Nachukia sana masikini

Nachukia sana masikini

Katika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
Vijana wanapata matatizo ya afya ya akili hawana ajira oneni huyu ameanza kuota yeye ni tajiri
 
Back
Top Bottom