Kwakweli siku hizi nmekuwa makini sana kwenye kutoa sadaka๐๐๐
Nyie pokeeni neno,kuweni waaninifu ktk sadaka na matoleo ila ukimchunguza sana nabii utajicheleweshea mibaraka yako๐
Mefurahi kukuona mtumishi๐๐Oooh binamu mtumishi!ulipotea sana karibu tena....vipi ulienda kupiga wapi gombo?
Kuna mtu danga lake ni padriNdo hivyo mkate wa watumishi unapatikania madhabahuni
Uwiii nyie watu mnataka mtupuluse hadi sh kumi!maana hii mikesha inapishana weekend tu,mara kawe,mara temboni,mara ubungo,mara mikocheni,mara mate mbele ya pili,hapo tunashukuru kwa lulenge kumehamia Lugumbashi๐คฃ๐คฃ๐คฃHaya sie binamu zako ndio tutakuwa chawa we tupe tu Location ya tukioMefurahi kukuona mtumishi๐๐
Mbali ya kupotezwa na ugumu wa maisha nilienda kujificha miliman kuutafuta uwepo.
Jiandaen mwakani na mimi mtume Pridah nitafanya mkesha mkubwa wa
PANDA UVUNE.
๐คฃ๐คฃ๐คฃEeeh kweli umeshuka mlimani Kikazi๐๐๐
Nyie pokeeni neno,kuweni waaninifu ktk sadaka na matoleo ila ukimchunguza sana nabii utajicheleweshea mibaraka yako๐
Mimi pia nimekumiss wewe!siku hizi umeolewa kimyakimya?Dada hata mimi nmekumis
๐คฃ๐คฃ๐คฃsawa,nangoja locationKuna baridi kule inabidi uende na mpenzi
Au kama una mpenzi twende tutatumia huyohuyo wa kwako ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃsawa,nangoja location
Tuazimane kama charger au sio๐คฃ?Au kama una mpenzi twende tutatumia huyohuyo wa kwako ๐
Una roho mbaya.Tuazimane kama charger au sio[emoji1787]?
Asante.
Unaweza karibu sana dear
Wewe Mwamposa wa kike sio wa kukosa vocha na sadaka za kujimaliza za waumini zimefurika madhabahuni ๐น๐น๐นNilikumiss zaidi mdogo wangu๐๐
Nimepotezwa na ugumu wa maisha hata hela ya bundle naona anasa dogo๐.
Natumai hamjambo wapendwa wangu.Hivi mnajua nawapenda kiasi cha kukopa vocha ya jero ili tu niingie JF niwaone?๐๐
Hlf lastborn una akili ujue!
Sisi watumishi hatusemi pombe,tunasema divai.
Sasa ile stock yangu ya divai niipate kabla ya mkesha wa Xmas๐