Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Amesema alikataa ili atimize ndoto yake ya kuwa nabii feki
 
-Huamini katika Mungu ila unahubiri na kuimba habari za Mungu, maajabu
Mbona nishajielezea sana mkuu.
Pitia post za nyuma na kwenye uzi pia nimeelezea.

Mimi sioni shida wewe kuamini ktk uchawi na uwepo wa Mungu ila yakupasa na wewe uelewe na kuheshimu kuwa wengine hatuamini hivyo vitu.

Ukininukulia vifungu vya biblia unqjichosha bora,navijua kuliko wewe ila kwangu ni hadithi kama hadithi nyingine tu za kutunga
 
Najua vifungu unavijua, maana ni lazima ujitahidi ili vikusaidie katika kuhubiri kwako, ila unajitesa mnoo na mzigo ni mzito mno kwako kuendelea kushikiria vitu ambavyo ambayo havina msaada kwako. Hao akina Kiranga wamejitangaza kuwa hawaamini katika Mungu ila unaona wako huru tu na hawajishughulishi kabisa na hayo mambo, huoni unateseka, wine unywee chini ya uvungu kweli, nyumba yako House girl unamlipa wewe lakini unamuogopa asijue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚............ hapa unafananishwa na mtu asiye na Akili, Najua kifungu hiki unakifahamu pia
 
Asante mkuu.
Hivyo ndivyo ninavyomlea sijaongopa.

Watoto wanatuamini sana na huyo kijana wako tayari cake ishakua kitu cha hovyo kwake.Na ndio maana yatupasa kuwa makini sana na vitu tunavyowaambia na hata tabia zetu mbaya hatupaswi kuwaonyesha.

Hapo mwisho umenichekesha mkuu ila ni kweli familia ni kitu kizuri kikiwa ktk misingi bora
 
Huu uzi ukikoment unahisi upo Iluminant ndo maana watu wanakimbiaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Day one umetoka niliuona sikuufungua leo naona unakimbiza nikaona acha nije kuangalia mabanterπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Eti unahisi uko illuminantπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mateso ya nini sasa, na watu wanajua sema hawajakuambia, siku ya kuumbuka ikifika utajua kumbe walikuwa wanakuchora
Kweli ni mateso ila ndo hivyo.
Wakijua basi ila sidhani
 
🀣🀣🀣🀣 mbavu zinaniuma πŸ™ŒπŸ™Œ
Sis Joannah msikilize da Pri

Ulipiga nikabu ukaenda liquor store khaaaa!!
Ila unateseka sana 🀣🀣
Watu walivyonishangaa ndo nilijua nimefanya kosa.
Ni mateso kweli
 
Hebu niache kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…