Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Hamna bana itakuwa anaandaa wine zako utakazotumia kwenye kikao π€£π€£π€£Au kwa vile atheist!?ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna bana itakuwa anaandaa wine zako utakazotumia kwenye kikao π€£π€£π€£Au kwa vile atheist!?ππππ
Amesema alikataa ili atimize ndoto yake ya kuwa nabii fekiSijui niseme pole kwa unayopitia,au nikupongeze hata sielewi.Nimependa namna unavuomlea huyo mtoto WA kitume(kama hujaongopa).Umenikumbusha wa kwangu hapa nilimwambia mwaka Jana cake NI bidhaa ya wanawake sio wanaume.(8yrs).Huwezi amini kumbe lililimkaa lile neno Jana ananiambia mama kwenye birthday yangu ninunulie Raba na suruali usinunue cake.
Nahisi umekua hivo ulivo kwa sababu ya mapito ulopitia.Sasa wote mkikataa ndoa itakuaje jamaniππ.Ndoa ndo msingi wa familia.Na yawezekana uliitaka (sorry to say this).Ulichokikuta kikakukatisha Tamaa.Hivi hapa tunashauri au tunafanyajeππππ
πππ kumbe alikuponda kwanza??Aseme kwanza nina uajabu ganj.
Mara trekta mara uajabu
Karibu sana Shem ππShem huna baya umenipokea vizuri kwenye ukoo wenu ππππ
Mbona nishajielezea sana mkuu.- Huamini katika Mungu ila hutaki wanakuzunguka wajue(utapeli & kuto kujiamini na kukosa msimamo)
- Walevi wanajiamini wakunywa barabarani kila mtu amuone, wewe kunywa kwa kujificha maana yake Hukumu ya ndani inakutafuna
-Kataa ndoa maana yake wewe ni mpinga Kristo ijapokuwa dhamiri yako inakusuta na inakiri kuwa ndoa ni nzuri lakini roho ya mpinga kristo imekutawala.
Hitimisho:: Manabii wengi wa sasa, ni wachawi, walevi, wazinzi & Waasherati, wafiraji ila wanajivika mwamvuli wa kuhubiri habari za Mungu, lengo lao ni kujipatia pesa, Bibilia inasema ukitaka kuwa moto uwe moto, baridi uwe baridi.
πππ hapana la roche apewe mwingine, huyu wako kabisa naye kasema haamini MunguHuyu tumpe la roche mi nina mambo mengi nitam disappoint bure
Najua vifungu unavijua, maana ni lazima ujitahidi ili vikusaidie katika kuhubiri kwako, ila unajitesa mnoo na mzigo ni mzito mno kwako kuendelea kushikiria vitu ambavyo ambayo havina msaada kwako. Hao akina Kiranga wamejitangaza kuwa hawaamini katika Mungu ila unaona wako huru tu na hawajishughulishi kabisa na hayo mambo, huoni unateseka, wine unywee chini ya uvungu kweli, nyumba yako House girl unamlipa wewe lakini unamuogopa asijue πππππ............ hapa unafananishwa na mtu asiye na Akili, Najua kifungu hiki unakifahamu pia-Huamini katika Mungu ila unahubiri na kuimba habari za Mungu, maajabu
Mbona nishajielezea sana mkuu.
Pitia post za nyuma na kwenye uzi pia nimeelezea.
Mimi sioni shida wewe kuamini ktk uchawi na uwepo wa Mungu ila yakupasa na wewe uelewe na kuheshimu kuwa wengine hatuamini hivyo vitu.
Ukininukulia vifungu vya biblia unqjichosha bora,navijua kuliko wewe ila kwangu ni hadithi kama hadithi nyingine tu za kutunga
Asante mkuu.Sijui niseme pole kwa unayopitia,au nikupongeze hata sielewi.Nimependa namna unavuomlea huyo mtoto WA kitume(kama hujaongopa).Umenikumbusha wa kwangu hapa nilimwambia mwaka Jana cake NI bidhaa ya wanawake sio wanaume.(8yrs).Huwezi amini kumbe lililimkaa lile neno Jana ananiambia mama kwenye birthday yangu ninunulie Raba na suruali usinunue cake.
Nahisi umekua hivo ulivo kwa sababu ya mapito ulopitia.Sasa wote mkikataa ndoa itakuaje jamaniππ.Ndoa ndo msingi wa familia.Na yawezekana uliitaka (sorry to say this).Ulichokikuta kikakukatisha Tamaa.Hivi hapa tunashauri au tunafanyajeππππ
Hebu niache kwanzaNajua vifungu unavijua, maana ni lazima ujitahidi ili vikusaidie katika kuhubiri kwako, ila unajitesa mnoo na mzigo ni mzito mno kwako kuendelea kushikiria vitu ambavyo ambayo havina msaada kwako. Hao akina Kiranga wamejitangaza kuwa hawaamini katika Mungu ila unaona wako huru tu na hawajishughulishi kabisa na hayo mambo, huoni unateseka, wine unywee chini ya uvungu kweli, nyumba yako House girl unamlipa wewe lakini unamuogopa asijue πππππ............ hapa unafananishwa na mtu asiye na Akili, Najua kifungu hiki unakifahamu pia
Mwanamke bora kabisa. NimekuadmireHebu niache kwanza
Tayari nimeshafika PM kwa bibie tupo busy usinitingishe shemKaribu sana Shem ππ
ππkwel kabisa mkuuEti unahisi uko illuminantπππ