Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Nadhani mimi ndie mwanamke mwenye sifa mbaya kuliko wote JF

Sasa unaenda na msalaba golgota kufanya nini na wewe au unataka na wewe ukatufie🏃😜(joke)

Hata sikubishii kuwa dunia ina mambo mengi ya ajabu ya kushangaza Joh ila sasa tukija kwa huyu "creator" ndo napata kizunguzungu.
Angalia "alivyoumba) nyota na mwezi na milima ya Kitonga kwa ufundi ila anaruhusu mama apate mtoto apate kichanga kina moyo una tundu auzazi masikini apate mtoto anayehitajk matibabu ya zaidi ya laki tano kwa mwezi ili asurvive.

Huo mwili wako ni machine ya ajabu ndio ila kwanini miimi na wewe katupa machine hazina tatizo halafu kuna alopewa machine ina matatizo kibao?
Wamemkosea nini sbb kama "dhambi" wote tunazo?
Kwa vile umeshapoteza imani nae hata nikikuelezea huwezi niamini,mbaya zaidi we mwenyewe unauwezo wa kuchagua jema na baya,...We simama upande unaoupenda ninachoona unapata tabu ni hapo kujifanya unampenda na kumuamini kumbe hauko hivyo,hayo ni mates unapitia,simamimia unachoamini hayupo hayupo haina haja ya ku praise nothing,be real....
 
Mkuu

Mkuu kwanza kabisa nimekupenda.
Nyeusi umesema nyeusi ila mimi sihubiri ili nipate sadaka bali najaribu kufundisha vitu vizuri vya kumkomboa hasa mwanamke.Sipendi kuhubiri mambo ya kufikirika sbb naona nadumaza watu.

Kikubwa kablq ya kuniona tapeli wa sadaka napenda ujue nahitaji muda au hata msaada wa kukabiliana na matokeo yatakayofuata nitakapoanza harakati za kusaidia watu kutoka jela ya dini.

Tambua nitakapoanza tu nitaitwa mpinga kristo na nitawapoteza wote niwapendao na nitafukuzwa kanisani ambako ni sawa na nyumbani.Kanisa ndio nyumbani kwa mimi.

Haitakuwa rahisi mkuu ila ngoja nitakapokuwa na kina Kiranga naamini kwa vile wao ni wasomi na wana upeo mkubwa naweza jifunza jinsi ya kufanya.

Natamani sana kuwatoa huko mkuu ihasa rafiki zangu ila naogopa so najikuta naendeleza kuchapa injili
Angalau nimefarijika kusikia bado una ubinadamu ndani yako

kama hautaweza kuhubiri ukweli juu ya uwepo batili wa Mungu, mbingu, shetani na uchawi basi ni bora uachane kabisa na maswala ya dini na mahubiri

Tafuta chanzo kingine cha pesa ambacho kitakidhi mahitaji yako na ada ya kijana wetu he deserves better, na natumaini unamsomesha international school kutokana na tuition fee uliyoweka hapa

Hata mimi ni atheist, nilisoma seminary kabisa nimekaa sana na mapadre kanisani lakini baada ya kukua na kufikiri logically nikajikuta siamini tena kwenye maswala ya imani ni uongo na utapeli uliotukuka, sio mama wala rafiki zangu walinichukia kwa kubadilika na kupinga mawazo yao.

be real, be the change.
 
Am very straight.
I do men.
Napenda harufu ya mwanaume,
Wana jasho lao fulani hivi.😁

Swali lako la mwisho tuli delete my naona hatupaswi kuulizana hayo🙏
Nimekuuliza hivyo maana umeandika kana kamwa you are more than alone
 
Mtumishi,ila sisi unavyotuambiaga tutaenda motoni tuache kunywa ka wine nyieeeee
Watu wanaambiwa shika neno usofate matendo yangu ila hawajiongozi😁

Tena mwanzoni kabla sijazoea macho ya watu nilikua nabeba wine yangu kwenye chupa ya eneji then napiga pafu zangu kadhaa ndo napanda madhabahuni🙏🙏
 
Kwa vile umeshapoteza imani nae hata nikikuelezea huwezi niamini,mbaya zaidi we mwenyewe unauwezo wa kuchagua jema na baya,...We simama upande unaoupenda ninachoona unapata tabu ni hapo kujifanya unampenda na kumuamini kumbe hauko hivyo,hayo ni mates unapitia,simamimia unachoamini hayupo hayupo haina haja ya ku praise nothing,be real....
Ndo naanza hivyo taratibu
Nikikutana na kina Kiranga
mara 3 tu nitakua level zingine
Angalau nimefarijika kusikia bado una ubinadamu ndani yako

kama hautaweza kuhubiri ukweli juu ya uwepo batili wa Mungu, mbingu, shetani na uchawi basi ni bora uachane kabisa na maswala ya dini na mahubiri

Tafuta chanzo kingine cha pesa ambacho kitakidhi mahitaji yako na ada ya kijana wetu he deserves better, na natumaini unamsomesha international school kutokana na tuition fee uliyoweka hapa

Hata mimi ni atheist, nilisoma seminary kabisa nimekaa sana na mapadre kanisani lakini baada ya kukua na kufikiri logically nikajikuta siamini tena kwenye maswala ya imani ni uongo na utapeli uliotukuka, sio mama wala rafiki zangu walinichukia kwa kubadilika na kupinga mawazo yao.

be real, be the change.
Its a process nitafika tu huko.
Asilimia 94 ya kipato changu hakihusiani na kanisa.
 
