Mkuu kaweke vitu sawa,hao wanaokupinga hpa ni hatari,sana wengi wao wanashirki ngono ya kinyume na sehemu halali,pia nn wazinifu...bora ww mwenye nia ya kutaka kupiga hatua na ulishe familia yako kila la kheri.Ukisoma wewe peke yako inatosha acha mimi niweke mambo yangu sawa, binadamu wabaya sana.
Nimesoma comments nyingi wengi wao,wameongea kwa kukurupuka,kwenda kwa sheikh sio kitu kibaya nioneshe kwenye kitabu chochote natuma laki 3 hapa...,sheikh sio mganga,wala mchawi
Mbona hamleti povu la kwa mwamposa
Ikiwa mmesema amtegemeae mtu sijui nini na nini? Nyoko Nyoko amelaaniwa.
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
"Amelaaniwa amtegemeayae mwanadamu"
Haijalishi itachukua miaka mingapi ila unachokifanya Sasa kina implications zake, Utapata matokeo Yako unayoyatafuta.
Siyo kwa ubaya ndugu zangu, misumari ni mingi sana, ukiweka japo kabiashara kako sehemu ili kakusaidie wewe na familia yako ikianza tu kuchanua kuna viherere wanajifanya kuizima.
Sasa nikasema dawa na mimi ni kutembea, simlogi mtu ila naweka mambo sawa, nailinda biashara yangu. Kwani kuna ubaya ndugu zangu?
Huu ndio ukweli na aufanyie kaziUsichanganye uchawi na utakatifu mkuu, Ni Bora uchague kimoja Basi.
Wabongo tunatishana sana..hizi kauli zimefanya wengi wasifikie ndoto zao kwa vitisho kama hivi."Amelaaniwa amtegemeayae mwanadamu"
Haijalishi itachukua miaka mingapi ila unachokifanya Sasa kina implications zake, Utapata matokeo Yako unayoyatafuta.
Ngumu sana kutenganisha mashehe na ulozi..ngumu sana.Huyo si Sheikh.
Sheikh hafundishi watu ulozi. Ni mchawi tu aliyevaa kanzu na baraghashia.
Tumia basi akili..mana kama kufuata mistari kama kondoo wewe huna tofauti na yeye.Si ujibu ulivyoelewa huo msitari,au unafuata TU Kama ling'ombe!?
Ushawahi kutumia akili!?..yaani unajua akili inatumikaje!?Tumia basi akili..mana kama kufuata mistari kama kondoo wewe huna tofauti na yeye.
#MaendeleoHayanaChama
Kwamba na waislamu nao wanakimbilia kwa mwamposa..hizi dini hizi zimekuja kuchangana mambo asee.Na wa upande huo wanakwenda kwa mwamposa kurekebisha .
Ni mwendo wa kupokezana tu.
Hapa naona kanisa langu la mitume likiwa kinyume kabisa na huu msitari
Hao nanabii wenu ni vile tu mmefungwa macho na ufahamu lakini kutwa kuchwa usiku na mchana ni vikumbo kwa waganga.Njooni tukemeeni kuna pepo lingine limejichanganya huku
Tatizo lako kiwango chako cha ujinga na upumbafu kimevuka viwango...yani upo beyond repair.Ushawahi kutumia akili!?..yaani unajua akili inatumikaje!?