Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Tatizo nilikofika ni mbali.
Kichwa yangu sijui kama itaweza tena kuamin haya mambo.
 
Maisha aisee! Yana mengi na yakuhizunisha saana.

Natamani nikusaidie jambo ila fungua moyo! Kuna sehem utakuwa na amani ya moyo,
 
No matter how far you ARE from God, its only take one step to get.back to Him
Nahisi nishamkufuru hadi roho mtakatifu..
Sina nafasi tena huko ila usijali Iam fine
 
Maisha aisee! Yana mengi na yakuhizunisha saana.

Natamani nikusaidie jambo ila fungua moyo! Kuna sehem utakuwa na amani ya moyo,
Kabla sijafungua moyo nijue kwanza nina shida gan hadi utake kunisaidia mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…