Watu wanaambiwa shika neno usofate matendo yangu ila hawajiongozi😁

Tena mwanzoni kabla sijazoea macho ya watu nilikua nabeba wine yangu kwenye chupa ya eneji then napiga pafu zangu kadhaa ndo napanda madhabahuni🙏🙏
Ha haaaa aloooooh!ina maana mnavyoimbaga vile worship kumbe mmekuwa mmeonja kitu kali?
 
Hauna kasoro ama dosari yoyote katika maamuzi yako.

Sema nini, uliathirika sana kisaikolojia kutokana na historia ya malezi yako.

Lakini M/Mungu huwa hakitupi kiumbe chake, ona sasa alivyokufadhili kwa neema na mara nyingi hutokea kwa watoto yatima ama wenye uhitaji waliotelekezwa na wazazi wao.

Mtukuze yeye kwani ndiye mpaji.

Mambo ya kusema sijui Mungu hayupo na vitu kama hivyo huwa ni kujifunga kifikra na kiakili.

Waza kwa mapana na marefu kidogo kidogo utaupata ukweli na utamrudia Mungu wako.
Asante kwa maoni mkuu ila nikiwaza kwa mapana kama ulivyonishauri ndio naona kabisa kuwa hakuna Mungu
 
Maisha magumu hutupatia empathy ambayo tunaokutana nao baadae huona ni symbol ya weakness na ku take advantage.

Very touching story.
 
mkuu nina maswali mengi sana kutoka kwako, na ushauri pia

maswali:-
1. umesema ulianza kuwa atheist tangu ukiwa primary, unataka kuniambia ww huamini uwepo wa Mungu na bado uliweza kwenda kanisani kusali usiku kucha mpk magoti yakauma leo hii uje useme huamini uwepo wa Mungu, ulikua unamuomba Mungu yupi sasa?

2.nafahamu unasoma sana biblia, na unaifahamu dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu haisamehewi..unafahamu kwamba unachokifanya hapo ni kutaka kuitenda iyo dhambi kwa maana mwisho wake unamkana Mungu na Yesu kristo unayemtaja kwene mahubiri yako kanisani?

3. kama umeamua kuwa atheist kwann usiache kuhubiri na bado unaendelea?

ushauri;-
Naamini ww ni mtu wa Mungu na anakutumia sana kuifanya kazi yake, hayo mawazo uliyonayo ni hila za shetani kukupoteza ktk mstari, nakushauri utubu hiyo dhambi na umrejee Muumba wako, watu wengi hapa wanakushauri ujinga tu kwamba endelea na maisha hayo na ufurahie, wote huo ni ubatili mtupu
Za uzima mkuu.
Niliahidi nitakujibu maswali yako yote.
1)Wakati huo nilikua bado naamini tena kwa imani kubwa sana kuwa kuna Mungu ajibuye maombi.

2)Ni kweli nasoma sana biblia na ni kweli nafahamu kuhusu hiyo "dhambi" ila hiyo hainitishi sbb siku nikifa ndio habari yangu imeishia hapo.Paradiso na moto wa jehanamu ni hadithi zinazonichefua sana.Watu wanaacha kutumia miaka michache ya kufurahia maisha hapa duniani kisa wametishwa kuna moto.Watu wanakufa kwa kudanganywa kuna Mungu anayeponya na kupuuzia tiba halisi.Paradiso na kuzimu viko hapa duniani.Tukifa wote tunalala mpaka pale science itakapoamua iwe tofauti.

3)Hilo nishaelezea kwenye uzi na kwenye reply nilompa ferucho lamborgini

Asante kwa ushsuri ila kwa vile unaamini Mungu yupo naomba umshauri Mungu kuwa amuondoe shetani duniani mana sioni ni kwanini anataka tujaribiwe?Au hawezi kumtoa?,Kama kamshindwa sisi ndio tutamuweza?

Basi kama kamshindwa shetani mshauri kuanzia sasa aumbe version ya wanadamu ambao haiwezi kujaribiwa wala kuanguka dhambini.

Pia mshauri atimize ahadi zake na awe sawa kwa wote.Sielewi kwanini kuna wanaoteseka na upofu na wengine wazima.Sielewi kwanini wengine wanalelewa na kukua wakipata malezi na upendo ya baba na mama na wengine anaua baba na mama zao.
Kwanini kuna baba "anabarikiwa" uwezo wa kuwapa watoto wake kila kitu na wengine wanazika watoto wao kwa kukosa elfu tano ya dawa?

HAKUNA MUNGU
 
Back
Top Bottom