Nachukia sana masikini

Nachukia sana masikini

Masikini endeleeni kunijadili napenda sana comment zenu sababu munalialia na umasikini wenu Mimi naenda kula Bata na watoto wakali mda huu tukutane kesho🤣🤣🤣🤣
 
Halafu hana adabu mshenzi huyu😂😂😂😂😂😂.
Unamueleza ukweli anakwambia eti "tafuta hela".
😂😂😂😂😂😂
Hivi JF hakunaga party ya kukutanisha members wa JF!?
Maana niliwahi skia sijui kuna white party.
White party ilikuwaga 🔥🔥🔥
Ila Sasa hivi watu wanaogopana, kumekuwa na sanaa na wasanii wengi sana JF ?
 
Usiniandikie gazeti la kulialia Mimi tafuta hela nitakulamba risasi ukirudia tena kuandika gazeti
we akil zako hazna akili
inabd upelekwe vtuo vya watu wenye utanda au wendawazm mana huna akil sawasaw
 
Usiniandikie gazeti la kulialia Mimi tafuta hela nitakulamba risasi ukirudia tena kuandika gazeti
Usiniandikie gazeti la kulialia Mimi tafuta hela nitakulamba risasi ukirudia tena kuandika gaz

Alienipa wewe unamjua
jaman huyo n mwendawazmu jaman msibishane nae
hana akili nzuri familia yake nazan imemtenga maana kwa staili hyo szan kama ndugu wa kumuelekeza
na naiman hana wazaz. huyo
 
Screenshot_20231028-182648.jpg
Nimebet billion 1 Leo kwangu ni pesa ya mboga tu
 
acheni dharau na vipesa vya keep chanj

Siyo dharau bro, usipokuwa mkweli unapoishi na watu, unapolea watoto wako na hata kwako wewe mwenyewe binafsi ni majanga. Tukubali tu ukweli, licha ya kuwa unauma. Umasikini wetu kwa kiwango kikubwa ni kwa sababu yetu sisi wenyewe.
 
Siyo dharau bro, usipokuwa mkweli unapoishi na watu, unapolea watoto wako na hata kwako wewe mwenyewe binafsi ni majanga. Tukubali tu ukweli, licha ya kuwa unauma. Umasikini wetu kwa kiwango kikubwa ni kwa sababu yetu sisi wenyewe.
jisemee kwa nafasi yako
 
Siyo dharau bro, usipokuwa mkweli unapoishi na watu, unapolea watoto wako na hata kwako wewe mwenyewe binafsi ni majanga. Tukubali tu ukweli, licha ya kuwa unauma. Umasikini wetu kwa kiwango kikubwa ni kwa sababu yetu sisi wenyewe.
kwaio na wew wazo lako lp mbona huelewek
mwenzio kafunguka wewe je vp mbona unalimbwasa huelewek
 
Baada ya miezi 4 unakuja na thread ya kuchangiwa pesa sijui kuna ugonjwa unakusumbua, wakifukua kaburi unaumbuka, labda uje na ID nyingine. Usitukane maba kabla haujavuka mto. Si kila masikini ni mvivu, wengine ni mfumo umewafanya kuwa hivyo anachakalika sana ila bado pesa hazipati au anazipata lakininhazikidhi majukumu yake.
Hapana utamkuta anaulizia namna ya ku upload vyeti ajira portal.
 
Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
nimesikia faraja sana kua thread moja na tajiri
 
Back
Top Bottom