Kwahiyo unavyomtegemea boss wako ambaye ni binadamu kama wewe umeshalaaniwa..??Yer 17:5 SUV
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
SI Mimi ni biblia ndio inasema hivyo.
Biblia ni kinywa Cha Mungu.
Mwenye neno na aseme neno Tena kwa ujasiri.
NENO LA MUNGU NI MOTO ULAO
Tafakari vizuri unachouliza na uipambanue mada ipasavyo.Kwahiyo unavyomtegemea boss wako ambaye ni binadamu kama wewe umeshalaaniwa..??
Mwache aangamie maana hana maarifa[emoji116]Acha uendelee kuwa mtumwa wake,akihitaji kula kuku anachomoa waya tu anajua utarudi tu na ukifika anaconnect tena.....anakuvizia tena baada ya miezi kadhaa akiwa hana hela...... utakuwa mtumwa miaka nenda rudi
Bosi yupi nakati imeandikwa asiyefanya kazi na asile?Kwahiyo unavyomtegemea boss wako ambaye ni binadamu kama wewe umeshalaaniwa..??
Kwani kwenda kanisani au msikitini ni utakatifu ndg?Usichanganye uchawi na utakatifu mkuu, Ni Bora uchague kimoja Basi.
Huo ndio ukweliMkuu kaweke vitu sawa,hao wanaokupinga hpa ni hatari,sana wengi wao wanashirki ngono ya kinyume na sehemu halali,pia nn wazinifu...bora ww mwenye nia ya kutaka kupiga hatua na ulishe familia yako kila la kheri.
Ngoja nijifunze maneno zaidi ya kiswahili ili nijibu.Kwahiyo usipoenda kwa mganga unaishi milele haufi?
Ukiwa Mkristo kuna namna ya kuilinda biashara yako bila hata kwenda kwa Shekhe au mganga.
Iko hivi :
Mshirikishe BWANA MUNGU kwenye biashara yako kwa kumpa hisa au gawio la asilimia 10% tu kila mwezi kutoka kwenye faida unayopata.
Kwa kufanya hivyo moja kwa moja unakuwa umemfanya BWANA MUNGU kuwa mmiliki halali wa biashara yako hivyo akiwa kama mmiliki atailinda na kuibariki biashara yako.
Namna ya kumlipa BWANA MUNGU ni wewe kutoa "fungu la kumi" kanisani kwako kila mwezi na kwa uaminifu.
Angalizo :
(Mwanzo 14:18-20) (Mwanzo 28:20-22) Malachi 3:10-12
- hakikisha biashara yako ni halali kabisa na haina kona kona.
- hakikisha unaishi kwa kuzishika Amri zote kumi za MUNGU na imani ya KRISTO.
"Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi. Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya kupendeza sana, asema BWANA wa majeshi".
Jamaa hawamuelewi , kimsingi mafungu yote ya biblia anayajua Ila ameamua kustep aside kimtindo , waajiriwa na watu wa mishahara hawawezi kuelewa intensity ya jamaa , ila wanaharakati wa mtaa exactly wanaelewa ni kivipi mwamba anatokota 😁😁😁 haya mambo acha kabisaSijui kwanini hawakuelewi hawa jamaa [emoji23][emoji23]
wanaohudumu huko makanisani nao ni binadamu tu kama huyosheikh au mganga yoyote wa kienyeji."Amelaaniwa amtegemeayae mwanadamu"
Haijalishi itachukua miaka mingapi ila unachokifanya Sasa kina implications zake, Utapata matokeo Yako unayoyatafuta.
Hii ndo kwa namna gani!!Ila usimsahau Sana Mungu!
Yani kufanikiwa kwa uwezo wa Mungu kupo Ila unahitajika effort.
Aise Yani Kuna Dawa hata akisema anauza hiyo nyumba 5B Kama mtu anayo anajikuta kapata tamaa na hamu ya kununua hiyo pesaKuna mwingine huku mitaa ya kwetu..yeye anauza nyumba toka mwaka huu mwenzi wa tano..nyumba ipo eneo zuri tena mitaa ya vizito...... Toka atangaze mauzo wateja wameenda wengi tena wazito lakini bado hawajaafikiana.... Bei inacheza kwenye m 800 mpaka 700
Sasa kawaamishia waganga kwake eti nyumba imefungwa!!! Sasa mganga ana uwezo wa kumvuta mteja wa kufikia dau la m 800 kweli au? Naye mwenye nyumba anasema kama mtoa mada...akisha weka mambo sawa atarudi kanisani!!!
Mungu Hawai Wala hakawii...! Ukiamini katika Mungu Basi unatakiwa kuwa na sifa mbili.Hii ndo kwa namna gani!!
Kwahiyo kumbe inawezekana!!! Haya ngoja tuoneAise Yani Kuna Dawa hata akisema anauza hiyo nyumba 5B Kama mtu anayo anajikuta kapata tamaa na hamu ya kununua hiyo pesa
Kwa Tabora tunaita KIPANDE.
Hata muuzaji anaweza kuuza kitu kwa pesa ndogo hata aftatu
Acha tu nichelewe nibaki kwa Mungu... Mungu hana mashart...nitalala nitaamka kwa amani...nitaomba muda wote ajibu asijibu sawa tu.Mungu Hawai Wala hakawii...! Ukiamini katika Mungu Basi unatakiwa kuwa na sifa mbili.
Uvumulivu
Subira
Yani ili kuona God miracle unahitaji time frame....!! Na juhudi kubwa.
Ila Kama unataka overnight success Basi shetani ndio Habari ya mjini.... So usiwe mtu wa ushirikina Sana Yani kuwa mshirikina kwenye Mambo ya nyota na kipato....! Usimdhuru mtu