi umekuingia uliposikia CCM iombewe?
CCM itubu na kuombewa ili iweje? Wanaopaswa kuombewa ni chawa wote wanaokiwezesha na kushabikia kikundi cha mashetani, wala rushwa na mafisadi kubaki madarakani akiwemo huyo nabii wako anaefikiri bila CCM nchi haitakuwa na amani!!
 
Mungu ana ubia Gani na CCM mpaka akwambie uwaombee.

Ili iweje Sasa,wabaki madarakani au vipi?
Maana kama ni hivyo Mungu anaweza hiyo kesi kumaliza hata bilaa maombi yetu
 
Ikiwa huamini manabii,

Kwako wote ni WA mchongo.

Bt karama ya unabii Kwa waliookoka Kila Kanisa, lazima awepo mwenye karama ya unabii.
Rabbon nimeishi na asilimia 90 ya manabii wa ndani na nje ya nchi.. Cover unayoiona mbele ya madhabahu zao kwenye camera ni tofauti kabisa na kilichomo nyuma ya pazia zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…