Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Nabii wetu ni mlevi kupindukia

Ndio maana dini na imani zake zimekosa ushawishi siku hizi. Watu wanaona bora wapambanie life tu na sio kwenda kwenye nyumba za ibada kwa sababu ya watu kama huyu.
Usitafute sababu ya kumkwepa Mungu.dini haina uhusiano wowote na matendo ya Mtu.
 
For sure

Wenye rank zenye hadhi ya kupewa u"RPC" wengi sana tena mamia kwa mamia wamejaa tu pale makao makuu ila wanapata wachache

Halafu miaka ya karibuni ni karibia kila Polisi aliepata nyota akiwa na umri mdogo atafikia rank hizo
Cheo hasa za U RPC ni vyeo vya kupeana kimkakati ili kuwatumikia wanaowapa...naweza nisieleweke lakini najua 100% nisemacho
 
Mimi ni roman catholic. Hivi kwanin mambo ya kijinga kupitia dini, yako zaid mlengo wa dheheb za kikristo? Au Biblia iko complex sana kuruhusu chocho za kila mtu kuitafsir atakavyo kwa wema au kwa ubaya! Kuna mambo waumin wanaaminishwa na kufanywa unabaki mdomo wazi. Au wakristo wanazidi kwa kupenda miujiza kuliko uwajibikaji. Mtu anaamin jambo kama vile akili mezitupa jalalani.
Kuna mmoja yeye ibada yake ameamua kuwajambia waumini [emoji1787] wonders shall never end
 
Kuna mtu humu anaitwa Citizen B, huyo sijui ni me sijui ni ke whatever lkn yeye katika hili la upumbavu wa nabii shillah, lawama zake zote kwa shekhe ponda na waislam unadhani labda wao ndio waliomtuma,, ngojeni aje muone
wewe umeona wapi nalaumu? unajua maana ya lawama?
 
Niliikubali sana intelligencia ya cdm huyu alitaka ubunge angekivuruga chama sana.
Shila ni mtoto, muongo muongo sana, tapeli halafu ana uwezo wa kuchukua mstari wa Biblia akaubadilisha anavyotaka yeye sio Biblia inavyotaka. Ni dogo hatari sana atapeleka wengi motoni.
 
Na utakuta anawaumini watu wazima na akili zao ..shida kubwa ni umasikini watu wanaogopa Sana ukimwi lakini wanasahau upo mwingine mbaya kuliko ukimwi ambao ni umasikini ...maskini akiambiwa chochote anakubali ilimradi tu ni Cha kumpa matumaini....uswailini wamama wanadanganywa Sana ...Mara mikopo ..Mara miujiza yaani mpaka Basi yaani haiingii akilini mtu Kama huyo akuambie ni nabii alafu uende kanisani kwake...alipoanza alikuwa anatoa chakula na nauli kwa waumini wake Sasa hivi baada ya kupata wafuasi hatoi Tena ...na Ana wafuasi wengi tu na mbaya zaidi yupo mpaka kwenye umoja wa manabii tz....ee mungu tuokoe na kizazi hiki kisichoelewa ....nabii anavaa mapensi anapaka Kali kichwani.....Kuna mwingine ni mchungaji wa kike nomemuona insta..amevaa suruali imebana mapaja na makalio na yupo mazabauni...na anaubiri vizur na Kuna waumini wa kiume ...
 
View attachment 2003941


View attachment 2003943

Nabbing wetu akigonga vyombo na washikaji wake
  • Amarula
  • Most
  • Jack Daniel
Vijana kama Hawa sio wa kuwashabikia sana mostly ni wauza unga what they show off ni wanaficha the business behind their wealth ukijichanganya wanakugeuza punda you just carry drugs for them wakikuaminisha ni wewe pekee wanakuamini kumbe akiwa na kilo tano anazigawa kwa wati ishirini hata watano wakikamatwa yeye Hana hasara maana 15 wamefikisha mzigo na black market Ina faida maradufu Hana hasara huwa wanajua kilo hata moja au mbili lazima itapotea na mtu au kudhulimiwa au kukamatwa.
 
Ndio maana dini na imani zake zimekosa ushawishi siku hizi. Watu wanaona bora wapambanie life tu na sio kwenda kwenye nyumba za ibada kwa sababu ya watu kama huyu.
Yani mtu ukache dini yako sababu ya watu kama hawa...basi hukuwahi kuielewa au hukuisoma kabisa dini yako
 
Back
Top Bottom