Nachukia sana masikini

Nachukia sana masikini

nimeshtuka sana kuona hii thread mbska hapa na comment bado nimeshtuka
 
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
Kati ya mzee yusuph na hadija kopa, unampenda nani
 
Back
Top Bottom