King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,145
- 4,293
Karibu nikuoe.Tafuta hela fukara wewe unahasira za nini nitakulamba risasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu nikuoe.Tafuta hela fukara wewe unahasira za nini nitakulamba risasi
Karibu nikuoe,nimekupenda eti bure.Masikini ndio hua mnaolewa
Tafuta hela masikini wewe nitakulamba risasiHapo njaa imekunyoosha umeamua kujitukana. Vumilia, kijana, yatapita!
Kumbe UmeolewaKaribu nikuoe.
Karibu uwe mke wa 2.Umeolewa
Kumbe UmeolewaKaribu uwe mke wa 2.
Karibu nikuoe.Kumbe Umeolewa
Kumbe UmeolewaKaribu nikuoe.
Tafuta hela fukara nitakulamba risasi mda sio mrefuHakuna tajiri mwenye mipasho ya kiswahili
Wewe utakuwa limbukeni wa pesa 🤣🤣
Hii imeendaaaaaHakuna tajiri mwenye mipasho ya kiswahili
Wewe utakuwa limbukeni wa pesa 🤣🤣
Hahaha, acha uswahili we Mwanamke MuongwajiTafuta hela fukara nitakulamba risasi mda sio mrefu
Tafuta hela masikini wewe nitakulamba risasiHii imeendaaaaa
UmeolewaHahaha, acha uswahili we Mwanamke Muongwaji
Karibu nikuoe,nipe jibu langu bhasi.Tafuta hela masikini wewe nitakulamba risasi
Vijana wanapata matatizo ya afya ya akili hawana ajira oneni huyu ameanza kuota yeye ni tajiriKatika kitu ambacho ni sikipendi kwenye hii dunia ni umasikini yaani Mimi nikiona masikini naona kama wameniletea mkosi Fulani hivi mtu unakosaje pesa aisee yaani unakuta jitu Zima mindevu kibao halafu halina pesa aisee wakati Mimi mtoto mdogo lakini pesa zipo nyingi sikieni nyie masikini tafuteni hela msikae kae tu kizembe kizembe umasikini ni laana
si hawajawai shikaKuna Wanawake wakishahongwa Mil. 1 wanaona kama Dunia yao 🤣🤣🤣🤣