Mbona kama umri unaruhusu kubanjuka sana mkuu? Au huenda urge yako ya sex ipo chini kulinganisha na mwenzako?32 now
Miaka 10 sio mingi hapo ndo mnaonekana mmeoana mkiwa rika moja.Ndoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi kwa sasa hata interest imepotea natamani nipate kimoja nilale, zile vurugu mimi kwasasa siziwezi naona kuchoka tu.
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
Hapana aisee umri huu unajiita mzee huwezi kazi ya kitanda unachokitafuta utakipata mwamba hapo wa kulaumiwa ni ww sio mkeo32 now
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani miaka 32 unalalamika nguvu?
Hakuna namna mkuu lazima utombewe!
Tena umesema demu wako umemzidi miaka 10, maana yake ana miaka 22.
Hapo kutombewa ni "sure bet"
Maana miaka 22 nyege na utoto viko mahala pake.
Hapo kutombewa ni SURE BET 100%
Kiukweli unaweza usiwe na tatizo ila umeshaizoea sana kiasi haikupi hamu ya kuichakataNdoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi kwa sasa hata interest imepotea natamani nipate kimoja nilale, zile vurugu mimi kwasasa siziwezi naona kuchoka tu.
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
Pole sana mkuu changamoto sio umri wako,changamoto ww upo na shida kwenye maumbile yako, je unawai kufika safali au? Baada ya kimoja hauwezi tena??Ndoa yetu imeunganishwa na wazazi, mwenza wangu hakuwahi kujihusisha na mapenzi, nimempita miaka 10, na tumefunga ndoa baada ya kumaliza kidato cha sita.
Shida ni kuwa yuko so hype na sex, mimi kwa sasa hata interest imepotea natamani nipate kimoja nilale, zile vurugu mimi kwasasa siziwezi naona kuchoka tu.
Nisipojikaza nahisi nitasaidiwa ila kwakweli energy ya haya mambo sina kabisa kwa sasa, bora ningepata mtu mzima mwenzangu tukaenda aste aste tu.
Uangalie mwenzako asije akaua figo.haszu nakupa tiba hi, tumia Tangawizi 1 na Kitunguu swaumukkklkkkllnkjljkk kjjkjnjjlnlnkbmknlkllnllnklkknkllnlkkkkkknklklkbojkkjblkbkjkljjkkn punje 8.
👉Twanga pamoja, utakuwa una chemsha una kunywa asubui na jioni 🔥🔥🔥🔥 y
Hapo kwenye mwanamke mpenda kimoja, aisee ni kweli.Swala la umri sio ishu sana, ishu kubwa ilikuwa ni kujuana kabla ya kuoana
Kuna wanawake wanapenda sana sex, kuna wanaume wanapenda sana sex
Kuna wanawake /wanaume wanapenda kimoja kimoja tu
Shida inakuja mwanaume mpenda sex akimuoa mwanamke asiyependa sana sex
Au mwanamke mpenda sex akiolewa na mwanaume asiyependa sex.
Hapo lazima mmoja amtese mwenzake
Toa ujuaui wako, hiyo dawabhadibwazee tume wapa na iko byeeUangalie mwenzako asije akaua figo.
Tatizo sio style wala sio nguvu mkuu, yani physical niko okey, ila mental/ psychologically ndio shida.Ona mwamba, usiwaze sana. Tumia akili tu vizuri.
1. Tafuta staili ambazo wote mnashirikiana kufanyana. Hapo utajigundua kumbe na wewe unapenda sex tena kumzidi 😆
2. Na si huyo mkeo bhana, hebu somaneni vizuri tafuteni na staili ambazo yeye ndio anapumzika wewe unampelekea moto(natabiri hiki ndio mmekuwa mkifanya deile🤫) lakini pia tafuteni na ambayo wewe umepumzika afu yeye (ke) ndio anakupa vitu tamutamu. Aaaaah nnatabiri mtaanza kukesha kabisa.
Ilipaswa unilipe kabisa we jamaa
Asante kwa hii ilmu.kuna wengine wakiona huna nguvu wanakuambia ingiza dole ukoroge losheni