Huduma Pendwa
Member
- Apr 21, 2023
- 53
- 172
Wanufaika wa pesa za Abdala mpaka mtat
Msamehe bure tuu. Siyo kwa risiti hii. Hakika, umemuumbua mpaka siyo poa.
Wanufaika wa pesa za Abdala mpaka mtatajana
Kama matatizo ya akili yanapelekea awe msema kweli acha aendelee kuugua hayo maradhi.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Kuwapakazia wenzake bila evidence, speculations...Kama matatizo ya akili yanapelekea awe msema kweli acha aendelee kuugua hayo maradhi.
Nipo na mpago wa kuwachapa fimbo lissu na Mbowe ,wameumiza sana kichwa changuMapana ya pesa ya Abdul yanazidi kuwa makubwa.
Lissu ametufanya tujue uhalisia wa watu.
Mbowe kiporo chake Cha ugaidi kipo Kwa DPPCcm ni mali ya Samia? Is that true? Mnafurahi kuwa Mbowe may be atashindwa maana sumu yenu ni Mbowe
Na wewe ulipata mgao?Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Km kukaa muda mrefu bila kufanya cha maana, basi ccccccm wasingekuwa wanatawala 🤣🤣🤣Kila binadamu ana madhaifu yake, sasa unaposema wanamjua Lisu kweli sijui unaamanisha nini. Mbowe ana haki ya kugombea, ila anataka kugombea ili kufanya nini ambacho hajafanya kwa hiyo miaka 20?
Umepiga kwenye mshono kabisa. Haiwezekani mtu mwenye akili timamu uanzishi nyuzi zaidi ya 10 kila siku kumshambulia mtu yule yule na kwa hoja zile zile lazima kuna nyaya zimepiga shoti kwenye ubongo.Mara nyingi, ukiwaza au kuhisi mtu Fulani ambaye siyo wewe ana changamoto ya afya ya akili, mara nyingi wewe ndo unakuwa una hiyo changamoto...relax
Wanakaa kwa ridhaa ya umma, au kwa mbeleko ya vyombo vya dola?Km kukaa muda mrefu bila kufanya cha maana, basi ccccccm wasingekuwa wanatawala 🤣🤣🤣
Uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo sanaKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Mwenye tatizo la akili ni wewe! Amepata hicho kichaa baada ya kuutaka uwenyekiti? Mwambieni Mbowe aache utemi ili alinde heshima yake.Tafsiri yako anyway!
All in all,Lisu ana tatizo kichwani
Ataivuruga CDM mpaka watu wote wakimbie.Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Kwakuwa Umedhani, basi maada iishie hapo . Mambo ya kudhqni kwenye science ni qinq nyingine ya uchawiKwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama KUROPOKA.
Hakuna kosa kubwa kama kukosa shukrani
All these boil down to one cause: Kuna nati fulani kwenye ubongo imelegea. Inahitaji kukazwa.
Lisu is coming aggressive supreme of POWER
Is this pure science? These issues are decided on the the balance of probability with irresistible inference.....ukiona Prof of mathematics anasema 1+1 ni 3 katika natural mathematics, basi ujue kuna tatizo kubwa. Lisu amefika hapo sasaKwakuwa Umedhani, basi maada iishie hapo . Mambo ya kudhqni kwenye science ni qinq nyingine ya uchawi
Unatakiwa kutuletea evidence based
Ndiyo worry yanguAtaivuruga CDM mpaka watu wote wakimbie.